Kwa maandishi haya najiridhisha kuwa wewe ni murundi.Manashauri raisi avunje sheria, aamulie mahakama sio?, kwa kuwa ni mbowe mtu wenu?
Angekuwa suo shabiki wenu ila kwa wengine hapana hatakiwi?
Subilieni mahakama imalize kazi kama ni wa kuwa huru atakuwa tu na kama ni gaidi basi ataswekwa ndani lasmi.
Mwambie kibatara aache kufungua vikesi ambavyo havina kichwa wala miguu na kumchelewesha mwenyekiti kusota ndani.
Wakati anaohojiwa na media moja alisema kuna wenzake Mbowe walishafungwa.Niliwaambia hili, wanauliza maswali hayana maana kabisa[emoji16]wakasema mimi sina ilimu, nikawambia sawa na LY yangu lakini nimegundua hawa mawakili wanapiteza mda bure tu,,
Sasa Lwaitama anataka Rais afute kesi,, is he mad?,
Rais sio judge[emoji23][emoji23]
Watakwambia alitoa sh 600000.Statement sio ishu, it is just words angaisnt mbowe's, inatakiwa concrete evidence which will leave no reasonable doubt kwamba mbowe aliwatuma wakafanye ugaidi, na huo ugaidi ulifanywa wapi au kuna vitu gani vilipelekea conclusion kwamba ugaidi ulikuwa ufanywe,,,
Je kuna milipuko ilikamatwa?, Au silaha labda ambayo inaweza kuwa connected to mbowe?, Au labda kuna audiovisual evidence ikionyesha mbowe akimtuma huyo Adamoo kwenda kufanya ugaidi etc[emoji847][emoji847]
Very easy ebu tazama sakata la machinga ndiyo mtajua kuwa nchi hii rais wa nchi ndiyo Alpha na Omega.Umejiridhisha kuwa umesoma vizuri? Kumbuka Mwalimu Lwaitama si wa chekelea wala si Don uchwara.
Kwenye jamhuri ya wadanganyika ambako:
1. mhimili mmoja unaweza kujichimbia zaidi kama unavyojisikia,
2. watu wakabambikiziwa kesi,
3. watu wakabambikiziwa hukumu;
Sheria zipi mhimili kama huo unaweza kuvunja au kuheshimu na mamlaka ipi ikathubutu kulisemea hilo?
Kwani hiyo mahakama ndiyo ilimshitaki au mhimili wa Serikali? Bila shaka aliyekushitaki anao uwezo wa kuifuta hapo mahakama haijaingiliwa
Mkumbusheni dr Lwaitama kuwa Tanzania ni nchi inayoongozwa kwa kufuata misingi ya sheria. Rais kufuta kesi inayoendelea mahakamani ni kuingilia uhuru wa mahakama.
Aache mahakama ifanye kazi zake kwa mujibu wa katiba na sheria. Kufuta kesi kwa kufuata hisia za kisiasa ni upuuzi na kusigina katiba na sheria zake.
Huyo ni mtanzania kutoka jimbo la Ndugayi pale kibaigwaMkuu labda kama ndiyo kwanza umefika kutokea sayari nyingine. Kwani ni leo ndiyo unayasikia haya?
View attachment 1985100
Uhalisia wa kuwa tunaishi kwenye jamhuri ya wadanganyika ambako:
1. Mhimili mmoja kwa raha zake, wenyewe umeweka wazi kuwa umejichimbia zaidi,
2. Mhimili huo umekiri kubambikia watu kesi,
3. Mhimili huo umekiri kudhulumu watu yaani kuwabambikizia watu hukumu.
Ninakazia:
View attachment 1985102
Hii si jana, leo wala kesho.
Tanzania ukiandika kizungu wewe ndiye upo juuHicho kimombo wajameni, kwani umelazimishwa kuandika?
Lwaitama ni mwalimu wa kitu gani?
Naye ni kamanda uchwara.
Watu wawili tofauti:Samia Suluhu Hassani ni Rais wa Jamhui ya Muungano wa Tanzania na Mwenyekiti wa Chama tawala,CCM.Mbowe ni Mwenyekiti wa Chama cha upinzani Chadema.Kama Raisi wa nchi Samia Suluhu Hassan anategemea zaidi Baraza lake la mawaziri na washauri mbalimbali katika utendaji wake.Kwa mantiki hiyo misimamo yake na hatua anazochukua kwa kiwango kikubwa vinategemea washauri wake wa karibu na ikiwa hivyo ndivyo ina maana kwa kesi ya Mbowe kuna kitu ameshibishwa akashiba.Kama ni kweli au uongo hiyo itakuwa habari ya baadae.Kwa Samia huyu napenda tukumbushane kifo cha Princess Diana.Wakati wa mazishi yake watoto wake wawili wakiwa bado wdogo hawakuonyesha kulia hadharani kama ilivyotegemewa na nilbahatika kumuuliza mzungu mmoja alinijibu ya kuwa "wanategemewa kuwa wafalme na wanafundishwa kuto ku break hadharani".Samia Suluhu Hassani ni lazima amefundishwa Urais na makandokando yake na kuwa wakati mwingine huruma inaweza kuingiza nchi kwenye matatizo.Msomi Nguli Mwalimu Lwaitama amefunguka yenye kujenga, kwake Mheshimiwa Rais:
View attachment 1984686
Yawezekana kuganga yajayo kwani yaliyopita si ndwele.
Hoja ya Mwalimu Lwaitama ina mashiko.
Hoja ya Mwalimu Lwaitama ni yenye kuzingatia katiba ya sasa na hasa uwepo wa ule mhimili uliojichimbia zaidi.
Habari za tashwishi ya afya au hali ya mheshimiwa Mbowe kwa ujumla gerezani ambako hakuweza kuonwa leo, zimfungue macho Mheshimiwa Rais.
Hala hala kabla ya hatari.
Mola ampishilie mbali pepo mbaya.
Lwaitama alipostafu pale UDSM ALICHUKUA MAFAO YAKE YOTE
AKAOA MALAYA SIKU HIZI ANATEGEMEA CHADEMA ILI ALE
AMECHOKA KIASI KWAMBA HATA UBONGO WAKE ULISAHAU HAKI
ANAONGEAGA CHOCHOTE TU
WAHAYA SIO WAJINGA NI YEYE TU ANAYEWASHABIKIA WATU WA WAKAZI KAZINI
KINACHOMTESA NI MAFAO YAKE KUTUMIKA VIBAYA
Magonjwa mtambuka ni adui wa taifa letu
Ingekuwa afadhali angekijua basi. Mapengo matupu kama yule aliyekuwa kule BurigiTanzania ukiandika kizungu wewe ndiye upo juu
Zeeeee reeeeekiiiiiizIngekuwa afadhali angekijua basi. Mapengo matupu kama yule aliyekuwa kule Burigi
Hao wanachoweza ni kuramba miguu ya wanao wapatia mkate wao wa kila uchao.Huyo ni mburula tu wala hana impact yoyote mkuu wangu
Mkumbusheni dr Lwaitama kuwa Tanzania ni nchi inayoongozwa kwa kufuata misingi ya sheria. Rais kufuta kesi inayoendelea mahakamani ni kuingilia uhuru wa mahakama.Mkumbusheni dr Lwaitama kuwa Tanzania ni nchi inayoongozwa kwa kufuata misingi ya sheria. Rais kufuta kesi inayoendelea mahakamani ni kuingilia uhuru wa mahakama.
Aache mahakama ifanye kazi zake kwa mujibu wa katiba na sheria. Kufuta kesi kwa kufuata hisia za kisiasa ni upuuzi na kusigina katiba na sheria zake.
Watu wawili tofauti:Samia Suluhu Hassani ni Rais wa Jamhui ya Muungano wa Tanzania na Mwenyekiti wa Chama tawala,CCM.Mbowe ni Mwenyekiti wa Chama cha upinzani Chadema.Kama Raisi wa nchi Samia Suluhu Hassan anategemea zaidi Baraza lake la mawaziri na washauri mbalimbali katika utendaji wake.Kwa mantiki hiyo misimamo yake na hatua anazochukua kwa kiwango kikubwa vinategemea washauri wake wa karibu na ikiwa hivyo ndivyo ina maana kwa kesi ya Mbowe kuna kitu ameshibishwa akashiba.Kama ni kweli au uongo hiyo itakuwa habari ya baadae.Kwa Samia huyu napenda tukumbushane kifo cha Princess Diana.Wakati wa mazishi yake watoto wake wawili wakiwa bado wdogo hawakuonyesha kulia hadharani kama ilivyotegemewa na nilbahatika kumuuliza mzungu mmoja alinijibu ya kuwa "wanategemewa kuwa wafalme na wanafundishwa kuto ku break hadharani".Samia Suluhu Hassani ni lazima amefundishwa Urais na makandokando yake na kuwa wakati mwingine huruma inaweza kuingiza nchi kwenye matatizo.
Mbowe kama mpinzani anapata anachostahili nacho ni kuwa mpinzani kwa watu wasiotaka upinzani (angeunga mkono kama Slaa,Mashinji,Waitara.....)asikumbana na haya.
Tuiache asili ichukue mkondo wake (let naturetake its own course).Yatapita!!