Mwamba huyu amesema haoi mwanamke mwingine zaidi ya Bikra, je wewe?

Sisi tulioharibu mabinti wa watu bikra zao na bado hatutaki kuwaoa tunacomment wapi?
 
Mkuu yule bado sana kwasababu,kabla hajaolewa nilikuwa nampenda sana na yeye ananipenda sema alikuwa anaficha upendo wake kwangu,kaja kuniambia baada ya kuolewa
Alikuwa bikra?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…