Mwamposa ajitetea kuwakamua waumini 'sadaka ya kujimaliza', atoa ufafanuzi mujarabu

Sadaka ya kujimaliza ni wizi sawa na wizi mwingine TU hakuna fundisho kama Hilo.
Sadaka zitolewaje utaratibu maandiko yameweka wazi.
 
Anachosema Mwamposa ni kua sio tu anahitaji chote ulichoenda nacho kanisani, bali na hata kile ulichokiacha benki na nyumbani pia anakihitaji.
Huu ni wizi kabisa.
Mungu sio wa kutoa toa hela Kila wakati.
 
Mashuhuda wengi makanisani huwa ni feki wamepangwa au huwa sio watu halisi.
Ukitaka kujua hili wafatilie hao watoa ushuhuda baada ibada ujue wakaapo ni lazima wakupotee kwenye kona akikata TU kona upotea ujui uelekeo.
Hawa magician Wana michezo mingi sana
 
Kumbe wale wanaotembe huku wanaimba
NATEMBEA NA YESU, NATEMBEA NA YESU ndio wametoka huko Kwa Mwamaposa
 
Yule wa Uganda aliitwa nani vile...Kinwetere sijui?

Ipo siku nia na hila za Mwamposa zitakuwa wazi
Joseph Kibweteere!

Mungu aepushe mabaya yasije tokea kama Yale! Na hv vitu mda mwingine ni ngumu sana kumshauri mtu akakuelewa
 
Kila kitu kitapimwa kwa maandiko, ni wapi pameandikwa aina hiyo ya sadaka? Kama hakuna itabaki kuwa utundu tu wa kinabii.
 
Watu tu wanamsingizia


Kama umewahi kusali Kawe, sadaka ya kujimaliza ni ile pesa yenye thamani kubwa kuliko zote.
Mfano kwenye wallet una note ya elfu 5,2,,, 10
Hapo yenye thamani kubwa ni 10k
 
Watu tu wanamsingizia


Kama umewahi kusali Kawe, sadaka ya kujimaliza ni ile pesa yenye thamani kubwa kuliko zote.
Mfano kwenye wallet una note ya elfu 5,2,,, 10
Hapo yenye thamani kubwa ni 10k
Tulia. Hujawahi kumsikia akitoa ufafanuzi. Ina maana huu ufafanuzi aliotoa amejichanganya mwenyewe? Wewe ni nani hadi uupinge ufafanuzi wa Mwamposa? Acha ujuaji uchwara mkuu.
 
Tulia. Hujawahi kumsikia akitoa ufafanuzi. Ina maana huu ufafanuzi aliotoa amejichanganya mwenyewe? Wewe ni nani hadi uupinge ufafanuzi wa Mwamposa? Acha ujuaji uchwara mkuu.
Kama hujawahi kwenda kusali Kawe Kwa Mwamposa na kutoa hiyo sadaka ya kujimaliza basi wewe ndio utulie na uache ujuaji uchwara, na uache kupotosha umma.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…