Mwambieni Rais Magufuli apunguze sauti. Nchi hii bila wazungu ni tajiri kwa kipi?

Mwambieni Rais Magufuli apunguze sauti. Nchi hii bila wazungu ni tajiri kwa kipi?

Wazungu gani hao unaowasemea,
Ni sawa na mtu akutukanie chakula kisha uzire kula ili hali huna pengine pa kukipata sas wewe si ndio utakufa na njaa?
Tanzanite inanunuliwa na wafanya biashara binafsi sasa wataacha biashara yao kisha pesa watazlisha kutoka wapi?
Vitu vingi ambavyo Magufuli anaviona kama ni utajiri wa nchi hii vinamtegemea mzungu.

Wazungu wakiacha kununua Tanzanite itageuka kuwa kete za kuchezea bao. Vivyo hivyo kwenye dhahabu, almasi, chuma, bati, n.k . Madini kama uranium hatuyawezi kabisa hata kuyatumia, achilia mbali kuyachimba. Helium hata matumizi yake hatuna.

Bila mzungu utalii wa kila aina haupo na husimama kabisa. Ikiwa watanzania huwa hawaendi kutalii huko kwenye mbuga za wanyama maarufu kama Serengeti, Ngorongoro, Manyara, na Mikumi, nani ataenda Chato?

Sasa Magufuli anaposema nchi hii ni tajiri kwa kuwananga wazungu anaelewa anachosema?

Zimbambwe, Mugabe alikuja na approach hii hii ya Magufuli ya kuwananga wazungu. Matokeo yake umaskini uliowakumba wazimbabwe baada ya wazungu kuondoka na kususa sote tunaujua.

Mwambieni Magufuli, apunguze dhihaka dhidi ya wazungu. Dawa anazotumia yeye kama Rais akiugua, first class medicines, hazitengenezwi Chato. Sasa sijui kaziamini vipi? (Nimechomekea tu jamani).

Wazungu wametutangulia,na wametuwahi wakashika mifumo yote ya kibiashara na kiuchumi. Tuwe wapole, tuwatumikie hawa makafiri ili tupate mradi wetu.

Mkumbusheni Magufuli anachokifanya ni sawa na Matonya kujaribu kushindana na Bakharesa.
 
Madini yachimbwe 16% tuchukue sisi alaf iliyobaki weupe wachukue, alaf umsikie baba mdogo anasema kipind cha nyuma nchi ilichezewa sana .
 
Sasa kwa taarifa yako baada ya mungu ni mzungu!!ndio mnajidanganya hivyo?!!unadhania wazungu wamuweke kati(meko)atatoboa?!! Hata kama akili yako imehifadhiwa na sterling wa filamu(god must be crazy) kule lumumba huwezi shindwa kulijua hilo!!
Huyo mungu ndio atanunua hayo madini yako?hiyo bajeti yako asilimia kubwa wao ndio wanakusaidi, licha ya kujifanya kuwa wafrika ndio tuna mjua mungu sana, mbona ndio sehemu yenye watu makatili sana, na vitendo vya kishezi, kuliko sehemu yoyote ile duniani?!!
Baada ya Mungu ni mzungu?
Huo ndio umaskini nambari one -- umaskini wa kutojithamini. Kama kuna kitu dunia imetufundisha karne baada ya karne ni kwamba binadamu wote ni sawa. Wazungu siyo jamii ya kwanza kuwa na mafanikio ya vitu: historia inatufundisha kuwa jamii mbalimbali za watu, kuanzia wamisri, wamedi na waajemi, warumi, wachina na wahindi, na hata waafrika, wote walishawahi kuwa na vipindi vya mafanikio na utajiri katika zama zao. Ni kwa vile unaishi kipindi ambacho wazungu wanaonekana kuwa juu tena wapo juu kwenye vile vitu unavyovithamini wewe, hasa vile vinavyotumia pesa kuvipata.

Lakini yapo mambo mengi ambayo ukijithamini tu utaona jinsi ambavyo baada ya Mungu anayefuatia si mzungu. Utagundua kuwa alichonacho mzungu ni ujuzi na maarifa, na hivyo vitu havibagui rangi ya ngozi ya mtu wala kabila.

So the president is right. Mimi binafsi sihitaji mzungu kuishi maisha yangu. Na pia hiyo ndiyo imani ya Rais wangu kwamba Tanzania itazidi kusitawi, si kwa kutegemea kudra za mwenyezi Mzungu bali kwa kudra za mwenyezi Mungu. Aliyempa mzungu ndiye mwenye uwezo wa kumpa mtanzania tena mara dufu, iwapo tu utajithamini na kuondoa huo upuuzi wa kuabudu mwanadamu mwenzako mwenye madhaifu na mipaka kama uliyonayo wewe.
 
Wazungu gani hao unaowasemea,
Ni sawa na mtu akutukanie chakula kisha uzire kula ili hali huna pengine pa kukipata sas wewe si ndio utakufa na njaa?
Tanzanite inanunuliwa na wafanya biashara binafsi sasa wataacha biashara yao kisha pesa watazlisha kutoka wapi?
Mkuu baada ya Magufuli kunya jeuri na kujenga ukuta kuzunguka mgodi wa Mererani, tanzanite imeshuka bei kutoka Tshs 1.3m per ounce mpk Tshs 0.3m
 
Hay
Mkuu baada ya Magufuli kunya jeuri na kujenga ukuta kuzunguka mgodi wa Mererani, tanzanite imeshuka bei kutoka Tshs 1.3m per ounce mpk Tshs 0.3m
Hayo ni mawazo yako tu, kama imeshuka bei inawezake kuongeza pato la serikari kutoka billion 170 Hadi bilioni 700 kwa mwaka?
 
Baada ya Mungu ni mzungu?
Huo ndio umaskini nambari one -- umaskini wa kutojithamini. Kama kuna kitu dunia imetufundisha karne baada ya karne ni kwamba binadamu wote ni sawa. Wazungu siyo jamii ya kwanza kuwa na mafanikio ya vitu: historia inatufundisha kuwa jamii mbalimbali za watu, kuanzia wamisri, wamedi na waajemi, warumi, wachina na wahindi, na hata waafrika, wote walishawahi kuwa na vipindi vya mafanikio na utajiri katika zama zao. Ni kwa vile unaishi kipindi ambacho wazungu wanaonekana kuwa juu tena wapo juu kwenye vile vitu unavyovithamini wewe, hasa vile vinavyotumia pesa kuvipata.

Lakini yapo mambo mengi ambayo ukijithamini tu utaona jinsi ambavyo baada ya Mungu anayefuatia si mzungu. Utagundua kuwa alichonacho mzungu ni ujuzi na maarifa, na hivyo vitu havibagui rangi ya ngozi ya mtu wala kabila.

So the president is right. Mimi binafsi sihitaji mzungu kuishi maisha yangu. Na pia hiyo ndiyo imani ya Rais wangu kwamba Tanzania itazidi kusitawi, si kwa kutegemea kudra za mwenyezi Mzungu bali kwa kudra za mwenyezi Mungu. Aliyempa mzungu ndiye mwenye uwezo wa kumpa mtanzania tena mara dufu, iwapo tu utajithamini na kuondoa huo upuuzi wa kuabudu mwanadamu mwenzako mwenye madhaifu na mipaka kama uliyonayo wewe.
Wewe kataa lakini ukweli uko pale pale!!eti kudra za mwenyizi mungu!!hayo madaraja yote, anayojisifia pesa inatoka wapi?any way sio kosa lako, kwa wafia dini na mambo ya uchumi, nitakuwa nakuonea tu, kuna bara linalomjua mungu kuliko afrika?lakini mbona ndio mji mkuu wa matatizo yote duniani?kwa mawazo haya ya mtu mmoja kujifanya wewe ndio kila kitu, yaani mawazo yako ndio kila kitu, utegemee eti utakuja kuwa sawa na mzungu?!!kumfanya mtu mnyonge kuwa unyonge nayo ni sifa?!!badala ya laana!!
 
Hay

Hayo ni mawazo yako tu, kama imeshuka bei inawezake kuongeza pato la serikari kutoka billion 170 Hadi bilioni 700 kwa mwaka?
Ni kwasabb wamepora tanzanite kibao toka kwa dealers mbalimbali kwasabb ya sheria onevu halafu wakauza kwa pamoja.
 
Wewe kataa lakini ukweli uko pale pale!!eti kudra za mwenyizi mungu!!hayo madaraja yote, anayojisifia pesa inatoka wapi?any way sio kosa lako, kwa wafia dini na mambo ya uchumi, nitakuwa nakuonea tu, kuna bara linalomjua mungu kuliko afrika?lakini mbona ndio mji mkuu wa matatizo yote duniani?kwa mawazo haya ya mtu mmoja kujifanya wewe ndio kila kitu, yaani mawazo yako ndio kila kitu, utegemee eti utakuja kuwa sawa na mzungu?!!kumfanya mtu mnyonge kuwa unyonge nayo ni sifa?!!badala ya laana!!
Kwa hiyo unataka kusema bila mzungu Tanzania haiwezi kuwepo? Waambie sasa hao wazungu -- sijui hata hao wazungu unaowazungumzia ni wazungu wa wapi -- kwamba maisha yetu sisi hayawategemei wao. Na kwa taarifa yako wazungu wanaihitaji Afrika zaidi kuliko Afrika inavyowahitaji wao. Umeaminishwa kuwaona wazungu ni wa lazima katika maisha yako kwa sababu ya indoctrination ya kikoloni. Uhusiano wangu mimi na wazungu ninaofanya nao kazi ni wa win-win, wananihitaji mimi kwa sababu ya maarifa na ujuzi ninaouweka mezani kwao katika kufanya kazi zao, na wao wananipa changu. Hawanisaidii, tunahitajiana. Vivyo hivyo kwenye mahusiano ya nchi na nchi baina ya Tanzania na wazungu. Kama wao wanadhani wanatusaidia sana si waache waone kama tutakufa?
 
Vitu vingi ambavyo Magufuli anaviona kama ni utajiri wa nchi hii vinamtegemea mzungu.

Wazungu wakiacha kununua Tanzanite itageuka kuwa kete za kuchezea bao. Vivyo hivyo kwenye dhahabu, almasi, chuma, bati, n.k . Madini kama uranium hatuyawezi kabisa hata kuyatumia, achilia mbali kuyachimba. Helium hata matumizi yake hatuna.

Bila mzungu utalii wa kila aina haupo na husimama kabisa. Ikiwa watanzania huwa hawaendi kutalii huko kwenye mbuga za wanyama maarufu kama Serengeti, Ngorongoro, Manyara, na Mikumi, nani ataenda Chato?

Sasa Magufuli anaposema nchi hii ni tajiri kwa kuwananga wazungu anaelewa anachosema?

Zimbambwe, Mugabe alikuja na approach hii hii ya Magufuli ya kuwananga wazungu. Matokeo yake umaskini uliowakumba wazimbabwe baada ya wazungu kuondoka na kususa sote tunaujua.

Mwambieni Magufuli, apunguze dhihaka dhidi ya wazungu. Dawa anazotumia yeye kama Rais akiugua, first class medicines, hazitengenezwi Chato. Sasa sijui kaziamini vipi? (Nimechomekea tu jamani).

Wazungu wametutangulia,na wametuwahi wakashika mifumo yote ya kibiashara na kiuchumi. Tuwe wapole, tuwatumikie hawa makafiri ili tupate mradi wetu.

Mkumbusheni Magufuli anachokifanya ni sawa na Matonya kujaribu kushindana na Bakharesa.
Utajiri wa ujinga ndio umejaa.
 
Hata wazungu wenyewe wanategemea watu wengine waweze ku-survive, hivyo Magu aendelee tu kuwapa za uso..
 
Alichokisema rais ni msimamo wa serikali. Chanjo hizo hazieleweki, wanaotuletea hizo chanjo kwa siku wana 4000, kwanini hawakufanya kwao kwanza wapone? Na kingine na sio nchi moja inatengeneza chanjo pia. Tusipokua makini tutalishwa sumu.

Ila mnaotamani kutafuta chanjo mkachanjwe at your own risk
Maswali mengine mnajiuliza kwasababu hamjui au kwasababu mnaataka tu kushabikia.
Unajua mwenendo wa chanjo hizo Ulaya na Marekani?
Unajua nini wameamua kufanya?

Kifupi ni kuwa zoezi hili kwao limepamba moto japo wanaliendesha kwa hiari na wameanza na wazee ambao immune zao zipo low.

Fuatilia kabla haujabisha.

Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app
 
Maswali mengine mnajiuliza kwasababu hamjui au kwasababu mnaataka tu kushabikia.
Unajua mwenendo wa chanjo hizo Ulaya na Marekani?
Unajua nini wameamua kufanya?

Kifupi ni kuwa zoezi hili kwao limepamba moto japo wanaliendesha kwa hiari na wameanza na wazee ambao immune zao zipo low.

Fuatilia kabla haujabisha.

Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app

Leta na matokeo ya hilo zoezi lililopamba moto
 
Vitu vingi ambavyo Magufuli anaviona kama ni utajiri wa nchi hii vinamtegemea mzungu.

Wazungu wakiacha kununua Tanzanite itageuka kuwa kete za kuchezea bao. Vivyo hivyo kwenye dhahabu, almasi, chuma, bati, n.k . Madini kama uranium hatuyawezi kabisa hata kuyatumia, achilia mbali kuyachimba. Helium hata matumizi yake hatuna.

Bila mzungu utalii wa kila aina haupo na husimama kabisa. Ikiwa watanzania huwa hawaendi kutalii huko kwenye mbuga za wanyama maarufu kama Serengeti, Ngorongoro, Manyara, na Mikumi, nani ataenda Chato?

Sasa Magufuli anaposema nchi hii ni tajiri kwa kuwananga wazungu anaelewa anachosema?

Zimbambwe, Mugabe alikuja na approach hii hii ya Magufuli ya kuwananga wazungu. Matokeo yake umaskini uliowakumba wazimbabwe baada ya wazungu kuondoka na kususa sote tunaujua.

Mwambieni Magufuli, apunguze dhihaka dhidi ya wazungu. Dawa anazotumia yeye kama Rais akiugua, first class medicines, hazitengenezwi Chato. Sasa sijui kaziamini vipi? (Nimechomekea tu jamani).

Wazungu wametutangulia,na wametuwahi wakashika mifumo yote ya kibiashara na kiuhehechumi. Tuwe wapole, tuwatumikie hawa makafiri ili tupate mradi wetu.

Mkumbusheni Magufuli anachokifanya ni sawa na Matonya kujaribu kushindana na Bakharesa.
Hehehehehe
 
Leta na matokeo ya hilo zoezi lililopamba moto
Kama taifa tunatakiwa tuwe pamoja na siyo kubishana kwa ushabiki.
Bado hata wao hawajafanya evaluation kwani hiyo chanjo mpaka sasa imewafikia watu wachache sana. Lakini kuna mataifa maambukizi yanashuka kwa kiwango kikubwa na wanatarajia kupunguza zaidi masharti ya lockdown.


Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app
 
Kama taifa tunatakiwa tuwe pamoja na siyo kubishana kwa ushabiki.
Bado hata wao hawajafanya evaluation kwani hiyo chanjo mpaka sasa imewafikia watu wachache sana. Lakini kuna mataifa maambukizi yanashuka kwa kiwango kikubwa na wanatarajia kupunguza zaidi masharti ya lockdown.


Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app

Ushabiki ni kukimbilia chanjo ambayo haijathibitika kuwa na matokeo yaliyotarajiwa

Hiyo Lock down wao wameshaishindwa wananchi wameanza kuandamana kukataa mateso ya kufungiwa ndani huku wakiendelea kuteketea
 
Back
Top Bottom