BilioneaPATIGOO
JF-Expert Member
- Jun 23, 2012
- 12,320
- 11,327
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]safi sana, pesa za wajinga hizo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]safi sana, pesa za wajinga hizo
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Sadaka za kujimaliza zinafanya kazi vizuri.
Wajinga ndio waliwaoMtume Boniface Mwamposa wa kanisa la Arise and Shine lililopo kawe Jijini Dar es Salaam amejenga hotel ya kisasa jijini Mbeya ambayo imezinduliwa leo hii na Spika wa Bunge la Jamhuri ya mmMuungano wa Tanzania Dr.Tulia Ackson.
Mtume Mwamposa amejenga hotel hiyo ili kurudisha fadhila kwa jamii aliyokulia.
View attachment 2463457
Source: Clouds Media
sema ukiristo.usiziingize dini nyingine hapo.Fadhila gan?!,kwani watu wanalala bure[emoji848],dini ni biashara kama zilivyo biashara nyingine
Unauliza Upopoma Yanga SC Kiongozi?Pombe zitauzwa humo au
Nakubaliana nawe katika hili kwa 100%
Kumbe injili inalipa acha na mie nianze mapemaNakuongezea na mengine wakati Waumini wake Umasikini ukizidi Kuwaandama Kununua Nyumba ya Rubani wa zamani wa Hayati Mwalimu Nyerere Kawe Beach Avocado jirani na Hotel ya Triple Seven kwa Tsh Bilioni 2, Kanunua Uwanja mkubwa Mbezi Beach Tangi Bovu ( New Corner Bar ) njia ya zamani ya kwenda Goba ambako huenda mwakani ( 2023 ) Mwezi April Kanisa lake likahamia huko kwa Tsh Bilioni 3, amejenga Kiwanda cha Chumvi huko Pwani Rufiji na pia ana Shamba Kubwa la Miwa huko Bagamoyo achilia mbali lile Kubwa la Korosho Mkoani Mtwara.
Anatumia Hela za mapumbavu akiyaambia sadaka zinaenda kwa Mungu, kumbe linajenga hotel.Mtume Boniface Mwamposa wa kanisa la Arise and Shine lililopo kawe Jijini Dar es Salaam amejenga hotel ya kisasa jijini Mbeya ambayo imezinduliwa leo hii na Spika wa Bunge la Jamhuri ya mmMuungano wa Tanzania Dr.Tulia Ackson.
Mtume Mwamposa amejenga hotel hiyo ili kurudisha fadhila kwa jamii aliyokulia.
View attachment 2463457
Source: Clouds Media
Wabongo hata kifiro kitakuwepoDuh hoteli Tena kwa hyo vilevi na kila Aina ya ufuska utafanyika pale
Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
Ashakum sio Matusi Ila nasubutu kusema Komamamake Mwamposa Tapeli, na asitokee Mchawi akaniroga Dulla Makabila atakua Wakili wanguNakuongezea na mengine wakati Waumini wake Umasikini ukizidi Kuwaandama Kununua Nyumba ya Rubani wa zamani wa Hayati Mwalimu Nyerere Kawe Beach Avocado jirani na Hotel ya Triple Seven kwa Tsh Bilioni 2, Kanunua Uwanja mkubwa Mbezi Beach Tangi Bovu ( New Corner Bar ) njia ya zamani ya kwenda Goba ambako huenda mwakani ( 2023 ) Mwezi April Kanisa lake likahamia huko kwa Tsh Bilioni 3, amejenga Kiwanda cha Chumvi huko Pwani Rufiji na pia ana Shamba Kubwa la Miwa huko Bagamoyo achilia mbali lile Kubwa la Korosho Mkoani Mtwara.
Watu wakija kustuka anakuwa keshajipanga ana miradi yake mingine(kama enzi za Kakobe)Anajiwekeza kwa maandalizi ya kustaafu maana mafuta, maji na udongo wa upako havita msaidia chochote uzeeni kwake
Mtu mweupe yupi? Acha kutuvuruga pesa za Mafuta na Maji zinalipa usichukulie poaHotel ni huyo mtu mweupe,mwamposa ana share kidogo
Akifika Kigoma atauza funza and believe me, wapo wstakaonunua hao funza.Tushahama kwenye maji bwashee....tunauza udongo sasa.
Ogopa sana kinachofuata ni kuidharau serikali kua haina pesa km yeyeWatu wakija kustuka anakuwa keshajipanga ana miradi yake mingine(kama enzi za Kakobe)