mjingamimi
JF-Expert Member
- Aug 3, 2015
- 42,209
- 51,004
Kwa mujibu Wa Mwl Mwakasege kama umesikiliza vizuri..alichosema ni kuwa kwenye biblia Tauni inamaanisha ugonjwa wowote unaoambukiza haraka na akalinganisha na Corona kwa sasa na bado ameongeza kwa kusema kuwa yeye anasimamia neno na si sayansi yetu hii ambayo ukitafsiri wote tutasema kuwa ni plague na organism ni Yersnia kama mdau alivyosema juu hapo
Sent using Jamii Forums mobile app
Amesema amefunga kula mpaka corona itoke, sasa nikasea kama ni hivyo basi majibu tutayaona baada ya siku kama 12 if he can sustain hunger. Wewe unakuja hapa unanitukana. Basi mweupe kichwani ni mama yako.Hujaelewa chochote, yani kiufupi katika haya mambo wewe ni mweupe kabisa kichwani!
Gwajima anasema Tusikubali kuingia katika mfumo wa 5G..😃Kwani Gwajima anasemaje
JF ya sasa imejaa waongo na wazandiki.Una uhakika amekusanya mtu anaongea mbele ya camera unasema amekusanya watu acha upotoshaji
Wewe ndio umepotea,plague ni bacteria infection na covid_19 ni viral infection kwahiyo ni vitu viwili tofauti hapo yaani covid_19 ni maradhi ambayo yanasababishwa na vimelea aina ya virusi ambao ni corona virus na plague inasababishwa na vimelea aina ya bacteria sasa usawa uko wapi hapo?Umepotea na wewe tauni ni plague na ulishawatandikaga ulaya enzi hizo
Hapana ilikuwa anafundisha online hakua na mkusanyikoYupo kwenye semina?Anakusanya mikusanyiko ya watu?![emoji848][emoji848][emoji848]
Plague ni ugonjwa wowote unao ua watu wengi kwa mda mfupi ndo maana kwenye version za biblia ya kingereza wametumia plague mfano Numbers 16:46, Kama waliokuletea dini na science wanakuambia ni pi plague na unawabishia ayaWewe ndio umepotea,plague ni bacteria infection na covid_19 ni viral infection kwahiyo ni vitu viwili tofauti hapo yaani covid_19 ni maradhi ambayo yanasababishwa na vimelea aina ya virusi ambao ni corona virus na plague inasababishwa na vimelea aina ya bacteria sasa usawa uko wapi hapo?
Hiyo ni mada nyingine bwashee!Huyo mleta mada angetakiwa aweke wazi kuwa sio mkutano!
Acha uwongo. Anthrax ni kimeta (kwa ng'ombe, mbuzi na kondoo) Tauni ni plagueHii sio Tauni. Aache kudanganya watu.
Tauni ni Anthrax kwa kimombo, hili ni gonjwa lingine kabisa.
Unforgetable
Usawa uko kwenye kuuwa watu wengi kwa muda mfupi!Wewe ndio umepotea,plague ni bacteria infection na covid_19 ni viral infection kwahiyo ni vitu viwili tofauti hapo yaani covid_19 ni maradhi ambayo yanasababishwa na vimelea aina ya virusi ambao ni corona virus na plague inasababishwa na vimelea aina ya bacteria sasa usawa uko wapi hapo?
Si awaulize ccm mambo ya hovyo wanayoyafanya? Au naye ni miongoni mwa wale wachumia tumbo.Mwalimu Mwakasege amesema wanadamu wanapaswa kujihoji ni wapi tumemkosea Mungu kisha tutubu na kumrudia.
Mwakasege amesisitiza kuwa hii Corona siyo mpya bali ni ile Tauni iliyosemwa katika Biblia takatifu.
Mwalimu Mwakasege amesema hayo wakati wa semina inayoendelea huko Njiro Arusha na kesho ndio siku ya kufunga semina.
Source Upendo tv!
Alafu na wewe jamaa eti ni nurse sijui doctor, sasa kwa mwendo huu si utakuwa unatuulia wagonjwa wetu kila siku kwa uzembeHii sio Tauni. Aache kudanganya watu.
Tauni ni Anthrax kwa kimombo, hili ni gonjwa lingine kabisa.
Unforgetable
Kwa jinsi ulivyoiweka hiyo title, kwa mtu ambaye hakumsikiliza mwakasege hawezi kuelewa alichokuwa anamaanisha. Ndio maana wengi wanamshambulia kwa kwasababu ya hiyo title.Usawa uko kwenye kuuwa watu wengi kwa muda mfupi!
Hii ni kiroho zaidi.
Mwakasege hakumung'unya maneno alisema Corona ni tauni!Kwa jinsi ulivyoiweka hiyo title, kwa mtu ambaye hakumsikiliza mwakasege hawezi kuelewa alichokuwa anamaanisha. Ndio maana wengi wanamshambulia kwa kwasababu ya hiyo title.
Kwa mujibu Wa Mwl Mwakasege kama umesikiliza vizuri..alichosema ni kuwa kwenye biblia Tauni inamaanisha ugonjwa wowote unaoambukiza haraka na akalinganisha na Corona kwa sasa na bado ameongeza kwa kusema kuwa yeye anasimamia neno na si sayansi yetu hii ambayo ukitafsiri wote tutasema kuwa ni plague na organism ni Yersnia kama mdau alivyosema juu hapo
Sent using Jamii Forums mobile app
Una jina la Kikristo ila hujaelewa chochote hata wewe dah.
Hivi hiyo spanish flu nayo ilisimamisha dunia kama hivi
Sent using Jamii Forums mobile app
Sawa mkuuHiyo ni mada nyingine bwashee!
Naona wengi mmepotoshwa na muanzisha mada. Muktadha wa mazungumzo na alichosema Mwakasege vinatofautiana, hakusema Corona ni Tauni, kasema kwa tafsiri ya Kibiblia, pandemic imetajwa kama tauni.Corona sio tauni