Mwalimu, mwanafunzi wakutwa wameuawa ndani ya nyumba

Umasikini ni laana yahn mzazi unafika hatua ya kushindwa kukaa na binti yako unaruhusu akake kwa watu baki .....lakini pia uyo mzazi alikosa majina mpaka akampa mwanae jina la TATIZO.??
unaweza kuta mjini umeingia kwa hisani ya ndugu zako, ama ulisomeshwa na ndugu

haya kwa tanzania ni ya kawaida sana
 
KIsu kama hiki unaanzaje kumdhulumu nafsi,ndio hivyo kila nafsi itaonja mauti mwingine atakufa kwa upanga,risasi,moto au baharini mradi maandiko yatimie pole sana kwa wafiwa!
 
Mkishapata kazi vijana mnajeuri sana,
Hivi huko kijijini, shule iko mbali, kuliko kumpangia bchumba binti mdogo kuna ubaya kukaa na mtu anaeeleweka?
Au we ndo umezaliwa na kukua mjini hufahamu maisha ya kijiji?

Ukute we ndo unalaana
Huyo jamaa hajielewi.. kwa maisha ya Kitanzania bila kusaidiana saidiana sidhani kama watu wengi wangefika waliko.
Kuna muda watu tumeishi mjini kwa mtu tunaetoka nae kijiji kimoja (hatuna undugu) ili tupate urahisi wa kusoma tution. Na tumesaidiwa mpaka tukamaliza shule.
 
Vifaa vya dukani havijachukuliwa....
Huo ni wivu wa mapenzi.. hapo Mwalimu mwenzie anahusika....na huyo binti aliyeuwawa ni kwa ajili ya kuficha ushahidi maana itakuwa aliwafahamu wahusika.
 
Mpumbavu unaejivunia ujinga.
Kwenye maisha OG ya Tanzania, kukaa kwa mtu baki au kuishi na mtu baki ni kawaida sana.
Pole sana junior ubinafsi utakuponza uzeeni.
Kuna sehemu shule ziko mbali kilometa hata 10
Bado point ya umasikini utabaki palepale na wabongo wengi tuna tabia mbovu ya kujifarji na umaskini....kama Shule iko mbali kwann mzazi asimpeleke mwanae Shule ya boarding???unadhani Kwa haraka haraka hakupenda au uwezo wa kumpeleka alikuwa hana???

Mtoto wa form one wa kike anaishi na mtu baki unajiridhisha vipi kama mzazi na nidhamu atakayojengewa???
 
Un
Una utoto mwingi.
Pia hujui maana ya umasikini!
Ok junior!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…