Mwamposa ajenga hotel ya kisasa jijini Mbeya

Wajinga ndio waliwao
 
Kumbe injili inalipa acha na mie nianze mapema
 
Anatumia Hela za mapumbavu akiyaambia sadaka zinaenda kwa Mungu, kumbe linajenga hotel.

Mayatima na wajane hakuna hata anayehudimiwa
 
Ashakum sio Matusi Ila nasubutu kusema Komamamake Mwamposa Tapeli, na asitokee Mchawi akaniroga Dulla Makabila atakua Wakili wangu
 
Tushahama kwenye maji bwashee....tunauza udongo sasa.
Akifika Kigoma atauza funza and believe me, wapo wstakaonunua hao funza.
Ogopa Sana uchawi.
Ningetegemea hizo hela anazopokea Kama sadaka angejenga vituo vya kulelea wazee wasio jiweza, au vilema au angefungua shule au hata angetoa bursary kwa wanafunzi wasio na uwezo. Lkn huyu MTU anajenga lodge na kuibambika jina la HOTEL.
SADAKA INA JENGA GESTI????
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…