Ha ha ha haaaaaaa!! "Aaaah, Ahaaaa!! Kuwa na Heshima bwana, sawa Demi ? Kuwa na Heshima bwana"Kwani hapa tunadiscuss nini ndugu? Au kuna mtu kasifia. Nyie wenzetu mnapenda sana kulalamika bila sababu ya msingi.
Makundi yanayoongoza kulalamika
1. wanawake
2. Walemavu
3. Nyie wenzetu
Hawa rafiki zangu nawapenda sana ila tatizo lao ndo hilo moja hawakosi kulalamika wanaonewa. Sasa hapa hebu niambie huyo ndugu kalalamika nini? Nadhani alitamani mada imzungumzie ustaadh labdaHa ha ha haaaaaaa!! "Aaaah, Ahaaaa!! Kuwa na Heshima bwana, sawa Demi ? Kuwa na Heshima bwana"
Naona namba 3 umetumia tafsida kidogo maana ungelitaja kama lilivyo Ijumaa yako ya Leo ingekua chungu!
Mkuu nyinyi si mnasemaga ni wengi Kuliko upande wa pili! Hebu jitokezeni kwa wingi kwenye huu Uzi tumkemee Mwalimu khafiri!Ha ha...hapa huu uzi hawauoni.
Analalamika kwamba kwanini wakristo hamtiririki kwenye huu Uzi! Amesahau ni mshenzi tu haijalishi dini yake!Hawa rafiki zangu nawapenda sana ila tatizo lao ndo hilo moja hawakosi kulalamika wanaonewa. Sasa hapa hebu niambie huyo ndugu kalalamika nini? Nadhani alitamani mada imzungumzie ustaadh labda
Hii story ya Maumba niliwahi ukisikia mkuuMshitakiwa hakujitete,kweli hiki kizazi cha laana nakumbuka mwanzirishi wa hii tabia jamaa mmoja akiitwa Maumba sijui yuko wapi
Tupo hapa kumponda mwalimu wa kanisa. Na watakuja wengi tu kuchangiaAnalalamika kwamba kwanini wakristo hamtiririki kwenye huu Uzi! Amesahau ni mshenzi tu haijalishi dini yake!
Upande wa pili wananongwa sana!
Itakuwa wamewaachia na nyie mtiririke kama wao wanavyotiririka kwa ustaadh mkuuIngekuwa ni ustadh wa madrasa tungeona mtiririko mrefu lakini mwalimu wa kanisa kimyaaa.
Kama CCM walimpokea babu Seya na kumkaribisha ikulu Kama shujaa unategemea nini?Watoto wapelekwe kwanani wakuaminiwa, kama watu wa dini wenye Mungu wanawaadhibu watoto kiwango hiki?
Angekua baba mkubwa ungalinena uliyonena?Baada ya kuanza kusoma hapo juu nilishtuka kidogo baada ya kukuta jina linafanana na la baba angu mkubwa. Ila baada ya kuendelea kusoma, nimejiridhisha kuwa sio yeye. Huyo mpumbavu aende na yeye akachumishwe tembele huko segerea ili iwe fundisho kwa wengine
Unamaanisha comments?? Au unamaanisha ustadh hawezi fanya??Ingekuwa ni ustadh wa madrasa tungeona mtiririko mrefu lakini mwalimu wa kanisa kimyaaa.
Mbona mnapenda kulalamika Kwani kuna mtu amesifia au kupinga?Ingekuwa ni ustadh wa madrasa tungeona mtiririko mrefu lakini mwalimu wa kanisa kimyaaa.
Ingekuwa ni ustadh wa madrasa tungeona mtiririko mrefu lakini mwalimu wa kanisa kimyaaa.
No!Unaona Eeeee pangekua hapatoshi ukumbin
Angekua baba yako mkubwa ungeandika hivi hivi?Baada ya kuanza kusoma hapo juu nilishtuka kidogo baada ya kukuta jina linafanana na la baba angu mkubwa. Ila baada ya kuendelea kusoma, nimejiridhisha kuwa sio yeye. Huyo mpumbavu aende na yeye akachumishwe tembele huko segerea ili iwe fundisho kwa wengine
Ni zaidi ya ukatili inabidi uongozi wote wa hapo kanisan uchunguzwe pengine ndio zao.Hizo.Hii dunia sasa tukimbilie wapi na watoto wetu, tunawapeleka kanisani tukihisi ni sehemu salama kiasi na kuna hofu ya Mungu, kumbe siyo kweli mtoto wa miaka 4 jamani[emoji19]
Tatizo kule upande wenu haya mambo ndio yapo Sana. Ni Kama jadi yaniIngekuwa ni ustadh wa madrasa tungeona mtiririko mrefu lakini mwalimu wa kanisa kimyaaa.
Kabisa , inaogopesha watoto wetu hadi wakue wafikie kujitambua inabidi wakwepe mishale mingi, si kanisani,shuleni nk😪Ni zaidi ya ukatili inabidi uongozi wote wa hapo kanisan uchunguzwe pengine ndio zao.Hizo.