Mwalimu Mwakasege uwe unajiongeza ili kuzishinda mbinu za Mwamposa katika kugombania Waumini Tanganyika Packers Kawe

Mwalimu Mwakasege uwe unajiongeza ili kuzishinda mbinu za Mwamposa katika kugombania Waumini Tanganyika Packers Kawe

Watu wanaoenda kwa mwakasege na Kwa mwamposa ni watu wawili tofauti kama maji na mafuta....mwamposa wengi ni waswahili wako desperate na maisha wanataka miujiza ...na wanaokuja Kwa mwakasege wengi ni kula neno ingawa pia Kuna maombezi lakini maombezi yake si sawa n mwamposa...elewa mwakasege huko nyuma amefanya mikutano maeneo mengi kama jangwani na Biafra etc ila kwasasa hivo viwanja ni kama havitumiki Tena kwa shughuli zozote...Kawe ni sehemu nzuri na centre nzuri Sana .
 
Huko nyuma nilikuwa nakuona uko Smart ila kwa sasa taratibu naanza Kukuona nawe ni kama vile Unapotea na Hamnazo fulani hivi japo Nakukubali mno na sana Kimafundisho.

Mwalimu Mwakasege unajua fika kuwa Mtume Mwamposa ( Mshindani wako Kiimani na Kimahubiri na Mwanafunzi wako ) ameshawateka wana Dar es Salaam tena wa Kawe aliko lakini nawe kila ukija Kufanya Mahubiri yako Mkoani Dar es Salaam unangangania kuwa ni Kawe ( Tanganyika Packers ) tu.

Hivi Mwalimu Mwakasege kwani ukiwa unafanya Tamasha lako ( Mahubiri yako ) maeneo mengine ya Dar es Salaam kama Viwanja vya Mwembe Yanga hutoweza kupata Watu wanaokuamini?

Haya ona sasa umepanga nawe Kuanza Tamasha lako ( Mahubiri yako ) Leo Tanganyika Packers ( kama sijakosea ) na Mtume Mwamposa baada ya kuona utapiga Hela na Yeye kwa Makusudi ameweka Tamasha la Wanawake ambao ndiyo Mtaji wake na Jeshi Kubwa Kanisani Kwake hivyo kusababisha ukimbiwe na Waumini wako wengi waliopanga Kuhudhuria ( Kuja ) Kwako leo.

Mtume Mwamposa ( Mshindani wako Kiimani na Kimahubiri japo ni Mwanafunzi wako pia ) anajua mno Kucheza na Akili zako na anahakikisha ukija tu Mkoani Dar es Salaam kufanya Tamasha lako basi nae pia Wiki hiyo hiyo atafululiza na Matamasha ili mradi tu mgawane Waumini na usipate Kiwango cha Pesa ( Sadaka ) ulichokilenga kama siyo Kukikusudia.

Ukishauriwa hutaki Kusikia. Leo kama utapata Sadaka nyingi ni Shilingi Elfu Arobaini na Tano na Mia Tano Hamsini ( Tsh 45,550/= ) tu wakati Mwenzako Mtume Mwamposa kwa Nyomi la leo najua akikusanya Sadaka zote hakosi Shilingi Milioni Tano ( Tsh 5,000,000/= ) mpaka Milioni Kumi ( Tsh 10,000,000/= )

Labda baada ya huu Uzi wangu Utabadilika.
Wote ni. Mwa
 
Achana na mambo usiyoyajua. Mwakasege ni mwalimu, Mwamposa ni mtume, huduma mbili tofauti.

Wingi wa watu huletwa na Roho Mtakatifu kutokana na anavyotaka kuwahudumia
Ww pia hujui kitu, wote wachumia tumbo, wanakula sadaka za watu kupitia jina la Yesu, siku Yesu akirudi anaanza na Mwamposa na Mwakasege kuwapeleka motoni kabisa jehanam, sbb wanatafuta hela usiku na mchana kwa kutumia jina la Yesu, wakati Yesu hakufanya hivyo, huko ni kufanya biashara kwa jina la Yesu.

Yesu hakufanya biashara za kukusanya sadaka, yaani watu wajinga wanaangamia kwa kukosa maarifa.
 
Huko nyuma nilikuwa nakuona uko Smart ila kwa sasa taratibu naanza Kukuona nawe ni kama vile Unapotea na Hamnazo fulani hivi japo Nakukubali mno na sana Kimafundisho.

Mwalimu Mwakasege unajua fika kuwa Mtume Mwamposa ( Mshindani wako Kiimani na Kimahubiri na Mwanafunzi wako ) ameshawateka wana Dar es Salaam tena wa Kawe aliko lakini nawe kila ukija Kufanya Mahubiri yako Mkoani Dar es Salaam unangangania kuwa ni Kawe ( Tanganyika Packers ) tu.

Hivi Mwalimu Mwakasege kwani ukiwa unafanya Tamasha lako ( Mahubiri yako ) maeneo mengine ya Dar es Salaam kama Viwanja vya Mwembe Yanga hutoweza kupata Watu wanaokuamini?

Haya ona sasa umepanga nawe Kuanza Tamasha lako ( Mahubiri yako ) Leo Tanganyika Packers ( kama sijakosea ) na Mtume Mwamposa baada ya kuona utapiga Hela na Yeye kwa Makusudi ameweka Tamasha la Wanawake ambao ndiyo Mtaji wake na Jeshi Kubwa Kanisani Kwake hivyo kusababisha ukimbiwe na Waumini wako wengi waliopanga Kuhudhuria ( Kuja ) Kwako leo.

Mtume Mwamposa ( Mshindani wako Kiimani na Kimahubiri japo ni Mwanafunzi wako pia ) anajua mno Kucheza na Akili zako na anahakikisha ukija tu Mkoani Dar es Salaam kufanya Tamasha lako basi nae pia Wiki hiyo hiyo atafululiza na Matamasha ili mradi tu mgawane Waumini na usipate Kiwango cha Pesa ( Sadaka ) ulichokilenga kama siyo Kukikusudia.

Ukishauriwa hutaki Kusikia. Leo kama utapata Sadaka nyingi ni Shilingi Elfu Arobaini na Tano na Mia Tano Hamsini ( Tsh 45,550/= ) tu wakati Mwenzako Mtume Mwamposa kwa Nyomi la leo najua akikusanya Sadaka zote hakosi Shilingi Milioni Tano ( Tsh 5,000,000/= ) mpaka Milioni Kumi ( Tsh 10,000,000/= )

Labda baada ya huu Uzi wangu Utabadilika.
Kumbe lengo lao ni pesa? Shetani yuko kazini!
 
Hivi mtume kwa wakristo anatambuliwaje???
huyu ndie mungu wa mwanposa na mwakasege huyu ndie alie watuma
download.jpg
 
Huko nyuma nilikuwa nakuona uko Smart ila kwa sasa taratibu naanza Kukuona nawe ni kama vile Unapotea na Hamnazo fulani hivi japo Nakukubali mno na sana Kimafundisho.

Mwalimu Mwakasege unajua fika kuwa Mtume Mwamposa ( Mshindani wako Kiimani na Kimahubiri na Mwanafunzi wako ) ameshawateka wana Dar es Salaam tena wa Kawe aliko lakini nawe kila ukija Kufanya Mahubiri yako Mkoani Dar es Salaam unangangania kuwa ni Kawe ( Tanganyika Packers ) tu.

Hivi Mwalimu Mwakasege kwani ukiwa unafanya Tamasha lako ( Mahubiri yako ) maeneo mengine ya Dar es Salaam kama Viwanja vya Mwembe Yanga hutoweza kupata Watu wanaokuamini?

Haya ona sasa umepanga nawe Kuanza Tamasha lako ( Mahubiri yako ) Leo Tanganyika Packers ( kama sijakosea ) na Mtume Mwamposa baada ya kuona utapiga Hela na Yeye kwa Makusudi ameweka Tamasha la Wanawake ambao ndiyo Mtaji wake na Jeshi Kubwa Kanisani Kwake hivyo kusababisha ukimbiwe na Waumini wako wengi waliopanga Kuhudhuria ( Kuja ) Kwako leo.

Mtume Mwamposa ( Mshindani wako Kiimani na Kimahubiri japo ni Mwanafunzi wako pia ) anajua mno Kucheza na Akili zako na anahakikisha ukija tu Mkoani Dar es Salaam kufanya Tamasha lako basi nae pia Wiki hiyo hiyo atafululiza na Matamasha ili mradi tu mgawane Waumini na usipate Kiwango cha Pesa ( Sadaka ) ulichokilenga kama siyo Kukikusudia.

Ukishauriwa hutaki Kusikia. Leo kama utapata Sadaka nyingi ni Shilingi Elfu Arobaini na Tano na Mia Tano Hamsini ( Tsh 45,550/= ) tu wakati Mwenzako Mtume Mwamposa kwa Nyomi la leo najua akikusanya Sadaka zote hakosi Shilingi Milioni Tano ( Tsh 5,000,000/= ) mpaka Milioni Kumi ( Tsh 10,000,000/= )

Labda baada ya huu Uzi wangu Utabadilika.
Hapo binafsi naelewa kazi ya Mwamposa ambae ni mwalimu na mafundisho yake kama kijana ukiyafuata lazima utoboe maisha,
ila Mwamposa wakuu.. [emoji23][emoji23][emoji23] Hapana mtakuja kugundua mlipoteza mafungu yenu ya kumi bure when is too late mimi nipo hapa
 
Huko nyuma nilikuwa nakuona uko Smart ila kwa sasa taratibu naanza Kukuona nawe ni kama vile Unapotea na Hamnazo fulani hivi japo Nakukubali mno na sana Kimafundisho.

Mwalimu Mwakasege unajua fika kuwa Mtume Mwamposa ( Mshindani wako Kiimani na Kimahubiri na Mwanafunzi wako ) ameshawateka wana Dar es Salaam tena wa Kawe aliko lakini nawe kila ukija Kufanya Mahubiri yako Mkoani Dar es Salaam unangangania kuwa ni Kawe ( Tanganyika Packers ) tu.

Hivi Mwalimu Mwakasege kwani ukiwa unafanya Tamasha lako ( Mahubiri yako ) maeneo mengine ya Dar es Salaam kama Viwanja vya Mwembe Yanga hutoweza kupata Watu wanaokuamini?

Haya ona sasa umepanga nawe Kuanza Tamasha lako ( Mahubiri yako ) Leo Tanganyika Packers ( kama sijakosea ) na Mtume Mwamposa baada ya kuona utapiga Hela na Yeye kwa Makusudi ameweka Tamasha la Wanawake ambao ndiyo Mtaji wake na Jeshi Kubwa Kanisani Kwake hivyo kusababisha ukimbiwe na Waumini wako wengi waliopanga Kuhudhuria ( Kuja ) Kwako leo.

Mtume Mwamposa ( Mshindani wako Kiimani na Kimahubiri japo ni Mwanafunzi wako pia ) anajua mno Kucheza na Akili zako na anahakikisha ukija tu Mkoani Dar es Salaam kufanya Tamasha lako basi nae pia Wiki hiyo hiyo atafululiza na Matamasha ili mradi tu mgawane Waumini na usipate Kiwango cha Pesa ( Sadaka ) ulichokilenga kama siyo Kukikusudia.

Ukishauriwa hutaki Kusikia. Leo kama utapata Sadaka nyingi ni Shilingi Elfu Arobaini na Tano na Mia Tano Hamsini ( Tsh 45,550/= ) tu wakati Mwenzako Mtume Mwamposa kwa Nyomi la leo najua akikusanya Sadaka zote hakosi Shilingi Milioni Tano ( Tsh 5,000,000/= ) mpaka Milioni Kumi ( Tsh 10,000,000/= )

Labda baada ya huu Uzi wangu Utabadilika.

Huwezi kumlinganisha mwakasege na mwamposa. Mwakasage ana miaka karibia 38 kwenye huduma. Sio wa leo.
 
Back
Top Bottom