Mwalimu wa Kanisa ahukumiwa miaka 30 kwa kosa la kulawiti

... kwani kuna aliyekuzuia kutiririka? Tiririka umwage "sumu" iliyokujaa kifuani

Itakuwa wamewaachia na nyie mtiririke kama wao wanavyotiririka kwa ustaadh mkuu

Huyo mwl kafanya upumbavu na imempasa hiyo adhabu
lakini dini yake haiusishwi kwenye komenti lakini ingekuwa muislam ndio kafanya hivyo zingeaNZA KASHFA KWA UISLAM
 

Kutangaza pía kunasaidia kuwaonesha Jamii namna adhabu ilivyo kali, hvyo hata kama kuna wengne wenye nia ya kutenda huo uovu basi wataacha mara moja kwa kuhofia kupotelea jela kwa miaka 30
 
Utamfanyiaje mtoto hivyo
Huyo lazima kichwani ana
Fuse imekatika

Ova
 
Hii dunia sasa tukimbilie wapi na watoto wetu, tunawapeleka kanisani tukihisi ni sehemu salama kiasi na kuna hofu ya Mungu, kumbe siyo kweli mtoto wa miaka 4 jamani😒
Usipeleke mtoto tu bils kujua utaratibu wa kufundisha watoto, na tabia za waalim. Hakikisha unampeleka mwenyewe na ibada ikiisha kamchukue.

Mungu atakudai pale mtoto atakapoumizwa kwa uzembe wako. Mungu atusaidie na tusiache kuwaombea wanetu!
 
Kutangaza pía kunasaidia kuwaonesha Jamii namna adhabu ilivyo kali, hvyo hata kama kuna wengne wenye nia ya kutenda huo uovu basi wataacha mara moja kwa kuhofia kupotelea jela kwa miaka 30
Inassidiaje wakati matendo bado yanaendelea ?

Huyu aliyefsnys hivi unadhani hakujua hukumu ya alitendalo na adhsbu yake ilivyo kali ?
 
Usipeleke mtoto tu bils kujua utaratibu wa kufundisha watoto, na tabia za waalim. Hakikisha unampeleka mwenyewe na ibada ikiisha kamchukue.

Mungu atakudai pale mtoto atakapoumizwa kwa uzembe wako. Mungu atusaidie na tusiache kuwaombea wanetu!
Aisee haya ila ni Kuwaombea tu, utawachunga mara ngapi mkuu huko shule pia nk.
 
Aisee haya ila ni Kuwaombea tu, utawachunga mara ngapi mkuu huko shule pia nk.
Dunia hii inazidi kuoza. Sio shule tu, hata TV zinabaka, kulawiti na kuharibu akili za watoto. Ni vyema mzazi kufanya sehemu yako kwa uaminifu. Mengine ni Mungu ndiye atafanya. Waombee lakini pia pambana kuwalinda kadri utakavyoweza.

Ushauri wa bure kwa wale wanaopenda kupeleka watoto shule kwa kuangalia ufaulu. Kabla hujampeleka shule mtoto, hakikisha shule inasimamia maadili mazuri na usalama wa watoto kwa maana ya mazingira na walezi wako vizuri ndio uangalie issue ya ufaulu.

Pili fundisha mwanao mbinu za kujilinda. Mfano mwambie maeneo ambayo mtu yeyote awe mwalimu, mwanafunzi et al akimshika awe mkali, apige kelele au kuripoti. Hii itamsaidia kwa kumtia hofu mtu aliyepanga uovu. Angalau inaongeza line of defense.

Bwana aturehemu!
 

Kumbe hata huko yapo[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]
 
Unaona Eeeee pangekua hapatoshi ukumbin

Wangesema ndio michezo yao wanafundishana huko mara kwanini mnawaacha watoto wenu na mwalimu qa madrasa mara ungesikia ndio dini yao ilivyo
 
Mshitakiwa hakujitete,kweli hiki kizazi cha laana nakumbuka mwanzirishi wa hii tabia jamaa mmoja akiitwa Maumba sijui yuko wapi
Tabia hii ilikuwepo hata kabla ya Maumba kuzaliwa. Vile tu yeye alikuwa wa kwanza kutangazwa hadharani
 
Hakuna kitu kinachoitwa mwalimu wa kanisa, nadhani mwandishi amejaribu kubalance na walimu wa madrasa. Lakini pia kanisa linaitwa Embassy Kindom, hili kanisa au kijiwe cha wahuni wanaotumia mwamvuli wa uhuru wa kuabudu
 
Madangulo kibao unapata mbunye za buku 2000 yanini kubaka acha akome
 
Inassidiaje wakati matendo bado yanaendelea ?

Huyu aliyefsnys hivi unadhani hakujua hukumu ya alitendalo na adhsbu yake ilivyo kali ?
Wanajua adhabu ilivyo, lakini kitendo cha kutangaza hadharani namna hukumu ilivyo inasaidia kupunguza japo itachukua miaka kadhaa vitendo hivi kuja kukoma kabisa
 
Wanajua adhabu ilivyo, lakini kitendo cha kutangaza hadharani namna hukumu ilivyo inasaidia kupunguza japo itachukua miaka kadhaa vitendo hivi kuja kukoma kabisa
Elezea inapunguza vipi wakati hawa wanaofanya weshasikia yaliyowakuta wenzao

Usiseme yanapunguza tu,sema yanapunguza kivipi ?
 
Wanajua adhabu ilivyo, lakini kitendo cha kutangaza hadharani namna hukumu ilivyo inasaidia kupunguza japo itachukua miaka kadhaa vitendo hivi kuja kukoma kabisa
Elezea inapunguza vipi wakati hawa wanaofanya weshasikia yaliyowakuta wenzao

Usiseme yanapunguza tu,sema yanapunguza kivipi ?
 
Mama mwema na mpole, Samia Suluhu Hassan, ampe msamaha kama alivyofanya kwa wengine siku za kwanza za Urais wake.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…