Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
hamna lolotesikazii
Kwa mtazamo wake yupo sahihi...
Ndio Nimefikaaa dadalake ngoja nisome!!
Kitu lazima iwe sealed.
Sio kukuta pango.
kwake yeye lazima ila sio kwangu.
Mamako ndoa iliisha katikati au?Nakazia. Bikra sio guarantee ya ndoa imara.
Nakazia. Bikra sio guarantee ya ndoa imara.
sikazii
Kwahyo aliowatoa bikra na hajawaoa anataka waolewe na nan 😀
Vitu vingne ni majaribu tu huyu hana tofauti na wale wadada wanaochagua wanaume ikiwa miili yao bado inalipa muda ukienda utasikia naomba yeyote kikubwa upendo [emoji23] au
Kama sio hvyo bas anataka bikra anaogopa kupigiwa mhmhmh bro kama ni hvyo usijisumbue sana maana hata umpate huyo bikra akishayajua hayo alafu ukawa kaz hufanyi vzr utapgiwa tu na hata ufanye vzr kama ana katabia kauma-lier bado utapigiwa
ukilazimisha sana utategeshewa siku unataka kuthibitisha hilo atakuja akiwa period utapigwa na kitu kizito ni ushauri tu
nikutakie utafutaji mwema kwenye hiki kizazi 😀
Ndio Nimefikaaa dadalake ngoja nisome!!
Afu naomba link ya YouTube nikajionee balaa lako miee!!
Jamaa kasara 😀 itakuwa hajawas kutana na binti bikra masikin na kama ashakutana nao kwanini asimuoe huyo aliyemtoa bikra anataka waolewe na nani
Jamaa kasara 😀 itakuwa hajawas kutana na binti bikra masikin na kama ashakutana nao kwanini asimuoe huyo aliyemtoa bikra anataka waolewe na nani
TAFUTA HELAKumbe mabikra bado wapo?
Kwenye huu ulimwengu wa social medias na uzinzi na talaka na makasiriko
Sasa mwamba hapa anasema mwanamke mwingine haoi lazima awe Bikra Safi ( brand new) hata akiwa na Miaka 50 anatoa
View attachment 2727675
Acha tuMbona kama vile kuna watu wamepanic acheni ufala kila mtu anaye chaguo lake,na suala la bikira zipo bado ni juhudi zako na bahati yako.
NinazoTAFUTA HELA
Ushalogwa.....Ninazo
Pesa ninazoUshalogwa.....