Mpeleke shule ya wanafunzi 10 au mfundishe mwenyeweEeh ili nione kama kweli adhabu apewayo inastahili.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mpeleke shule ya wanafunzi 10 au mfundishe mwenyeweEeh ili nione kama kweli adhabu apewayo inastahili.
Yaani walimu wengi wana shida ya afya ya akili sio bure.Huo ndio ukweli, akili ikiwa katika utimamu wake hauwezi kumuadhibu mtoto kwa kiasi hiki, huu ni UKATILI KWA WATOTO haifai.
Punguza chuki mkuu. Umaskini wako usifanye uchukie hadi watoto wa Mwiguli kutokusoma hapo.Sorry mtoto w mwigulu anasoma shule kama hii?
Get well soon 🙏.
All the best
Shida ni stress na stress zenyewe ni madeni tu, huku bank, huku maboto, huku mkopo kausha damu, mkopo chupi mkononi, vicoba,......huu muunganiko ukimdaka mtoto wa mtu lazma umjeruhi 😁Yaani walimu wengi wana shida ya afya ya akili sio bure.
Hivi unapambana tena na mtoto wa kike kumuadhibu namna hii ili iwe nini yaani.
Tutahakikisha hii inasambaa kwenye mitandao ya kijamii ili mwalimu husika achukuliwe hatua za kisheria.
Tukiendekeza haya ipo siku watoto watauliwa kiholela mashuleni halafu tutakuwa hatujawalinda watoto wetu dhidi ya ukatili wa hawa walimu wasio na elimu.
Dah, umenifanya nicheke kwa sauti mkuu ingawaje habari ya watoto kujeruhiwa inasikitisha mno.Shida ni stress na stress zenyewe ni madeni tu, huku bank, huku maboto, huku mkopo kausha damu, mkopo chupi mkononi, vicoba,......huu muunganiko ukimdaka mtoto wa mtu lazma umjeruhi 😁
Jinai ni kutenda kosa lililokatazwa na sheria husika.Jinai ni nini?
Dini imeandikwa na watu kama mimi, the same applies to jinai imeandaliwa na watu kama mie.
Swala la walimu kuwa Failures ni mtazamo wako!
dada yangu dunia ya sasa watu ni kama half deadWatoto wenyewe ni legelege fimbo tano tu unakufa.
Ila na hao waleta clip tena waalim wenzie ni kama wana ugomvi
Unataka tufanye nini? Tuandamane?Mtapiga kelele siku mbili mtakaa kimya.