Mwalimu Nyerere na Dkt. Magufuli ndio wanaonekana marais bora, ila ndio marais wabovu kuliko wote

Mwalimu Nyerere na Dkt. Magufuli ndio wanaonekana marais bora, ila ndio marais wabovu kuliko wote

Wakati wa Nyerere, DUNIA ilikua imegawika pande mbili yaan Ubepari (wamaguaribi) na Ujamaa( wamashariki +Asia).


Ubepari ulishuhudia Ubwanyenye ,watu wachache wenye vipato vikubwa sana huku wengi wakiwa Masikini.

Ujamaa, Ukaona wanadam wote ni sawa nahivo Serikali inayowajibu wa kuhudumia Raia wake Kwa usawa na Ubora uleule.



Hata Ivo,, Kutokana na ukweli ulokuwepo wa vita baridi baina ya pande mbili hizi,, Mataifa mengi ya Ujamaa yalishindwa kujiendesha Kwa sababu 'Una viwanda ndio, lkn Spea zake zinatoka Ulaya, na Ulaya sio washirika wako".

Kuporomoka Kwa thaman ya shilingi, bidhaa kuadimika naivo kupanda Kwa gharama za Maisha, kukamfanya NYERERE ANG'ATUKE.

Kwa sababu sisi Wanaume wa Kanda ya ziwa, Huwa hatupigi magoti , Heri kulinda Heshima, KULIKO fedheha za kupiga magoti .




Akaja Chuma JPM, Huyu Mwamba aina ya uongozi wake, ULILIFAA SANA TAIFA HILI KWA SABABU ,ALIPATIKANA KATIKA WAKATI AMBAO TAIFA LILIKUA KWENYE CRISIS , KILA KONA YALIJAA MAJONZI, MANUNG'UNIKO, NCHI IKAOZA, WACHACHE WAKAJINUFAISHA KWA PESA ZA WENGI, KILA MAHALI ULIPOGUSA KILIKUA NI KILIO CHA WATU WALOCHOKA !!


Wewe unadhani kwann uchaguzi wa 2015, Kuna watu hawatousahau?.


JPM akasema Noooooooo, TAJIRO ATAKUA TAJIRI KWA HAKI YAKE ,NASIO PESA CHAFUCHAFU ZITOKANAZO NA RUSHWA, WIZI, KUWAKAMUA WANYONGE , UFISADI N.K


Kama Kuna jambo kubwa TAIFA hili tunapaswa kulienzi, ni Uwezo wa kuwawajibisha wale wote walofanya matumizi mabaya ya pesa za Raia Kwa Faida zao Binafsi.


Ndio, na tuliona, Wote tulikaa meza Moja, Lugha ikawa Moja, TAJIRI wa haki akabaki na utajiro wake, TAJIRI wa ujanja ujanja na Maisha ya uhuniuhuni WAKAWAJIBISHWA.




JPM akahakikisha Ofisi Y Z M K L, zinatangaza Ajira hadharan, Vijana wanapata Ajira Kwa uwazi kabisa.... Kwa kikwete yalikuwepo hayo ???

JPM akafanya Yale yaliosadikika Yakaonekana, watu wakayaona, wakayagusa , na Mpaka Yesu anarudi, ALAMA ALOZIACHA JPM ZITABAKI.






Amekuja sahizi Mwanamke, huyu ni fotokopi ya kikwete , Nchi imerudi kwenye uozo wa ajabu, Maisha yamepanda, Mtaani wizi imezidi, watu wanalia ovyo .



ALAFU NDIO UJE KUWALINGANISHA NYERERE, JPM , NA HAO WENGINE WASWAHILI,??


TAIFA HILI, LINA LUNDO LA VIJANA, WANAOPENDA HELA ILA HAWAPENDI KAZI, VIJANA WANAOPENDA MAISHA YA MTELEMKO , VIJANA WALOLELEWA NA WAZAZI WEZI, MAFISADI, WAJANJAJANJA WAMAISHA, MATOKEO YAKE WAMEAMBUKIZA WATOTO UFINYU WA AKILI !!.


KWA KIJANA ANAYEJITAMBUA, MCHAPAKAZI , MAKINI, ZAMA ZA JPM ZILIKUA ZAMA ZA MAFANIKIO ILI MRADI TU UNAFATA TARATIBU, SHERIA NA KANUNI ZOTE ZINAZOTUONGOZA.



ZAMA ZA JPM, ZILISHUDIA , VIJANJA WAJANJA WAJNJA, KUKATA PUMZI, KUANZA KULIALIA, KWA SABABU MIRIJA YOTE YA PESA NYEPESI ZILIFUNGWA.



SAHIZI MNAFURAHI SABABU, MIRIJA IMEFUNGUKA, NOW MNAWEZA KUPIGA MADILI MADILI MKAPATA PESA .



NI MPUMBAVU PEKEE, NI MPUMBAVU PEKEE AMBAYE ANAWEZA DHARAU JUHUDI ZA MWALIM NYERERE, NA JPM

NARUDIA, NI MPUMBAVU TU NDO ATAFANYA IVO.
Boss hakuna la maana uliloandika. Upuuzi mtupu.

Kumbuka baada tu ya JPM kuingia madarakani ndo ukawa mwisho wa watu kuajiriwa. Ajira zinatolewa chache kwanza baada ya miaka kadhaa.

Kama pia hukujua, basi jua kwamba kuna watu kibao waliokua na utajiri wa halali waliporwa mali zao ndani ya uongozi wa huyu jamaa.

Akawapa vijana wajinga jinga madaraka na uchafu wao akajifanya hauoni. Leo unatuandikia huo utopolo hapo. Rubish
 
Boss hakuna la maana uliloandika. Upuuzi mtupu.

Kumbuka baada tu ya JPM kuingia madarakani ndo ukawa mwisho wa watu kuajiriwa. Ajira zinatolewa chache kwanza baada ya miaka kadhaa.

Kama pia hukujua, basi jua kwamba kuna watu kibao waliokua na utajiri wa halali waliporwa mali zao ndani ya uongozi wa huyu jamaa.

Akawapa vijana wajinga jinga madaraka na uchafu wao akajifanya hauoni. Leo unatuandikia huo utopolo hapo. Rubish
Tokea Magufuli afe sijawahi ona Mtu akijitokeza kuwa nilinyanganywa ela zangu,labda Wachaga waliomsingizia Sabaya,nawe inaonekana ni mchanga maana Wachaga ndio waliongoza chuki kwa Magufuli, maana bila madili hao watu hawawezi ishi,na magufuli alikuwa ana uruma kwa watu wamadili.Kasikazini walimchukia sana Magufuli
 
kwanza kabisa nianze kwa kusema hakuna siasa zinazoua nchi kimaendeleo kama siasa za kujaribu kunufaisha wanyonge na kulazimisha usawa wa kiuchumi. Ila bahati mbaya kwa Africa, 'marais wa waonyonge' ndio wanaonekana ndio sahihi

Mfano akitokea Rais akaanza ku deal na matajiri, akachukua mfano viwanda vya Bakresa, Mo, azania n.k na kuvifanya vya serikali ambavyo vitakuwa vinazalisha na vinagawa maziwa, unga na bidhaa nyingine bure kwa wananchi, huyu Rais atashangiliwa na nchi nzima na Waafrica wengi watamuona mkombozi

Lakini bila kujua njia yake hii ya kuwapa dezo na vya bure wanyonge sio sustainable na baada ya miaka kadhaa viwanda vitafilisika

Na hii ndio mistake aliyofanya Nyerere na Magufuli
Wakati wa Nyerere utasikia baadhi ya watu wakisifu tulikuwa tunakunywa sijui maziwa, nyama za bure, tunasoma bure n.k

Lakini huu ubure huu ulitokana na serikali kutaifisha viwanda na ranchi za wawekezaji na kuua uchumi, na pia kuwajengea wananchi utamaduni mbaya wa kudhani serikali ndio baba wa kuwafanyia kila kitu na wao ni kuisujudu

Matokeo yake ni tabaka la watu wanaofikiri, wanaojenga uchumi kwa kuzalisha linafutwa na kujenga taifa la watu wasiofikiri sana, waoga na wanaotegemea kupewa vya bure serikali

Hili ndio taifa aliliacha Nyerere, kwa kujua ama makusudi. Tiafa kama hili haliwezi kupata maendeleo endelevu, bali kila kitu kitategemea serikali

Magufuli nae alikuwa akielekea huku huku, taifa ambalo Serikali ina nguvu kubwa kwenye uchumi, na wananchi wanaoisujudu, serikali inayopiga vita tabaka la kati na la juu ambao ndio wanaoendeleza nchi
Mtazamo hasi kwa mtoa hoja,ubovu wao uko wapi?
 
Wakati wa Nyerere, DUNIA ilikua imegawika pande mbili yaan Ubepari (wamaguaribi) na Ujamaa( wamashariki +Asia).


Ubepari ulishuhudia Ubwanyenye ,watu wachache wenye vipato vikubwa sana huku wengi wakiwa Masikini.

Ujamaa, Ukaona wanadam wote ni sawa nahivo Serikali inayowajibu wa kuhudumia Raia wake Kwa usawa na Ubora uleule.



Hata Ivo,, Kutokana na ukweli ulokuwepo wa vita baridi baina ya pande mbili hizi,, Mataifa mengi ya Ujamaa yalishindwa kujiendesha Kwa sababu 'Una viwanda ndio, lkn Spea zake zinatoka Ulaya, na Ulaya sio washirika wako".

Kuporomoka Kwa thaman ya shilingi, bidhaa kuadimika naivo kupanda Kwa gharama za Maisha, kukamfanya NYERERE ANG'ATUKE.

Kwa sababu sisi Wanaume wa Kanda ya ziwa, Huwa hatupigi magoti , Heri kulinda Heshima, KULIKO fedheha za kupiga magoti .




Akaja Chuma JPM, Huyu Mwamba aina ya uongozi wake, ULILIFAA SANA TAIFA HILI KWA SABABU ,ALIPATIKANA KATIKA WAKATI AMBAO TAIFA LILIKUA KWENYE CRISIS , KILA KONA YALIJAA MAJONZI, MANUNG'UNIKO, NCHI IKAOZA, WACHACHE WAKAJINUFAISHA KWA PESA ZA WENGI, KILA MAHALI ULIPOGUSA KILIKUA NI KILIO CHA WATU WALOCHOKA !!


Wewe unadhani kwann uchaguzi wa 2015, Kuna watu hawatousahau?.


JPM akasema Noooooooo, TAJIRO ATAKUA TAJIRI KWA HAKI YAKE ,NASIO PESA CHAFUCHAFU ZITOKANAZO NA RUSHWA, WIZI, KUWAKAMUA WANYONGE , UFISADI N.K


Kama Kuna jambo kubwa TAIFA hili tunapaswa kulienzi, ni Uwezo wa kuwawajibisha wale wote walofanya matumizi mabaya ya pesa za Raia Kwa Faida zao Binafsi.


Ndio, na tuliona, Wote tulikaa meza Moja, Lugha ikawa Moja, TAJIRI wa haki akabaki na utajiro wake, TAJIRI wa ujanja ujanja na Maisha ya uhuniuhuni WAKAWAJIBISHWA.




JPM akahakikisha Ofisi Y Z M K L, zinatangaza Ajira hadharan, Vijana wanapata Ajira Kwa uwazi kabisa.... Kwa kikwete yalikuwepo hayo ???

JPM akafanya Yale yaliosadikika Yakaonekana, watu wakayaona, wakayagusa , na Mpaka Yesu anarudi, ALAMA ALOZIACHA JPM ZITABAKI.






Amekuja sahizi Mwanamke, huyu ni fotokopi ya kikwete , Nchi imerudi kwenye uozo wa ajabu, Maisha yamepanda, Mtaani wizi imezidi, watu wanalia ovyo .



ALAFU NDIO UJE KUWALINGANISHA NYERERE, JPM , NA HAO WENGINE WASWAHILI,??


TAIFA HILI, LINA LUNDO LA VIJANA, WANAOPENDA HELA ILA HAWAPENDI KAZI, VIJANA WANAOPENDA MAISHA YA MTELEMKO , VIJANA WALOLELEWA NA WAZAZI WEZI, MAFISADI, WAJANJAJANJA WAMAISHA, MATOKEO YAKE WAMEAMBUKIZA WATOTO UFINYU WA AKILI !!.


KWA KIJANA ANAYEJITAMBUA, MCHAPAKAZI , MAKINI, ZAMA ZA JPM ZILIKUA ZAMA ZA MAFANIKIO ILI MRADI TU UNAFATA TARATIBU, SHERIA NA KANUNI ZOTE ZINAZOTUONGOZA.



ZAMA ZA JPM, ZILISHUDIA , VIJANJA WAJANJA WAJNJA, KUKATA PUMZI, KUANZA KULIALIA, KWA SABABU MIRIJA YOTE YA PESA NYEPESI ZILIFUNGWA.



SAHIZI MNAFURAHI SABABU, MIRIJA IMEFUNGUKA, NOW MNAWEZA KUPIGA MADILI MADILI MKAPATA PESA .



NI MPUMBAVU PEKEE, NI MPUMBAVU PEKEE AMBAYE ANAWEZA DHARAU JUHUDI ZA MWALIM NYERERE, NA JPM

NARUDIA, NI MPUMBAVU TU NDO ATAFANYA IVO.
Yaani wewe ni mpumbavu katika wapumbavu,na katika wapumbavu kumi basi wewe unaongoza,ngoja nikuambie hakuna alama nzuri aliyoacha Magufuri,ila ameacha matatizo lukuki ambayo kuyatibu mpaka watu wamwage damu,ili waheshimiane la sivyo mwenye nacho ataendelea kuwa nacho na asiye nacho ataendelea kuwa lia lia mpaka mwisho wa dunia.
 
Hamna anayepinga matajiri kuwekeza , infact Sekta binafsi ni kichocheo kikubwa sana Kwa maendeleo.


Wakati huohuo, Uwekezaji huo lazima uwe wa kunufaisha Pande zote mbili .


Wakati wa JK tulishuhudia wawekezaji wengi wengi , lkn Productivity yake haikuonekana !!

Kwann?? Kwa sababu Kila Mmoja alijipigia anavyoweza Kwa faida yake .


Akaja Chuma, Chuma yeye kwanza akahakikisha kama Ulipata Pesa za ujanja ujanja, Lazima uzitapike ., Nahii ipo wazi, HATUA HAIFUTIKI .


Lkn pia akaweka mazingira Bora ya wawekezaji wa ndani na wanje , ili mradi tu Unafata taratibu na kanuni zote .

Kwenye Kodi, wee Lipa tu ,fanya mambo yako.


Ila Kwa wale wawekezaji walotegemea njia za kukwepa Kodi, lazima wamchukie JPM.


Jamaa alituinua mpaka UCHUMI WA KATI AISEE.


Leo Mama yenu anasema, timeshushwa sio Kwa mapenzi ya mtu Bali ya Mungu... Mungu gan anataka watu wawe Masikin?? Kwenye Dini tunaamini Mungu ni sehem ya ukombozi Kwa mwanadamu .





Hamna Rais baada ya Nyerere zaidi ya JPM, huyu mtu aliipenda sana Nchi yake, hakua fisadi , hakujinufaisha yeye mwenyewe .
Uchumi wa mazezezeta yasiyojielewa,Taifa lilikuwa linaporomoka kwa speed ya 4g halafu anakuja mtu eti chuma,hicho chuma kipo wapi?
 
Wakati wa Nyerere, DUNIA ilikua imegawika pande mbili yaan Ubepari (wamaguaribi) na Ujamaa( wamashariki +Asia).


Ubepari ulishuhudia Ubwanyenye ,watu wachache wenye vipato vikubwa sana huku wengi wakiwa Masikini.

Ujamaa, Ukaona wanadam wote ni sawa nahivo Serikali inayowajibu wa kuhudumia Raia wake Kwa usawa na Ubora uleule.



Hata Ivo,, Kutokana na ukweli ulokuwepo wa vita baridi baina ya pande mbili hizi,, Mataifa mengi ya Ujamaa yalishindwa kujiendesha Kwa sababu 'Una viwanda ndio, lkn Spea zake zinatoka Ulaya, na Ulaya sio washirika wako".

Kuporomoka Kwa thaman ya shilingi, bidhaa kuadimika naivo kupanda Kwa gharama za Maisha, kukamfanya NYERERE ANG'ATUKE.

Kwa sababu sisi Wanaume wa Kanda ya ziwa, Huwa hatupigi magoti , Heri kulinda Heshima, KULIKO fedheha za kupiga magoti .




Akaja Chuma JPM, Huyu Mwamba aina ya uongozi wake, ULILIFAA SANA TAIFA HILI KWA SABABU ,ALIPATIKANA KATIKA WAKATI AMBAO TAIFA LILIKUA KWENYE CRISIS , KILA KONA YALIJAA MAJONZI, MANUNG'UNIKO, NCHI IKAOZA, WACHACHE WAKAJINUFAISHA KWA PESA ZA WENGI, KILA MAHALI ULIPOGUSA KILIKUA NI KILIO CHA WATU WALOCHOKA !!


Wewe unadhani kwann uchaguzi wa 2015, Kuna watu hawatousahau?.


JPM akasema Noooooooo, TAJIRO ATAKUA TAJIRI KWA HAKI YAKE ,NASIO PESA CHAFUCHAFU ZITOKANAZO NA RUSHWA, WIZI, KUWAKAMUA WANYONGE , UFISADI N.K


Kama Kuna jambo kubwa TAIFA hili tunapaswa kulienzi, ni Uwezo wa kuwawajibisha wale wote walofanya matumizi mabaya ya pesa za Raia Kwa Faida zao Binafsi.


Ndio, na tuliona, Wote tulikaa meza Moja, Lugha ikawa Moja, TAJIRI wa haki akabaki na utajiro wake, TAJIRI wa ujanja ujanja na Maisha ya uhuniuhuni WAKAWAJIBISHWA.




JPM akahakikisha Ofisi Y Z M K L, zinatangaza Ajira hadharan, Vijana wanapata Ajira Kwa uwazi kabisa.... Kwa kikwete yalikuwepo hayo ???

JPM akafanya Yale yaliosadikika Yakaonekana, watu wakayaona, wakayagusa , na Mpaka Yesu anarudi, ALAMA ALOZIACHA JPM ZITABAKI.






Amekuja sahizi Mwanamke, huyu ni fotokopi ya kikwete , Nchi imerudi kwenye uozo wa ajabu, Maisha yamepanda, Mtaani wizi imezidi, watu wanalia ovyo .



ALAFU NDIO UJE KUWALINGANISHA NYERERE, JPM , NA HAO WENGINE WASWAHILI,??


TAIFA HILI, LINA LUNDO LA VIJANA, WANAOPENDA HELA ILA HAWAPENDI KAZI, VIJANA WANAOPENDA MAISHA YA MTELEMKO , VIJANA WALOLELEWA NA WAZAZI WEZI, MAFISADI, WAJANJAJANJA WAMAISHA, MATOKEO YAKE WAMEAMBUKIZA WATOTO UFINYU WA AKILI !!.


KWA KIJANA ANAYEJITAMBUA, MCHAPAKAZI , MAKINI, ZAMA ZA JPM ZILIKUA ZAMA ZA MAFANIKIO ILI MRADI TU UNAFATA TARATIBU, SHERIA NA KANUNI ZOTE ZINAZOTUONGOZA.



ZAMA ZA JPM, ZILISHUDIA , VIJANJA WAJANJA WAJNJA, KUKATA PUMZI, KUANZA KULIALIA, KWA SABABU MIRIJA YOTE YA PESA NYEPESI ZILIFUNGWA.



SAHIZI MNAFURAHI SABABU, MIRIJA IMEFUNGUKA, NOW MNAWEZA KUPIGA MADILI MADILI MKAPATA PESA .



NI MPUMBAVU PEKEE, NI MPUMBAVU PEKEE AMBAYE ANAWEZA DHARAU JUHUDI ZA MWALIM NYERERE, NA JPM

NARUDIA, NI MPUMBAVU TU NDO ATAFANYA IVO.
Nakuunga mkono
 
Mkuu huu ni mtszamo wsko, ila wengine tuna kitu tunachoamini katika philosophy zao. Kwangu mimi magufuli ndo raiz aliyetawala nikiwa na akili zangu timamu. Nyerere nliuona utawala wake ila wakati anajiondoa nlikuwa bado kuelewa mambo makubwa.japo nlikuwa sio mtoto sana.
Binafsi katika tawala zote zilizopita anzia mkapa nlikuwa na akili zangu kabisa japo kura nlianza kupiga kwa mkwere.
Kati ya wote kwangu hero wa nchi hii ni jpm hata unichinje nitakwambia kata kichwa ila jamaa alikuwa mkombozi wa africa nzima kifikra. Fikra zake zilikuwa juu kuliko hata za wazungu
 
Mungu
kwanza kabisa nianze kwa kusema hakuna siasa zinazoua nchi kimaendeleo kama siasa za kujaribu kunufaisha wanyonge na kulazimisha usawa wa kiuchumi. Ila bahati mbaya kwa Africa, 'marais wa waonyonge' ndio wanaonekana ndio sahihi

Mfano akitokea Rais akaanza ku deal na matajiri, akachukua mfano viwanda vya Bakresa, Mo, azania n.k na kuvifanya vya serikali ambavyo vitakuwa vinazalisha na vinagawa maziwa, unga na bidhaa nyingine bure kwa wananchi, huyu Rais atashangiliwa na nchi nzima na Waafrica wengi watamuona mkombozi

Lakini bila kujua njia yake hii ya kuwapa dezo na vya bure wanyonge sio sustainable na baada ya miaka kadhaa viwanda vitafilisika

Na hii ndio mistake aliyofanya Nyerere na Magufuli
Wakati wa Nyerere utasikia baadhi ya watu wakisifu tulikuwa tunakunywa sijui maziwa, nyama za bure, tunasoma bure n.k

Lakini huu ubure huu ulitokana na serikali kutaifisha viwanda na ranchi za wawekezaji na kuua uchumi, na pia kuwajengea wananchi utamaduni mbaya wa kudhani serikali ndio baba wa kuwafanyia kila kitu na wao ni kuisujudu

Matokeo yake ni tabaka la watu wanaofikiri, wanaojenga uchumi kwa kuzalisha linafutwa na kujenga taifa la watu wasiofikiri sana, waoga na wanaotegemea kupewa vya bure serikali

Hili ndio taifa aliliacha Nyerere, kwa kujua ama makusudi. Tiafa kama hili haliwezi kupata maendeleo endelevu, bali kila kitu kitategemea serikali

Magufuli nae alikuwa akielekea huku huku, taifa ambalo Serikali ina nguvu kubwa kwenye uchumi, na wananchi wanaoisujudu, serikali inayopiga vita tabaka la kati na la juu ambao ndio wanaoendeleza nchi
Akusamehe, hujielewi hata kidogo. Tafuta tofauti ya kiongozi mtaifa na kiongozi mbinafsi.
 
Mtu anayeweza kulinganisha JPM na MDEBWEDO wa saa hizi, huyo anafaa kupelekwa haraka Mirembe.

Mimi nimekubali kwamba, JPM alikuwa CHUMA kweli kwe.
Mimi nimewahi kuishi maeneo ya Makambako miaka ya 2013 hadi 2017.
Wakati ule wa miaka ya 2013 hadi 2015( Wakati wa utawala wa JK), Makambako nzima ilijaa kundi la WAPIGANONDO. Ilikuwa ukichelewa kidogo tu kurudi nyumbani jioni, unapigwa Nondo.

Lakini alipoingia tu JPM, 2015 hadi 2020, WAPIGANONDO, VIBAKA, WATEKAJI wa MAGARI NA WAPORAJI kwenye maduka wote walitoweka kwa speed isiyo ya kawaida. Watu wa Makambako waliishi kwa furaha na kwa Uhuru wote.
Lakini alipotoweka tu JPM, mauaza uza yote yanarudi kwa kasi ya Kimbunga.
Kama kuna mtu anabisha namtuma aende Makambako akaeaulize watu wa kule ya haya niyasemayo.

Kwa kifupi, JPM alikuwa mkombozi wa kweli wa Watanzania.
RIP, OUR BELOVED FATHER, JPM.
 
Yani watanzania kama mafala. Sasa kukamata wauza madawa ya kulevya na wahujumu uchumi ni kuchukia matajiri. Hao watu wafanye hayo mambo usa uone kama hawajaozea jela
Watanzania wengi walizoea maisha ya hovyo ya deals na connection za kukwepa kodi, magendo, mtu anafanya ujinga akijua ana bamdogo oysterbay police akizingua tu atamtumia kusolve kesi, anabeba magendo toka mkoa mmoja kwenda mwengine sababu ana link ya kumfikia IGP. Hakuna polisi njiani atamgusa. Ni simu moja tu mtu anapoteza kibarua. Huu ndio ulikuwa mfumo wa maisha na mtu wa deal hakosi hela mda wowote kwahio rushwa inatembea mwanzo mwisho. Mtu akishauza gunia za bangi zake anatembeza mlungula kwa IGP na RPC wa mkoa anaotoka biashara inaenda bila kukwama.

Mbaya zaidi hii michezo ilikuwa na level za kutisha maana watu wote wa karibu na mkuu wa kaya wanaishi kwa mtindo huu, bandarini mizigo inaingia ya wanyonge inachajiwa kodi ila ya affiliates wa mshua wao wana exemption. Kila wakati inapigwa simu tu mtu anatoa 50% ingine inayobaki ndio ntolee. Ikafikia wakati Home Shopping Center ndio dealer wa imports ukiipitishia mzigo kwake kodi unachangia kidogo tofauti na ukiingiza kama mtu binafsi.

Madawa ndio ilikuwa yanatembea balaa humu mgao ulikuwa unamfikia mwamba direct. Hela ilikuwa ya kuzidi ila 50% ya hela yote kwenye mzunguko ni hela chafu. Kila mtu ana hela yani mtu anaweza akaamka hana hata 100 ila akienda kushinda kijiweni tu inaweza ikaita simu moja watu wakaishia kulala bar! Furaha ya watu wengi mjini ilikuwa juu maana wengi waliweza afford milo ya siku bila shida maisha yalikuwa expensive ila maumivu yalikuwa hayasikii sababu ya hela ni rahisi kuipata. Wachache sana aalikuwa wanatubu ambao connection hawana. Waliokuwa na mitaji wanazungusha hela walifanikiwa kuzikusanya kwa wingi sana ghafla maana hela chafu ilikuwa imetapakaa mtaani. Wasio na mitaji walikuwa wanatubu tu kwa jeuri ya wenye hela.

Watumishi mishahara inagaiwa japo kwa kuchelewa ila per diem mlima watu wanajiandikia masafari tu, wengine hawaji kabisa kazini maybe week mbili za kwanza ya tatu na nne haji. Maboss ndio wanakuja kuchungulia ofisini na kutoka. Ni safari mwanzo mwisho. Wenye nafasi kama wahasibu na waratibu mipango, maafisa manunuzi nako ni shangwe tu. Unaagiza misumari ya elfu 5 boksi, unaandikia elfu 20 boksi. Hamna mtu anamuda wa kufuatilia. Hela ikitoka unagawana na boss zako wanakula 10% maisha yanaenda.

In a blink of an eye akaja mtu ambaye hakuwa mfuasi wa aina hii ya mfumo anavuruga connections zote. Kuanzia wa juu wa katikati na wa chini. Kunakuwa hamna cordination wala harmony kisha anaweka mfumo wa electronic payments... Njaa inatawala ofisini vibaya mno maana ulikuwa unaishi maisha ya mtu wa kipato cha 10M kwa mwezi wakati unachopokea hasa ni 1.2M lazma msongo wa mawazo ukupate. Watoto wako shule expensive ghafla upepo ume change. Mke ashazoea maisha ya kistaa sana kushinda masaki kuponda raha mara paap hela za kuchezea hamna. Boss safari wala semina hamna anaishi kama dubu, safari za UK na US zimekata, za mkoani hakuna anatakiwa aishi kwa 4.5M wakati alizoea 20M per month lifestyle. Hivi kwa hali kama hii Magufuli utaacha kumchukia kweli? Mfanyabiashara anatakiwa afanye clearance ya mizigo yake individually na kulipa tozo zote za bandari na kodi stahiki. Kama mzigo wa million 100 alikuwa anaulipia million 1 tu bandari sasa inatakiwa aulipie 7M kwa haki je hataanza kuhaha na kumaindi raisi? Mianya mingi ya hela chafu ilifungwa kazi ikawa kumtukana mzee wa watu tu mitandaoni. Watanzania hatunaga shukurani kabisa sasa awamu hii fisi wa chama kafunguliwa tena kuja kutula tukiwa wazima kupitia tozo ambazo hazijulikani ni bei gani wanakusanya na zinatumika vipi.
 
kwanza kabisa nianze kwa kusema hakuna siasa zinazoua nchi kimaendeleo kama siasa za kujaribu kunufaisha wanyonge na kulazimisha usawa wa kiuchumi. Ila bahati mbaya kwa Africa, 'marais wa waonyonge' ndio wanaonekana ndio sahihi

Mfano akitokea Rais akaanza ku deal na matajiri, akachukua mfano viwanda vya Bakresa, Mo, azania n.k na kuvifanya vya serikali ambavyo vitakuwa vinazalisha na vinagawa maziwa, unga na bidhaa nyingine bure kwa wananchi, huyu Rais atashangiliwa na nchi nzima na Waafrica wengi watamuona mkombozi

Lakini bila kujua njia yake hii ya kuwapa dezo na vya bure wanyonge sio sustainable na baada ya miaka kadhaa viwanda vitafilisika

Na hii ndio mistake aliyofanya Nyerere na Magufuli
Wakati wa Nyerere utasikia baadhi ya watu wakisifu tulikuwa tunakunywa sijui maziwa, nyama za bure, tunasoma bure n.k

Lakini huu ubure huu ulitokana na serikali kutaifisha viwanda na ranchi za wawekezaji na kuua uchumi, na pia kuwajengea wananchi utamaduni mbaya wa kudhani serikali ndio baba wa kuwafanyia kila kitu na wao ni kuisujudu

Matokeo yake ni tabaka la watu wanaofikiri, wanaojenga uchumi kwa kuzalisha linafutwa na kujenga taifa la watu wasiofikiri sana, waoga na wanaotegemea kupewa vya bure serikali

Hili ndio taifa aliliacha Nyerere, kwa kujua ama makusudi. Tiafa kama hili haliwezi kupata maendeleo endelevu, bali kila kitu kitategemea serikali

Magufuli nae alikuwa akielekea huku huku, taifa ambalo Serikali ina nguvu kubwa kwenye uchumi, na wananchi wanaoisujudu, serikali inayopiga vita tabaka la kati na la juu ambao ndio wanaoendeleza nchi
Ni okay
 
kwanza kabisa nianze kwa kusema hakuna siasa zinazoua nchi kimaendeleo kama siasa za kujaribu kunufaisha wanyonge na kulazimisha usawa wa kiuchumi. Ila bahati mbaya kwa Africa, 'marais wa waonyonge' ndio wanaonekana ndio sahihi
Usilazimishe kukosa uelewa wako juu ya jambo iwe ndiyo ukweli unaotaka wengine nao wauelewe kama unavyodhani wewe unauelewa.

Kichwa cha mada yako kinaonyesha wazi huna ulijualo. Unachanganya tu mambo, kama ilivyo kawaida ya matokeo ya elimu ya siku hizi.
 
kwanza kabisa nianze kwa kusema hakuna siasa zinazoua nchi kimaendeleo kama siasa za kujaribu kunufaisha wanyonge na kulazimisha usawa wa kiuchumi. Ila bahati mbaya kwa Africa, 'marais wa waonyonge' ndio wanaonekana ndio sahihi

Mfano akitokea Rais akaanza ku deal na matajiri, akachukua mfano viwanda vya Bakresa, Mo, azania n.k na kuvifanya vya serikali ambavyo vitakuwa vinazalisha na vinagawa maziwa, unga na bidhaa nyingine bure kwa wananchi, huyu Rais atashangiliwa na nchi nzima na Waafrica wengi watamuona mkombozi

Lakini bila kujua njia yake hii ya kuwapa dezo na vya bure wanyonge sio sustainable na baada ya miaka kadhaa viwanda vitafilisika

Na hii ndio mistake aliyofanya Nyerere na Magufuli
Wakati wa Nyerere utasikia baadhi ya watu wakisifu tulikuwa tunakunywa sijui maziwa, nyama za bure, tunasoma bure n.k

Lakini huu ubure huu ulitokana na serikali kutaifisha viwanda na ranchi za wawekezaji na kuua uchumi, na pia kuwajengea wananchi utamaduni mbaya wa kudhani serikali ndio baba wa kuwafanyia kila kitu na wao ni kuisujudu

Matokeo yake ni tabaka la watu wanaofikiri, wanaojenga uchumi kwa kuzalisha linafutwa na kujenga taifa la watu wasiofikiri sana, waoga na wanaotegemea kupewa vya bure serikali

Hili ndio taifa aliliacha Nyerere, kwa kujua ama makusudi. Tiafa kama hili haliwezi kupata maendeleo endelevu, bali kila kitu kitategemea serikali

Magufuli nae alikuwa akielekea huku huku, taifa ambalo Serikali ina nguvu kubwa kwenye uchumi, na wananchi wanaoisujudu, serikali inayopiga vita tabaka la kati na la juu ambao ndio wanaoendeleza nchi
Weka andiko la PhD la huyo Dokta Magufuli
 
Maguful n nyerere ni viongoz wazur kwanz wanasifa kuu ya kiongoz ambyo ni ujasiri,unpokua kiongoz Kuna wengn wankuj kukujrb il wakuarbie mfum wako Lin ukiw n msimamo wenyew wankua mbl n we,tukae tukijua kil jmbo linabarak kutk kwa mung nyerer mung alimjalia kuongz Tanzania kwa kpnd kil ili kuikmboa inch kwa wakolon n kuiwk hurt alfnkiw n magufli amkj kpnd ambch inch ipo kweny depression ni Zaid ya crisis amefany yk n ameionyesh mxmamo wake ktk kz,hat we mwanaum ni kiongz ktk fmlia yko uspokua n misimamo ktk kuendsh famlia hata watt wako mke wako watkuchzea n wataharbikiwa,kw ufup hawa watu Wana mazuri meng japo hap dunian viumb wanpnd utend mazur tu siku ukitnda baya litafuta mazur yako yooote uliyoyatenda,hvyo ndug zang tuvute pumz dakk mja kuwaombea hawa watanguliz nyerere n maguful il mung awapumzshe Mahal pema peponi,Aamin
 
Back
Top Bottom