DOKEZO Mwalimu anajihusisha na mapenzi ya jinsia moja, anawafundisha wanafunzi pia. Serikali mko wapi?

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'
Huyo mwalimu ni mfanyiwa au mfanyaji?Hebu eleza vizuri ndugu.Ni hatari sana kuridhishana kinyume na utaratibu,sheria,miongozo,imani na kimaumbile.
We umesoma huku ukikimbia nini? Amebainisha kuwa anakazwa yeye na wanafunzi na wanafunzi wamenogewa nao wanaenda kufanyiana wao kwa wao.
 
Hii issue ya kisodoma umekidhiri sana mashuleni hasa hizi shule za Kasumba,
 
Andika hii dukuduku lako kwenye karatasi na umtaje Kwa Jina then ukatupie hizo karatasi Kwa ofisi za Polisi,Kata,afisa Elimu nk Ili wachunguze.
 
😂😂😂 Nani jomba? Kuna mwamba moja ana duka la vifaa vya umeme mitaa ya kampala pub naskia nae ni punga sema ana macho ya kuita nyege balaa akikuangalia🏃🏃🏃
Mkali huyu uliyemtaja simpati ila hiyo mitaa ya Kampala naijua. Nilichokuwa nahisi ni kuhusu nyumba iliyoko maeneo ya Tazara huko wanakofukunyuana. Nina hakika kama nyumba yenyewe ndo ile basi hata mwenye nyumba nae ni upinde pro max
 
Jiwe gizani.

Povu linakutoka,umepaniki.

Tabia za kufirana siyo nzuri bwanaaa!!
 
Lete taarifa sahihi kukanusha habari hii.
Vinginevyo unamlinda mwalimu au ni wewe muhusika.
 
Jamaa baada ya kumfimalagua mwalimu kaona atoe na siri
 
Piga kisu ya matako huyo mwalimu. Pambaafu sana.😡😡😡😡
 
Kesi nyingi ni Mwalimu kulawiti mwanafunzi, sasa hii ya Mwalimu yeye ndiyo kulawitiwa na wanafunzi sijui watamsaidiaje...

Inasikitisha sana...


Cc: Mahondaw
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…