Pre GE2025 Mwambieni Dkt. Nchimbi, aache kupambana na Makonda, Nyota ya Makonda imeinuliwa na Mungu ili kuwatetea wanyonge kama alivyokuwa Hayati Magufuli

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

Wewe guluguja mapepe Elon Musk fanboy hujui hata kusoma kwa ufahanu. Nakwambia Nyerere kaunda nchi, watu wangapi wameanzisha nchi? Hujaelewa wapi hapo? Tena naweka kabisa reservations zangu kuhusu uchumi, ila bado hujui kusoma tu.

Mwanzo mwisho unandika logical fallacies.

Huwezi kufanya mazungumzo ya maana na mimi kwa sababu mimi nafanya mazungumzo kwa logical point.

Wewe unafanya emotional rants.

Na kila nikikupa specific points kuziangalia na kuzifanyia mazungumzo, unatoka kwenye point na kuleta distractions.

Nimekuuliza, unajuaje hii ni chuki na si legitimate philosophical criticism. Mara tatu.

Hujanijibu.

Frankly, you bore me to death. You bore me to death.

I can forgive you for being stupid, I can forgive you for being loud, I can forgive you for being boring.

What I can't do is, forgive you for being stupid, loud and boring at the same time.

I don't even have the energy to engage you and you have lost the privilege to engage me directly.

Sioni sababu ya kujazia watu malumbano yasiyo na tija.

Nakupeleka ignore list, kuanzia hapa sitaona post yako yoyote.

Na wewe unaweza kufanya hivyo.
 
Ina maana makundi kwenye Chama tayari hayaepukiki ??!
Kweli sasa kumekucha !!
Lakini huenda wenyewe wanaelewana ila wapambe ndio wenye mitizamo tofauti, wengine wajamaa wanamtaka Makonda na mabepari wanamtaka Nchimbi !
Ngoja tuone !
 
Acha uchonganishi kila mmoja anafanya kazi kwa mipaka yake, Nchimbi kama boss wa Makonda!
 
Reactions: Ame
Nimekuuliza, unajuaje hii ni chuki na si legitimate philosophical criticism. Mara tatu.

Hujanijibu.
Hahahahaaa... LMFAO.....

Nimekujibu zaidi ya mara tatu toka mwanzo kabisa, labda you are too poor to comprehend my words, and that's proven by you blocking me. Boy... I can forgive you for that but your ego won't allow me.

I told you what you call philosophy, is not philosophy, it's your ego. Na ndo maana nikakwambia hata comments zako zikiwa processed zitatoa hate rating ya 9.5/10.

That means unachokiita philosophical criticism ni actually EGOISTIC CRITICISM.

Na najua ni egoistic sababu I have processed your comments on these issues and that was the result.

Evidence kwamba ww una-take vitu personal sana ni hio unaishia kublock, unajiona uko higher, eti nimepoteza chance ya kuengage na ww, poor soul, mm nipo jf kuburudika ndo maana utanikuta naongelea pombe na madem muda wote humu. Actually ww ndo umepoteza chance ya kuongea na mtu alie ona tatizo lako la akili.
 
utamsababishia matatizo huyo makonda wako......muda si mrefu atawekwa bench,...
 
Acha uchonganishi
 
Makonda endelea kuwanyoosha Ngosha mpaka wasemeeee.
 
Nimependa mparurano wa Hawa MC's wawili Teslarati na Kiranga endeleeni kuonyeshana makali hii ndio burudani hua naifata jf
Mkuu,

Mimi sina muda wa kijibizana na mtu anayeandika mambo emotionally, ambaye ukimsema Mungu wake Elon Musk, hata kwa point za kifalsafa tu, anasema unamsema hivyo kwa sababu ya chuki binafsi.

Amekariri vibaya capitalism's prosperity gospel kawa kama mfuasi wa TB Joshua anayebakwa na kufurahia kwa Stockholm's Syndrome.

Yani kwake it is an all or nothing world, winner or loser, up or down. No nuance. Haelewi juwa Elon Musk anaweza kuwa genius kwenye kuongoza kampuni ya magari ya umeme na maroketi ya kurusha watu, lakini bado akawa asshole kwenye kudeal na watu. Haelewi ukweli huo.

Haelewi kwamba, mini kumsema Elon Musk kama asshole kwenye relationships za watu hakumaanishi sikubali kwamba Elon Musk inawezekana ni high achiever kwenye Tesla na Space X.

Ukimuuliza, unajuaje namsema Elon Musk kwa sababu ya chuki binafsi na si kwa tofauti za kifalsafa, hana jibu.
 
Nimependa mparurano wa Hawa MC's wawili Teslarati na Kiranga endeleeni kuonyeshana makali hii ndio burudani hua naifata jf
Bwana Kiranga ni loser anaejificha kwenye kivuli cha success zake chache akidhani wengine kushinda zaidi ya hapo alipofanya yeye ni dhambi.

The same mentality imekua kiasi kwamba yeye akiona mtu/kitu kina-power zaidi yake yeye basi anaona wivu unaozaa hate then anadeliver hio hate kwa sahani ya criticism,

The same mentality ndo inamfanya asikubali Mungu yupo sababu hataki kuona na kukubali makuu Mungu aliofanya anatamani angekua na uwezo akayafanya yeye ili watu wamtukuze.

Na hawa watu ni very dangerous wakipata power. Sababu wataanza kuforce kuachieve vitu ili tu wao ndo waongelewe, hawatotaka kusikia wengine wakiongelewa kwa makuu waliofanya.

That's kiranga, ila hataki kukubali ukweli.
 
Wewe jamaa unazingua.

Unataka Bashite asifiwe na kila mtum

Kama ndivyo mbona chawa wapo wengi tu wanamsifia hapa jamvini?

Tena kwa sifa za kijinga kabisa.

Vipi hapo?

Kiranga ni akili kubwa.

Uwezo wake wakuchakata mambo unafaa kusikilizwa kwasababu anatumia logic na hiyo ndiyo watu wanataka.
 
Acha ujinga.

Badala uwe na ushirikiano na vijana wenzako hapo mtaani wewe unaleta habari za kuwaunganisha hao matapeli?

Njie raia mnashobokea sana watu wenye label za ungozi.

Fikiria hilo.
Siyo ujinga, Mimi ni mwanaCCM anayewajali watanzania kwa ujumla (wanaCCM na wengine wote).
Kama kuna utapeli inatakiwa uthibitishwe, upingwe na kushughulikiwa.
Kiongozi hana tofauti na raia mwingine, alichopewa ni dhamana tu (cheo/madaraka).
 
Acha kupoteza muda na aina hii ya watu
 
Ebu acha upuuzi! Hao wanyonge hawataki umeme? Labda kwasababu hawawezi ku afford? Na kwamba wanatumia vibatari? What a stupid mind?!

Acheni cheap politics ndo maana nchi haiendelei hii.
 
Tungekuwa tuna uwezo wa kuona watu wanaoandika
 
Kwa nchi za Africa particular Tanzania inabidi wawepo viongozi jamii ya Makonda. Watu wengi wanaopewa mamlaka ya kusimamia mambo mbalimbali hawajitambui kabisa.
Tukiendelea kuchekeana chekeana na kupetiana hatutokaa tuendelee daima.
Ngozi nyeusi haina ustaarabu kabisa. Inabidi ipelekwe mputa mputa.
 
Kwahiyo wewe kwa akili yako finyu unaona waliomteua wamefanya hivyo ili wawe tofauti na wao?

Akili ya wapi hiyo isiyokuwa na akili?!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…