Mwambieni Rais Magufuli apunguze sauti. Nchi hii bila wazungu ni tajiri kwa kipi?

Mwambieni Rais Magufuli apunguze sauti. Nchi hii bila wazungu ni tajiri kwa kipi?

Alichokisema rais ni msimamo wa serikali. Chanjo hizo hazieleweki, wanaotuletea hizo chanjo kwa siku wana 4000, kwanini hawakufanya kwao kwanza wapone? Na kingine na sio nchi moja inatengeneza chanjo pia. Tusipokua makini tutalishwa sumu.

Ila mnaotamani kutafuta chanjo mkachanjwe at your own risk
Kuna namna ya kuwasilisha ujumbe kistaarabu hasa unapokuwa kiongozi; tena kiongozi msomi. Ukiwa kiongozi unawajibu wa kuwa na ustaarabu na umakini kutoleta/kuchochea mkanganyiko na uhasama. Kama ni vigumu kutofautisha uwasilishaji kama "John Magufuli" na "Rais John Magufuli" ni vyema akitayarishiwa kwa maandishi ujumbe wake. Akumbuke kila anachokisema na kukifanya kinaingia kwenye kumbukumbu, tena kama akisi ya Tanzania na Afrika kwa miaka ijayo.

Ni muhimu kuwa makini na maswala ya kiafya - hasa janga hili ambalo ni geni kwa ulimwengu mzima - na kwa hilo nitamshukuru. Ila ninamlaumu kwa namna anavyowasilisha ujumbe wake, na mkanganyiko anaozidi kuleta.
 
Umeongea ukweli mkuu,Rais ni nembo ya nchi hizi kauli zake zinaifanya nchi yetu ionekane ni ya vichekesho,Covid 19 ni pandemic ya dunia na sisi sio kisiwa katika glope hii.
Umeandika upumbavu wa kiwango cha hali ya juu kabisa.
 
Kuna namna ya kuwasilisha ujumbe kistaarabu hasa unapokuwa kiongozi; tena kiongozi msomi. Ukiwa kiongozi unawajibu wa kuwa na ustaarabu na umakini kutoleta/kuchochea mkanganyiko na uhasama. Kama ni vigumu kutofautisha uwasilishaji kama "John Magufuli" na "Rais John Magufuli" ni vyema akitayarishiwa kwa maandishi ujumbe wake. Akumbuke kila anachokisema na kukifanya kinaingia kwenye kumbukumbu, tena kama akisi ya Tanzania na Afrika kwa miaka ijayo.

Ni muhimu kuwa makini na maswala ya kiafya - hasa janga hili ambalo ni geni kwa ulimwengu mzima - na kwa hilo nitamshukuru. Ila ninamlaumu kwa namna anavyowasilisha ujumbe wake, na mkanganyiko anaozidi kuleta.
Kila mtu ana style na tabia yake kwenye kushughulikia mambo ndio maana hata wanasaikolojia waligawa makundi ya watu kadri ya tabia zao. Rais Magufuli yuko hivyo hana konakona kama unavyotaka wewe ila ana ustaarabu na imani kwenye kile anachokijua

Sijui Yule aliyetuita SHITHOLE countries yuko kundi gani😥😥😥
 
Kila mtu ana style na tabia yake kwenye kushughulikia mambo ndio maana hata wanasaikolojia waligawa makundi ya watu kadri ya tabia zao. Rais Magufuli yuko hivyo hana konakona kama unavyotaka wewe ila ana ustaarabu na imani kwenye kile anachokijua

Sijui Yule aliyetuita SHITHOLE countries yuko kundi gani😥😥😥
Sitaki kumfananisha Trump na Magufuli hata siku moja! Ningependa kumfananisha Rais wetu na viongozi wa maana zaidi.

Ni kweli kila mtu ana hulka yake. Ila yeye mpaka mwaka 2025 siyo kila mtu, na anapozungumza hadharani hazungumzi kama mtu yoyote. Yeye ni Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, ni Amiri Jeshi Mkuu ni taswira ya nchi yetu. Neno lake lina nguvu ambayo siyo kila mtu anayo. Hivi vyeo vinampa jukumu la kuzungumza na hadhara kwa kuzingatia weledi.
 
Sitaki kumfananisha Trump na Magufuli hata siku moja! Ningependa kumfananisha Rais wetu na viongozi wa maana zaidi.

Ni kweli kila mtu ana hulka yake. Ila yeye mpaka mwaka 2025 siyo kila mtu, na anapozungumza hadharani hazungumzi kama mtu yoyote. Yeye ni Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, ni Amiri Jeshi Mkuu ni taswira ya nchi yetu. Neno lake lina nguvu ambayo siyo kila mtu anayo. Hivi vyeo vinampa jukumu la kuzungumza na hadhara kwa kuzingatia weledi.
Neno lake lina nguvu ndio maana jana amekataa chanjo zisizoeleweka
 
Wazungu wanatutegemea sana. We unafikiri kwa mfano, Congo ikizuia madini ya Cobalt unajua ajira ngapi zitakufa Ulaya na Asia??. Afrika ikizuia miti shamba yake isikatwe kwa ajili ya kutengenezwa dawa, unajua watu wa ngapi watakufa Duniani ??? Afrika ndiyo bara lenye kila kitu, Ndiyo maana nchi zote zinapigana kuwa na ushawishi Afrika.


Hayo magonjwa mengi unayozungumzia ukifanya uchunguzi utagundua waliotengeneza ni hao hao wazungu. Kwa nini wame y’a tengeneza, Sababu ni ileile niliyo ieleza awali.. Wanajua vizuri sisi tunaweza ishi vizuri tu bila wao..... Hivyo ni lazma watengeneze mazingira ya sisi kuwategemea...

Usidharau Afrika ...

Wenzako wako maabara wanatafuta mbadala wa cobalt km ilivyokuwa magari ya mafuta now ni magari ya umeme
 
Vitu vingi ambavyo Magufuli anaviona kama ni utajiri wa nchi hii vinamtegemea mzungu.

Wazungu wakiacha kununua Tanzanite itageuka kuwa kete za kuchezea bao. Vivyo hivyo kwenye dhahabu, almasi, chuma, bati, n.k . Madini kama uranium hatuyawezi kabisa hata kuyatumia, achilia mbali kuyachimba. Helium hata matumizi yake hatuna.

Bila mzungu utalii wa kila aina haupo na husimama kabisa. Ikiwa watanzania huwa hawaendi kutalii huko kwenye mbuga za wanyama maarufu kama Serengeti, Ngorongoro, Manyara, na Mikumi, nani ataenda Chato?

Sasa Magufuli anaposema nchi hii ni tajiri kwa kuwananga wazungu anaelewa anachosema?

Zimbambwe, Mugabe alikuja na approach hii hii ya Magufuli ya kuwananga wazungu. Matokeo yake umaskini uliowakumba wazimbabwe baada ya wazungu kuondoka na kususa sote tunaujua.

Mwambieni Magufuli, apunguze dhihaka dhidi ya wazungu. Dawa anazotumia yeye kama Rais akiugua, first class medicines, hazitengenezwi Chato. Sasa sijui kaziamini vipi? (Nimechomekea tu jamani).

Wazungu wametutangulia,na wametuwahi wakashika mifumo yote ya kibiashara na kiuchumi. Tuwe wapole, tuwatumikie hawa makafiri ili tupate mradi wetu.

Mkumbusheni Magufuli anachokifanya ni sawa na Matonya kujaribu kushindana na Bakharesa.
Watu wenye akili Kama zako wanatakiwa kupigwa Vita kwa nguvu zote. Haki za watu weusi Marekani zingepatikanaje Kama kusingekuwa na watu jasiri Kama Marthin Luther waliokuwa tayari kufa kwa ajili ya kupigania haki za watu weusi dhidi ya wazungu?

Tunahitaji viongozi wengi wenye ujasiri Kama Magufuli, wanaoweza kusimamia masilahi ya nchi zao dhidi ya mabeberu bila uwoga wowote. Wanaoweza kujisimamia katika maamuzi yao bila kuingiliwa na mabeberu.
Kwa dunia ya sasa ushirikiano hauepukiki lakini uwe ni ushirikiano wenye manufaa pande zote mbili, siyo ushirikiano wa kinyonyaji.

Ni dhambi kubwa kutambua kuwa unaonewa na wewe ukakubali kuendelea kuonewa kwa sababu tu anayekuonea ni mkubwa. Mungu ametupa uwezo wa kutambua zuri na baya, haki na uonevu.
 
Haki za watu weusi Marekani zingepatikanaje
Ktk zama hizi, haki za binadamu na watu siyo ishu tena. Kwani wazungu wanakandamiza haki za binadamu?


Tunahitaji viongozi wengi wenye ujasiri Kama Magufuli,
Tunataka watu jasiri lkn wenye akili na maarifa, wanaojua wanasema nn, wanataka nn na wanapinga nn. Siyo wakurupukaji kamq huyu Magufuli.

Anazodoa wazungu kuhusu chanjo wakati nchi yake haina ubavu hata wa kutengeneza Panadol. Huu siyo ujasiri ni ujinga.

Ktk nchi hii kuna chanjo nyingi sana zinatolewa kwa mama na mtoto. Mama akiwa mjamzito anapewa chanjo. Mtoto akizaliwa anapewa chanjo kama zote. Mbona hajawahi kuhoji usalama wa hizi chanjo? Zinatengenezwa Chato hizi?

Kama wazungu wangekuwa na nia mbaya na sisi wangeshindwa kufanya yao kupitia chanjo hizi?
 
Ktk zama hizi, haki za binadamu na watu siyo ishu tena. Kwani wazungu wanakandamiza haki za binadamu?



Tunataka watu jasiri lkn wenye akili na maarifa, wanaojua wanasema nn, wanataka nn na wanapinga nn. Siyo wakurupukaji kamq huyu Magufuli.

Anazodoa wazungu kuhusu chanjo wakati nchi yake haina ubavu hata wa kutengeneza Panadol. Huu siyo ujasiri ni ujinga.

Ktk nchi hii kuna chanjo nyingi sana zinatolewa kwa mama na mtoto. Mama akiwa mjamzito anapewa chanjo. Mtoto akizaliwa anapewa chanjo kama zote. Mbona hajawahi kuhoji usalama wa hizi chanjo? Zinatengenezwa Chato hizi?

Kama wazungu wangekuwa na nia mbaya na sisi wangeshindwa kufanya yao kupitia chanjo hizi?
Zama hizi haki za binadamu siyo ishu? Umesahau US wanaziandama nchi za Afrika wakizituhumu kukiuka haki za binadamu wakati wao ndo wanaongoza kwa ukiukwaji wa haki za binadamu katika majeshi yao huko Syria, Libya. Unakumbuka gereza la Quantanamo namna lilivyokuwa likitesa wafungwa? Vipi mauaji ya wamarekani weusi yalivyozua maandamo nchi nzima?
 
Vitu vingi ambavyo Magufuli anaviona kama ni utajiri wa nchi hii vinamtegemea mzungu.

Wazungu wakiacha kununua Tanzanite itageuka kuwa kete za kuchezea bao. Vivyo hivyo kwenye dhahabu, almasi, chuma, bati, n.k . Madini kama uranium hatuyawezi kabisa hata kuyatumia, achilia mbali kuyachimba. Helium hata matumizi yake hatuna.

Bila mzungu utalii wa kila aina haupo na husimama kabisa. Ikiwa watanzania huwa hawaendi kutalii huko kwenye mbuga za wanyama maarufu kama Serengeti, Ngorongoro, Manyara, na Mikumi, nani ataenda Chato?

Sasa Magufuli anaposema nchi hii ni tajiri kwa kuwananga wazungu anaelewa anachosema?

Zimbambwe, Mugabe alikuja na approach hii hii ya Magufuli ya kuwananga wazungu. Matokeo yake umaskini uliowakumba wazimbabwe baada ya wazungu kuondoka na kususa sote tunaujua.

Mwambieni Magufuli, apunguze dhihaka dhidi ya wazungu. Dawa anazotumia yeye kama Rais akiugua, first class medicines, hazitengenezwi Chato. Sasa sijui kaziamini vipi? (Nimechomekea tu jamani).

Wazungu wametutangulia,na wametuwahi wakashika mifumo yote ya kibiashara na kiuchumi. Tuwe wapole, tuwatumikie hawa makafiri ili tupate mradi wetu.

Mkumbusheni Magufuli anachokifanya ni sawa na Matonya kujaribu kushindana na Bakharesa.
NANI WA KUMWAMBIA SASA??
 
Zama hizi haki za binadamu siyo ishu? Umesahau US wanaziandama nchi za Afrika wakizituhumu kukiuka haki za binadamu wakati wao ndo wanaongoza kwa ukiukwaji wa haki za binadamu katika majeshi yao huko Syria, Libya. Unakumbuka gereza la Quantanamo namna lilivyokuwa likitesa wafungwa? Vipi mauaji ya wamarekani weusi yalivyozua maandamo nchi nzima?
Kwani haya ndiyo anayoyapigania Magufuli?

Yeye anasema wazungu wana nia mbaya na waafrika, wanaleta chanjo zenye madhara. Ndiyo maana tunahoji ana ubavu wa kujitegemea ktk hili??
 
Hii nchi inaongozwa na extremists. Nyerere alikuwa extremist akabana kila kitu eti Ujamaa. Akaja Mwinyi akafungua kila kitu eti utandawazi. Akaja Mkapa akanafsisha kila kilichotaifishwa kwa kuamini hiyo ndiyo dawa! Akaja Kikwete akawa Mzungu boy! Wazungu wakaja wakaogelea wakacheza, wakachukua...
Na sasa tunaanza upya kwa mara ya pili.
Nchi hii haijapata kiongozi alie balanced hata kidogo. Wote vichwa maji!
Ah, tungepata viongozi kama wa Botswana!
 
Vitu vingi ambavyo Magufuli anaviona kama ni utajiri wa nchi hii vinamtegemea mzungu.

Wazungu wakiacha kununua Tanzanite itageuka kuwa kete za kuchezea bao. Vivyo hivyo kwenye dhahabu, almasi, chuma, bati, n.k . Madini kama uranium hatuyawezi kabisa hata kuyatumia, achilia mbali kuyachimba. Helium hata matumizi yake hatuna.

Bila mzungu utalii wa kila aina haupo na husimama kabisa. Ikiwa watanzania huwa hawaendi kutalii huko kwenye mbuga za wanyama maarufu kama Serengeti, Ngorongoro, Manyara, na Mikumi, nani ataenda Chato?

Sasa Magufuli anaposema nchi hii ni tajiri kwa kuwananga wazungu anaelewa anachosema?

Zimbambwe, Mugabe alikuja na approach hii hii ya Magufuli ya kuwananga wazungu. Matokeo yake umaskini uliowakumba wazimbabwe baada ya wazungu kuondoka na kususa sote tunaujua.

Mwambieni Magufuli, apunguze dhihaka dhidi ya wazungu. Dawa anazotumia yeye kama Rais akiugua, first class medicines, hazitengenezwi Chato. Sasa sijui kaziamini vipi? (Nimechomekea tu jamani).

Wazungu wametutangulia,na wametuwahi wakashika mifumo yote ya kibiashara na kiuchumi. Tuwe wapole, tuwatumikie hawa makafiri ili tupate mradi wetu.

Mkumbusheni Magufuli anachokifanya ni sawa na Matonya kujaribu kushindana na Bakharesa.
Mropokaji mkuu wa taifa. Hajui chochote kuhusu globalization yule alisoma wapi mbona mbumbumbu vile???
 
Vitu vingi ambavyo Magufuli anaviona kama ni utajiri wa nchi hii vinamtegemea mzungu.

Wazungu wakiacha kununua Tanzanite itageuka kuwa kete za kuchezea bao. Vivyo hivyo kwenye dhahabu, almasi, chuma, bati, n.k . Madini kama uranium hatuyawezi kabisa hata kuyatumia, achilia mbali kuyachimba. Helium hata matumizi yake hatuna.

Bila mzungu utalii wa kila aina haupo na husimama kabisa. Ikiwa watanzania huwa hawaendi kutalii huko kwenye mbuga za wanyama maarufu kama Serengeti, Ngorongoro, Manyara, na Mikumi, nani ataenda Chato?

Sasa Magufuli anaposema nchi hii ni tajiri kwa kuwananga wazungu anaelewa anachosema?

Zimbambwe, Mugabe alikuja na approach hii hii ya Magufuli ya kuwananga wazungu. Matokeo yake umaskini uliowakumba wazimbabwe baada ya wazungu kuondoka na kususa sote tunaujua.

Mwambieni Magufuli, apunguze dhihaka dhidi ya wazungu. Dawa anazotumia yeye kama Rais akiugua, first class medicines, hazitengenezwi Chato. Sasa sijui kaziamini vipi? (Nimechomekea tu jamani).

Wazungu wametutangulia,na wametuwahi wakashika mifumo yote ya kibiashara na kiuchumi. Tuwe wapole, tuwatumikie hawa makafiri ili tupate mradi wetu.

Mkumbusheni Magufuli anachokifanya ni sawa na Matonya kujaribu kushindana na Bakharesa.
Ujasiri wa kijinga
 
Vitu vingi ambavyo Magufuli anaviona kama ni utajiri wa nchi hii vinamtegemea mzungu.

Wazungu wakiacha kununua Tanzanite itageuka kuwa kete za kuchezea bao. Vivyo hivyo kwenye dhahabu, almasi, chuma, bati, n.k . Madini kama uranium hatuyawezi kabisa hata kuyatumia, achilia mbali kuyachimba. Helium hata matumizi yake hatuna.

Bila mzungu utalii wa kila aina haupo na husimama kabisa. Ikiwa watanzania huwa hawaendi kutalii huko kwenye mbuga za wanyama maarufu kama Serengeti, Ngorongoro, Manyara, na Mikumi, nani ataenda Chato?

Sasa Magufuli anaposema nchi hii ni tajiri kwa kuwananga wazungu anaelewa anachosema?

Zimbambwe, Mugabe alikuja na approach hii hii ya Magufuli ya kuwananga wazungu. Matokeo yake umaskini uliowakumba wazimbabwe baada ya wazungu kuondoka na kususa sote tunaujua.

Mwambieni Magufuli, apunguze dhihaka dhidi ya wazungu. Dawa anazotumia yeye kama Rais akiugua, first class medicines, hazitengenezwi Chato. Sasa sijui kaziamini vipi? (Nimechomekea tu jamani).

Wazungu wametutangulia,na wametuwahi wakashika mifumo yote ya kibiashara na kiuchumi. Tuwe wapole, tuwatumikie hawa makafiri ili tupate mradi wetu.

Mkumbusheni Magufuli anachokifanya ni sawa na Matonya kujaribu kushindana na Bakharesa.

Sidhani kama unaelewa maana halisi ya kutegemeana hata wazungu wanaendelea kiteknolojia kwa malighafi zinazotoka Tanzania pia so wasiponunua na wao maendeleo yao..... Jaza mwenyewe!
 
Wewe hujawahi kusoma sifa za wasukuma "hata akielemewa na mzigo atasema twente tu" sishangai mimi
 
Hata nguo na viatu anavyo vaa havitengenezwi Tanzania
Umeongea ukweli mkuu,Rais ni nembo ya nchi hizi kauli zake zinaifanya nchi yetu ionekane ni ya vichekesho,Covid 19 ni pandemic ya dunia na sisi sio kisiwa katika glope hii.
 
Back
Top Bottom