Affet
JF-Expert Member
- Jul 8, 2018
- 1,189
- 1,672
Ifike hatua wenzetu wakristo mtambue kwamba ushenzi wa mtu mmoja usiwe ndio tafsiri ya dini ya mtu kila sehemu kuna wema na wabaya sipati picha ingekuwa mwalimu wa madrasa ndie kafanya huu ushenzi saa hz uzi ungekuwa page ya 683649996059004266 kututukana waislam na mtume wetu kwa ufirauni tu wa mjinga mmoja yupo zake kibonde maji huko