Pre GE2025 Mwamakula: Wajumbe wameambiwa kuipiga picha au kuweke alama karatasi ya kura kama ushahidi wa kuongezewa pesa baadaye

Pre GE2025 Mwamakula: Wajumbe wameambiwa kuipiga picha au kuweke alama karatasi ya kura kama ushahidi wa kuongezewa pesa baadaye

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Wakuu,

Kupitia ukurasa wake wa X, askofu Mwamakula amasema wajumbe wameambiwa waweke alama ya ushahidi kwenye kura ili wapewe kipoozeo baadaye kwa kumchagua (Mbowe).

Mambo yameanza kuwa yamoto mapema kabisa!

=====

Pia soma: Yanayojiri Uchaguzi Mkuu CHADEMA nafasi ya Mwenyekiti & Makamu Mwenyekiti 2025: Ni Mbowe au Lissu

"Wajumbe wameambiwa wakipiga kura waipige picha au waweke alama katika karatasi ya kura. Ni mbinu ya kuwabana wapiga kura wampigie mgombea fulani ili uwe ushahidi wa kuongezewa pesa baadaye. Msimamizi wa Uchaguzi asiruhusu kura kupigwa picha na kuwekwa yeyote alama nyuma au mbele."

Huku Lema akiweka post jana akisema hilo halitaruhusiwa kufanyika.

Mgalalamika sanaa mwaka huu! Wagombea wote wana nguvu sawa
 
Hii chadema ya sasa utadhani sio ile iliyokuwa inadai demokrasia kwa ccm 😂

Anyway, tupate salamu kutoka kwa mwenyekiti king'ang'anizi

 
Wakuu,

Kupitia ukurasa wake wa X, askofu Mwamakula amasema wajumbe wameambiwa waweke alama ya ushahidi kwenye kura ili wapewe kipoozeo baadaye kwa kumchagua (Mbowe).

Mambo yameanza kuwa yamoto mapema kabisa!

=====

Pia soma: Yanayojiri Uchaguzi Mkuu CHADEMA nafasi ya Mwenyekiti & Makamu Mwenyekiti 2025: Ni Mbowe au Lissu

"Wajumbe wameambiwa wakipiga kura waipige picha au waweke alama katika karatasi ya kura. Ni mbinu ya kuwabana wapiga kura wampigie mgombea fulani ili uwe ushahidi wa kuongezewa pesa baadaye. Msimamizi wa Uchaguzi asiruhusu kura kupigwa picha na kuwekwa yeyote alama nyuma au mbele."

Huku Lema akiweka post jana akisema hilo halitaruhusiwa kufanyika.

Hawa watu wa Mungu feki ni hatari sana. Huu utakuwa ni mpango wao wenyewe. Hata hivyo, utamzuiaje mtu kupiga picha ya kura yake kama taratibu hazikatazi? Ni yale yale ya kutaka Mbowe asigombee. Sasa hivi wamehamia kwenye fitna na husda. Watu wabaya sana. Wanataka fujo zitokee kwa kisingizio cha kuwa watu wanapiga picha! Ovyo kabisa.

Amandla...
 
Wakuu,

Kupitia ukurasa wake wa X, askofu Mwamakula amasema wajumbe wameambiwa waweke alama ya ushahidi kwenye kura ili wapewe kipoozeo baadaye kwa kumchagua (Mbowe).

Mambo yameanza kuwa yamoto mapema kabisa!

=====

Pia soma: Yanayojiri Uchaguzi Mkuu CHADEMA nafasi ya Mwenyekiti & Makamu Mwenyekiti 2025: Ni Mbowe au Lissu

"Wajumbe wameambiwa wakipiga kura waipige picha au waweke alama katika karatasi ya kura. Ni mbinu ya kuwabana wapiga kura wampigie mgombea fulani ili uwe ushahidi wa kuongezewa pesa baadaye. Msimamizi wa Uchaguzi asiruhusu kura kupigwa picha na kuwekwa yeyote alama nyuma au mbele."

Huku Lema akiweka post jana akisema hilo halitaruhusiwa kufanyika.

Mwamakula acha kulialia hapa. Wewe mwenyewe unaishi kwa sadaka za wafuasi wako halafu hapa unawashambulia wajumbe kwa kupokea posho.

Hiki ndiyo kipindi cha mavuno, wajumbe wasipopata hela hapa hawapati tena.

Kwani Lissu akipata kura si naye atapata hela? Tusipangiane namna ya kupata hela
 
Mwamakula acha kulialia hapa. Wewe mwenyewe unaishi kwa sadaka za wafuasi wako halafu hapa unawashambulia wajumbe kwa kupokea posho.

Hiki ndiyo kipindi cha mavuno, wajumbe wasipopata hela hapa hawapati tena.

Kwani Lissu akipata kura si naye atapata hela? Tusipangiane namna ya kupata hela
Utakuta wao ndio wanaotoa posho.

Amandla...
 
What's the bigger Picture, from Mwananchi / Mlipa Kodi Vantage Point ?; Haya Maigizo hayana tija kabisa kwa mbangaizaji kitaa...


 
Wakuu,

Kupitia ukurasa wake wa X, askofu Mwamakula amasema wajumbe wameambiwa waweke alama ya ushahidi kwenye kura ili wapewe kipoozeo baadaye kwa kumchagua (Mbowe).

Mambo yameanza kuwa yamoto mapema kabisa!

=====

Pia soma: Yanayojiri Uchaguzi Mkuu CHADEMA nafasi ya Mwenyekiti & Makamu Mwenyekiti 2025: Ni Mbowe au Lissu

"Wajumbe wameambiwa wakipiga kura waipige picha au waweke alama katika karatasi ya kura. Ni mbinu ya kuwabana wapiga kura wampigie mgombea fulani ili uwe ushahidi wa kuongezewa pesa baadaye. Msimamizi wa Uchaguzi asiruhusu kura kupigwa picha na kuwekwa yeyote alama nyuma au mbele."

Huku Lema akiweka post jana akisema hilo halitaruhusiwa kufanyika.

Mbowe kaamua kuwa kama ccm.
Wajumbe hakikisheni chama kinatoka kwenye hicho kikundi maslahi na kinarudi kwa wanachama.
Lisu pekee atakipa uhai chama chenu
 
Inaumiza sana kuona leo ndani ya CHADEMA inatajwa rushwa.
 

Attachments

  • images (13) (1)~2.jpeg
    images (13) (1)~2.jpeg
    16.3 KB · Views: 1
Wakuu,

Kupitia ukurasa wake wa X, askofu Mwamakula amasema wajumbe wameambiwa waweke alama ya ushahidi kwenye kura ili wapewe kipoozeo baadaye kwa kumchagua (Mbowe).

Mambo yameanza kuwa yamoto mapema kabisa!

=====

Pia soma: Yanayojiri Uchaguzi Mkuu CHADEMA nafasi ya Mwenyekiti & Makamu Mwenyekiti 2025: Ni Mbowe au Lissu

"Wajumbe wameambiwa wakipiga kura waipige picha au waweke alama katika karatasi ya kura. Ni mbinu ya kuwabana wapiga kura wampigie mgombea fulani ili uwe ushahidi wa kuongezewa pesa baadaye. Msimamizi wa Uchaguzi asiruhusu kura kupigwa picha na kuwekwa yeyote alama nyuma au mbele."

Huku Lema akiweka post jana akisema hilo halitaruhusiwa kufanyika.

Yaani Chadema na yenyewe imefikia huko?
 
Back
Top Bottom