Mwambieni CAG, sisi tumeridhika kwa kuwa tumezoea kuibiwa

Hilo dude juu ya shingo sio la kufugia nywele tu bali ni kufiri pia.....
 
Heri Wizi wa hayati hauna madhara kwetu kwa vile vyote ameviacha,tumeridhika,kuliko wizi wa mtu ambaye hajachukuliwa na mola bado yuko duniani tunamuona anatumbua fedha yetu inauma.
 
Rubbish Nonsense
Ndiyo unayo haki na mawazo yako lakini usijumuishe WaTz wote
Who are you kutupangia mawazo yetu
Kaunge ukoo chattle
Atakumbukwa kwa uharibifu wa Umoja Upendo na Uhuru wa WaTz
Indoctrinated and enslaved lot.
 
Best president ever, nini kutubia hata angesema atubake nchi nzima tungefurah tu maguful jembe[emoji16]
 
Utumwa wa akili upi,wa kuwapenda Watanzania,kuchukia ubinafsi,mabeberu na mafisadi!Never.Ila waambieni mabwana zenu mafisadi na mabeberu,kwamba the war is not over yet,it has just begun.The final battle will be in 2025.
Sasa FISADI AU BEBERU
Nani ni nani
Kwa msamiati wenu wa kusifu na kuabudu
Beberu ni Nchi za Magharibi (wanawafadhili katika mengi hasa zile dawa za naniliiii
Fisadi ni mwizi mfujaji wa pesa za walipa kodi
Huu ufisadi si umefanywa na utawala huu wa sisiem au Upinzani waliwahi kutawala hata kwa sekunde wakaiba mpaka mkawaita mafisadi

As long as sisiem itaendelea kutawala haya yataendelea hiyo 2025 mnamuweka malaika yupi tena maana mwendazake aliomba kibali kwa Mungu akawe kiongozi wa malaika ktk Ufalme sijui wa nani

CAG ametoa taarifa namna pesa za walipa kodi zinavyoliwa na wachache halafu mnauliza mbona hakuna jema hata moja hahahhh of coz hakuna zuri ni uchafu mtupu sasa mlitaka atoe tu report ile mnataka mnachekesha kweli

Hakuna anayesema hakujawahi kuwa na wizi ya watawala waliopita nao ni wachafu tu sasa kwa nini Huyu mumuone ni mtakatifu....

Wakukumbukwa ni BABA WA TAIFA MWL Nyerere ( aliipenda Tz na WaTz kutoka moyoni) wengine wote ni wafanyabiashara period.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…