Motoekoppela te
JF-Expert Member
- Oct 13, 2014
- 319
- 485
Mawazo ya kipuuzi Sana hayaMkumbusheni dr Lwaitama kuwa Tanzania ni nchi inayoongozwa kwa kufuata misingi ya sheria. Rais kufuta kesi inayoendelea mahakamani ni kuingilia uhuru wa mahakama.
Aache mahakama ifanye kazi zake kwa mujibu wa katiba na sheria. Kufuta kesi kwa kufuata hisia za kisiasa ni upuuzi na kusigina katiba na sheria zake.
Akikujibu nistueHivi na kuteua majaji sio kuingilia uhuru wa mahakama?
Huyo ni zuzu wa chakubangaMawazo ya kipuuzi Sana haya
Msomi Nguli Mwalimu Lwaitama amefunguka yenye kujenga, kwake Mheshimiwa Rais:
View attachment 1984686
Yawezekana kuganga yajayo kwani yaliyopita si ndwele.
Hoja ya Mwalimu Lwaitama ina mashiko.
Hoja ya Mwalimu Lwaitama ni yenye kuzingatia katiba ya sasa na hasa uwepo wa ule mhimili uliojichimbia zaidi.
Habari za tashwishi ya afya au hali ya mheshimiwa Mbowe kwa ujumla gerezani ambako hakuweza kuonwa leo, zimfungue macho Mheshimiwa Rais.
Hala hala kabla ya hatari.
Mola ampishilie mbali pepo mbaya.
Lakini watu si wanasema Mama hana nguvu ila kuna watu ndio wanaongoza au hayo ni maneno ya vijiweni?Huyu mama anakiburi ninyi danganyikeni tu na tabasamu lake. Hasikii wala haambiliki.
Naye ni kamanda uchwara.
Lwaitama alipostafu pale UDSM ALICHUKUA MAFAO YAKE YOTEMkumbusheni dr Lwaitama kuwa Tanzania ni nchi inayoongozwa kwa kufuata misingi ya sheria. Rais kufuta kesi inayoendelea mahakamani ni kuingilia uhuru wa mahakama.
Aache mahakama ifanye kazi zake kwa mujibu wa katiba na sheria. Kufuta kesi kwa kufuata hisia za kisiasa ni upuuzi na kusigina katiba na sheria zake.
Lwaitama is rigid has no ideaMwalimu Lwaitama is not speaking from nowhere. The basis of his argument is solid:
1. The prevailing Constitution embraces the presence of "the executive" as the superior. The rest are subordinates.
2. The case itself is politically orchestrated.
To qualify the two statements, the explanation is provided.
"The truth of this, is obvious even to a small child", concludes the don.
He could not have a better conclusion [emoji16][emoji16].
Lakini watu si wanasema Mama hana nguvu ila kuna watu ndio wanaongoza au hayo ni maneno ya vijiweni?
Lwaitama is rigid has no idea
Ni mjinga tu MSOMI KAMA HUYO UNAZEEKA HALAFU UNAANZA SIASA
UKIWA KIJANA NDIO FANYA HIVYO
UKIMSIKILIZA LWAITAMA UTAKUWA HUNA AKILI
Naona unamgwaya Mathanzua kweli kweli.Unamuota na kumuota,dah!Magonjwa Mtambuka Mwalimu Lwaitama siyo size yako wewe shughulika na kina Dr. Mathanzua ππ
Dogo leta cv inbox nikutafutie kazi ya kufanya,utakufa njaa
Angeanza na kwaomba Raid aifute kesi ya Ole Sabaya kwanza. Mama hawezi kuwa na double standard. Subirini naye ale mvua za kutosha!Msomi Nguli Mwalimu Lwaitama amefunguka yenye kujenga, kwake Mheshimiwa Rais:
View attachment 1984686
Yawezekana kuganga yajayo kwani yaliyopita si ndwele.
Hoja ya Mwalimu Lwaitama ina mashiko.
Hoja ya Mwalimu Lwaitama ni yenye kuzingatia katiba ya sasa na hasa uwepo wa ule mhimili uliojichimbia zaidi.
Habari za tashwishi ya afya au hali ya mheshimiwa Mbowe kwa ujumla gerezani ambako hakuweza kuonwa leo, zimfungue macho Mheshimiwa Rais.
Hala hala kabla ya hatari.
Mola ampishilie mbali pepo mbaya.
Naona unamgwaya Mathanzua kweli kqeli
Mahakama zipi unazoziongelea?mahakama ni mfumo,sio majengo na mahakimu pekee!Mdudu alifungwa na mahakama ipi!?na akafutiwa mashitaka na mahakama ipi?bongo Kuna policcm,mahakama za ccm,Takukuru ya ccm,kesi zinazoamuliwa kwa haki ni kesi za kuku tuMkumbusheni dr Lwaitama kuwa Tanzania ni nchi inayoongozwa kwa kufuata misingi ya sheria. Rais kufuta kesi inayoendelea mahakamani ni kuingilia uhuru wa mahakama.
Aache mahakama ifanye kazi zake kwa mujibu wa katiba na sheria. Kufuta kesi kwa kufuata hisia za kisiasa ni upuuzi na kusigina katiba na sheria zake.
Angeanza na kwaomba Raid aifute kesi ya Ole Sabaya kwanza. Mama hawezi kuwa na double standard. Subirini naye ale mvua za kutosha!
Wala sihitaji kujulikana,impact yangu ndiyo muhimu.Ndiyo maana nipo JF ili niweze-share na wengine what I know.Humanity has been cheated for too long.Au ulimaanisha the unknown Dr. Mathanzua ππ?
Hiiiiii bagosha!
Sijalewa kama umeelewa nimeandika nini na sijaewlewa umeandika nini. Bila shaka utajiita akili kubwa mimi akili ndogo!Clear Standard ni ipi kwani?
Kuwa na mhimili mrefu kuliko mingine?
Kuwa na kesi za kubambikiziana? Au kuwa na hukumu za kutengenezeana?
View attachment 1984917
Kwani kwenye shithole countries lini ni kwa mujibu wa katiba na lini si kwa mujibu wa katiba?