Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
We umesoma huku ukikimbia nini? Amebainisha kuwa anakazwa yeye na wanafunzi na wanafunzi wamenogewa nao wanaenda kufanyiana wao kwa wao.Huyo mwalimu ni mfanyiwa au mfanyaji?Hebu eleza vizuri ndugu.Ni hatari sana kuridhishana kinyume na utaratibu,sheria,miongozo,imani na kimaumbile.
Oooh..my bad!Waadabishwe asap!We umesoma huku ukikimbia nini? Amebainisha kuwa anakazwa yeye na wanafunzi na wanafunzi wamenogewa nao wanaenda kufanyiana wao kwa wao.
Andika hii dukuduku lako kwenye karatasi na umtaje Kwa Jina then ukatupie hizo karatasi Kwa ofisi za Polisi,Kata,afisa Elimu nk Ili wachunguze.Mimi ni Mkazi wa Ifakara Mkoani Morogoro, nina kero moja ambayo naona kadiri siku zinavyozidi kwenda mbele mambo yanazidi kuharibika, bora niseme hapa kupitia JF ili ujumbe uwafikie wahusika kuanzia wazaz, walezi na mamlaka za juu.
Kuna shule hapa jirani yangu ambapo ilibidi nifanye mchakato wa kumuondoa maeneo hayo kutokana na kuharibika kimaadili.
Inaitwa Shule ya Sekondari Kibaoni, kuna Mwalimu mmoja wa kiume anajihusisha na mapenzi ya jinsia moja, kibaya zaidi amekuwa akiambukiza tabia hiyo kwa Wanafunzi wake.
Anawachukua Wanafunzi wa kiume anaenda nao nyumbani kwake ili wakamridhishe mahitaji yake ya kimwili.
Tabia hiyo ilianza kama siri na sasa inajulikana hadi ngazi ya uongozi wa shule na hadi Halmashauri, sasa imeanza kuhamia kwa Wanafunzi pia ambao ni kama wananogewa na ushenzi huo.
Baadhi ya viongozi wa Halmashauri ya Ifakara wanajua kinachoendelea lakini wanaogopa kuchukua maamuzi, wanamfichia siri Mwalimu huyo ili watu wengine wasijue.
Taarifa hii nimeijua kwa kuwa Watoto wenyewe wanasimuliana kila wanapoenda nyumbani kwa Mwalimu huyo (jina nalihifadhi kwa sasa).
Wizara ya Elimu, iingilie na kufuatilia kinachoendelea, Watoto wetu wanaharibiwa huku Ifakara.
Kukaa kimya kwa kuwa tu ni Shule ya Serikali kunamaanisha tunakubali kizazi kizidi kuharibika kwa kuwa uchunguzi wangu umebaini hata Wasichana nao wameanza kufanyiana michezo michafu.
Mkali huyu uliyemtaja simpati ila hiyo mitaa ya Kampala naijua. Nilichokuwa nahisi ni kuhusu nyumba iliyoko maeneo ya Tazara huko wanakofukunyuana. Nina hakika kama nyumba yenyewe ndo ile basi hata mwenye nyumba nae ni upinde pro max😂😂😂 Nani jomba? Kuna mwamba moja ana duka la vifaa vya umeme mitaa ya kampala pub naskia nae ni punga sema ana macho ya kuita nyege balaa akikuangalia🏃🏃🏃
Jiwe gizani.Unapoandika taarifa nyeti kama hizi,inabidi ujiridhishe kabisa pasi na shaka,siyo kusikia sikia habari za kuunga unga na umbea wa watoto.
Unachokiandika wewe ni uongo mtupu.Tafadhali kanisha andiko lako mara moja,la sivyo nitaleta hapa taarifa sahihi.Shule hiyo kwa takribani miaka mitano iliyopita hakuna mwalimu kama huyo.Acha kukurupuka na kuandika vitu vya uongo.
Lete taarifa sahihi kukanusha habari hii.Unapoandika taarifa nyeti kama hizi,inabidi ujiridhishe kabisa pasi na shaka,siyo kusikia sikia habari za kuunga unga na umbea wa watoto.
Unachokiandika wewe ni uongo mtupu.Tafadhali kanisha andiko lako mara moja,la sivyo nitaleta hapa taarifa sahihi.Shule hiyo kwa takribani miaka mitano iliyopita hakuna mwalimu kama huyo.Acha kukurupuka na kuandika vitu vya uongo.
Mimi ni Mkazi wa Ifakara Mkoani Morogoro, nina kero moja ambayo naona kadiri siku zinavyozidi kwenda mbele mambo yanazidi kuharibika, bora niseme hapa kupitia JF ili ujumbe uwafikie wahusika kuanzia wazaz, walezi na mamlaka za juu.
Kuna shule hapa jirani yangu ambapo ilibidi nifanye mchakato wa kumuondoa maeneo hayo kutokana na kuharibika kimaadili.
Inaitwa Shule ya Sekondari Kibaoni, kuna Mwalimu mmoja wa kiume anajihusisha na mapenzi ya jinsia moja, kibaya zaidi amekuwa akiambukiza tabia hiyo kwa Wanafunzi wake.
Anawachukua Wanafunzi wa kiume anaenda nao nyumbani kwake ili wakamridhishe mahitaji yake ya kimwili.
Tabia hiyo ilianza kama siri na sasa inajulikana hadi ngazi ya uongozi wa shule na hadi Halmashauri, sasa imeanza kuhamia kwa Wanafunzi pia ambao ni kama wananogewa na ushenzi huo.
Baadhi ya viongozi wa Halmashauri ya Ifakara wanajua kinachoendelea lakini wanaogopa kuchukua maamuzi, wanamfichia siri Mwalimu huyo ili watu wengine wasijue.
Taarifa hii nimeijua kwa kuwa Watoto wenyewe wanasimuliana kila wanapoenda nyumbani kwa Mwalimu huyo (jina nalihifadhi kwa sasa).
Wizara ya Elimu, iingilie na kufuatilia kinachoendelea, Watoto wetu wanaharibiwa huku Ifakara.
Kukaa kimya kwa kuwa tu ni Shule ya Serikali kunamaanisha tunakubali kizazi kizidi kuharibika kwa kuwa uchunguzi wangu umebaini hata Wasichana nao wameanza kufanyiana michezo michafu.
Hahaaaaa leo.hujajaa upepo. Nilikiwa nataka nikujaze upepo tu bro.Ndio
Mtoto mdogo sana huwezi mziki , rudi kajifunze maana unakimbia kimbia.Hahaaaaa leo.hujajaa upepo. Nilikiwa nataka nikujaze upepo tu bro.
Haya kuwa na siku njema mkuu.Mtoto mdogo sana huwezi mziki , rudi kajifunze maana unakimbia kimbia.
👍Na ingesaidia kusolve tatizo haraka sana
Inaturudisha nyuma sanaSio utamaduni wa sisi waswali kutoa info zilizonyooka, sijui hata ameleta iweje kama anaficha ficha.
Huyo mwalimu ni mfanyiwa au mfanyaji?Hebu eleza vizuri ndugu.Ni hatari sana kuridhishana kinyume na utaratibu,sheria,miongozo,imani na kimaumbile.
Sawasawa.Mola awarehemu viumbe hao mahabithi.🙏Kuna mashoga yanafira na kufirwa.
Kuna wanaofira tu, na kuna wanaofira tu.
Halafu kuna wanaosaga tu.