Mkeo anapojifungua wengi wetu huwa hatuendi hosipitali bali tunaenda muda wa kawaida wa kuona wagonjwa.
Usimpangie familia yake, hata wewe hautafurahi mtubaki akikupangia chakufanya kwenye familia yako, unaweza ukawa nao na wakawa na kasoro za kibinaadamu kama teja, udokozi na kutokupenda kushirikiana na ndugu, kumbuka kilichotokea Morogoro miezi mitatu iliyopita ambapo binti alimkana baba yake mzazi kiasi yule baba akawa anasaidiwa na majirani, alipofariki watu wakamtilia ngumu binti, pia huenda hsta humu JF kuna watu ambao hawaja watembelea wazazi wao kwa zaidi ya miaka ishirini(20)! Na hawategemei, hawa ni wale wanaowakataa watoto wao halali!