Acha tu ndugu yangu wenzetu wanajisahau sana ikija topic hapa muislam kakosea matusi yanakuwa meeengi sana padri shoga sijui mchungaji anatafuna wake za watu hawachangiiIngekuwa ni ustadh wa madrasa tungeona mtiririko mrefu lakini mwalimu wa kanisa kimyaaa.
HaaaaaahaaaaaHa ha...hapa huu uzi hawauoni.
Kweli mkuu,wazazi tuwalinde watoto popote pale kadiri inavyowezekana,tusiwaamini sana walezi tunaowakabidhi.Haya yanayoripotiwa huku ni machache tu kati ya mengi yanayofanyika.Ila kiukweli Tuition, Sunday Schools na Madrasa hizi sehemu ni za kuziangalia kwa makini sana...
[emoji23][emoji23][emoji23]Ingekuwa ni ustadh wa madrasa tungeona mtiririko mrefu lakini mwalimu wa kanisa kimyaaa.
Ile mbinguwataingia wakina nani sasaMahakama ya Mkoa wa Kinondoni imemhukumu kifungo cha miaka 30 jela Elisha Mushi, mkazi wa Ubungo Kibangu baada ya kuthibitika kumlawiti mtoto wa miaka minne kanisani...
Hahahaha.. kwa kuwa kitendo alichofanya ni cha kinyama sana ningeongea tu mkuu ili sheria ichukue mkondo wakeAngekua baba mkubwa ungalinena uliyonena?
Baby, tuwapeleke watoto wetu Madrasa kwa Alhajj Ustaadh mzenjiboy , hakika watakuwa salama salmin!! 🥵Hii dunia sasa tukimbilie wapi na watoto wetu, tunawapeleka kanisani tukihisi ni sehemu salama kiasi na kuna hofu ya Mungu, kumbe siyo kweli mtoto wa miaka 4 jamani😒
Sawa babe itabidi tufanye hivo😛Baby, tuwapeleke watoto wetu Madrasa kwa Alhajj Ustaadh mzenjiboy , hakika watakuwa salama salmin!! 🥵
[emoji23]Kuna watu siyo wa kuwaacha karibu na watoto wa kike mfano padre yan mtu hana hata demu alaf umuachie mtt wa kike amuache?