Mwamposa ajitetea kuwakamua waumini 'sadaka ya kujimaliza', atoa ufafanuzi mujarabu

Mwamposa ajitetea kuwakamua waumini 'sadaka ya kujimaliza', atoa ufafanuzi mujarabu

Mkuu kiranga,

Mungu mwenye nguvu zote aliyeweza kushusha malaika wakaua kambi nzima, mungu aliyekuwa anawashushia wana waisrael chakula anashindwa vipi kumshushia huyu bwana anayesema watu wakombe pesa zao?

Kwanini huyo mungu asubiri pesa za watu na akijinadi yeye vitu vyote ni mali yake?
🤣
Mungu hayupo. Hizi ni hustle za watu tu.

Katika wimbo wa Eurythmics unaoitwa "Sweet Dreams" kuna mashairi yanasema.

"Sweet dreams are made of this
Who am I to disagree?
I travel the world and the seven seas
Everybody's looking for something
Some of them want to use you
Some of them want to get used by you
Some of them want to abuse you
Some of them want to be abused"


Sasa mtu mwenyewe anajipeleka awe abused, who am I to disagree?


View: https://youtu.be/qeMFqkcPYcg?si=zi--IlpI0xDOUnua
 
Naingia kwenye mada moja kwa moja bila kuwachosha. Mtume Boneface Mwamposa (Bulldozer) amefafanua kwa ufasaha maana ya "sadaka ya kujimaliza" inayotolewa na waumini wa kanisa lake baada ya kupokea shutuma mbalimbali kutoka kwa wananchi kwamba amekuwa akiwakamua waumini hela zote hadi wanakosa nauli ya kurudia majumbani kwao.

Ufafanuzi uliotoka ni kwamba kutoa sadaka ya kujimaliza sio kutoa fedha zote ambazo mtu amekwenda nazo kanisani. La hasha! Maana ya sadaka ya kujimaliza ni kutoa fedha zako zote ulizonazo benki na kuziwasilisha kwa mtume kama sadaka. Kwa mfano, kama una akaunti 5 kwenye benki tofauti, komba pesa zote zilizomo kwenye akaunti hizo umtolee Mungu wako. Hii ndio maana halisi ya sadaka ya kujimaliza. Yaani unajimaliza kabisa na kuanza upya!

Mtume amesema hayo zikiwa zimesalia siku chache kabla ya mkesha wa mwaka mpya unaoenda kwa kaulimbiu ya "vuka na chako" utakaofanyika kanisani kwake katika viwanja vya Tanganyika Packers, Kawe jijini Dar es Salaam.

MAONI YANGU
Binafsi nimewahi kusimuliwa na muumini mmoja aliyetoa sadaka fedha zote alizokuwa nazo hadi nauli lakini wakati anaondoka kwa miguu kuelekea kwake Gongolamboto akitokea Kawe, mtume akamfanyia muujiza akaokota noti ya Tsh 5000 akaitumia kama nauli, yeye na wanawe wawili aliokuwa ameandamana nao.

Nsamini sasa ufafanuzi umewekwa wazi kwani waumini na wananchi walikuwa hasa hawafahamu maana ya sadaka ya kujimaliza.

Nawasilisha.

Pia soma > Sadaka ya kujimaliza ya kwa Mwamposa inatia watu umasikini

Kwaiyo ni kwenye akaunti za benki zote yani zibakie sifuri alaf akaanze upya yani kama una benk 3 mfano NMB una milioni NBC 700k na CRDB millioni unakomba zote yani 2700k kwa mtume? Ili zije nyingine mpya?
 
Kwaiyo ni kwenye akaunti za benki zote yani zibakie sifuri alaf akaanze upya yani kama una benk 3 mfano NMB una milioni NBC 700k na CRDB millioni unakomba zote yani 2700k kwa mtume? Ili zije nyingine mpya

Naingia kwenye mada moja kwa moja bila kuwachosha. Mtume Boneface Mwamposa (Bulldozer) amefafanua kwa ufasaha maana ya "sadaka ya kujimaliza" inayotolewa na waumini wa kanisa lake baada ya kupokea shutuma mbalimbali kutoka kwa wananchi kwamba amekuwa akiwakamua waumini hela zote hadi wanakosa nauli ya kurudia majumbani kwao.

Ufafanuzi uliotoka ni kwamba kutoa sadaka ya kujimaliza sio kutoa fedha zote ambazo mtu amekwenda nazo kanisani. La hasha! Maana ya sadaka ya kujimaliza ni kutoa fedha zako zote ulizonazo benki na kuziwasilisha kwa mtume kama sadaka. Kwa mfano, kama una akaunti 5 kwenye benki tofauti, komba pesa zote zilizomo kwenye akaunti hizo umtolee Mungu wako. Hii ndio maana halisi ya sadaka ya kujimaliza. Yaani unajimaliza kabisa na kuanza upya!

Mtume amesema hayo zikiwa zimesalia siku chache kabla ya mkesha wa mwaka mpya unaoenda kwa kaulimbiu ya "vuka na chako" utakaofanyika kanisani kwake katika viwanja vya Tanganyika Packers, Kawe jijini Dar es Salaam.

MAONI YANGU
Binafsi nimewahi kusimuliwa na muumini mmoja aliyetoa sadaka fedha zote alizokuwa nazo hadi nauli lakini wakati anaondoka kwa miguu kuelekea kwake Gongolamboto akitokea Kawe, mtume akamfanyia muujiza akaokota noti ya Tsh 5000 akaitumia kama nauli, yeye na wanawe wawili aliokuwa ameandamana nao.

Nsamini sasa ufafanuzi umewekwa wazi kwani waumini na wananchi walikuwa hasa hawafahamu maana ya sadaka ya kujimaliza.

Nawasilisha.

Pia soma > Sadaka ya kujimaliza ya kwa Mwamposa inatia watu umasikini
Wewe ni lijinga sana na akili huna kabisa ,mijitu kama nyie ni mzigo kwa taifa na familia, Yani utoe Hela zote harafu uokote buku Tano ,fala sana
 
Chief mbona umequote na mimi
Wewe ni lijinga sana na akili huna kabisa ,mijitu kama nyie ni mzigo kwa taifa na familia, Yani utoe Hela zote harafu uokote buku Tano ,fala sana
 
Naingia kwenye mada moja kwa moja bila kuwachosha. Mtume Boneface Mwamposa (Bulldozer) amefafanua kwa ufasaha maana ya "sadaka ya kujimaliza" inayotolewa na waumini wa kanisa lake baada ya kupokea shutuma mbalimbali kutoka kwa wananchi kwamba amekuwa akiwakamua waumini hela zote hadi wanakosa nauli ya kurudia majumbani kwao.

Ufafanuzi uliotoka ni kwamba kutoa sadaka ya kujimaliza sio kutoa fedha zote ambazo mtu amekwenda nazo kanisani. La hasha! Maana ya sadaka ya kujimaliza ni kutoa fedha zako zote ulizonazo benki na kuziwasilisha kwa mtume kama sadaka. Kwa mfano, kama una akaunti 5 kwenye benki tofauti, komba pesa zote zilizomo kwenye akaunti hizo umtolee Mungu wako. Hii ndio maana halisi ya sadaka ya kujimaliza. Yaani unajimaliza kabisa na kuanza upya!

Mtume amesema hayo zikiwa zimesalia siku chache kabla ya mkesha wa mwaka mpya unaoenda kwa kaulimbiu ya "vuka na chako" utakaofanyika kanisani kwake katika viwanja vya Tanganyika Packers, Kawe jijini Dar es Salaam.

MAONI YANGU
Binafsi nimewahi kusimuliwa na muumini mmoja aliyetoa sadaka fedha zote alizokuwa nazo hadi nauli lakini wakati anaondoka kwa miguu kuelekea kwake Gongolamboto akitokea Kawe, mtume akamfanyia muujiza akaokota noti ya Tsh 5000 akaitumia kama nauli, yeye na wanawe wawili aliokuwa ameandamana nao.

Nsamini sasa ufafanuzi umewekwa wazi kwani waumini na wananchi walikuwa hasa hawafahamu maana ya sadaka ya kujimaliza.

Nawasilisha.

Pia soma > Sadaka ya kujimaliza ya kwa Mwamposa inatia watu umasikini
Sasa Unavukaje na chako wakati umejimaliza?
 
Maana ya sadaka ya kujimaliza ni kutoa fedha zako zote ulizonazo benki na kuziwasilisha kwa mtume kama sadaka. Kwa mfano, kama una akaunti 5 kwenye benki tofauti, komba pesa zote zilizomo kwenye akaunti hizo umtolee Mungu wako. Hii ndio maana halisi ya sadaka ya kujimaliza. Yaani unajimaliza kabisa na kuanza upya!
Duh..
Mbona ni kausha damu
 
Simple psychology.

Mtu mwenye hofu/matatizo ni rahisi sana kumhodhi sababu hutafuta kila namna ya kujinasua na hilo tatizo.

Hapo ndio bwana Mwamposa anapopitia.
 
Fake testimonies set to exploit the poor..

Jamaa anadai kwamba baada ya kujimaliza alipata 5000 ya bure😅😅😅Nyie wafuasi wa Mwamposa mnaenda kutoa akiba zenu zote ,kama unamkubali tuone utoe pesa zako zote.

Hakuna mtume aliyekusanya sadaka kama huyu na kwenda kufungua mahoteli 😅😅😅.

Jamaa katarget billion 1 per concert sio kwa promo hizo na pesa anakula na watu kibao ,wapo mitandaoni kudanganya watu wakiwa na shuhuda za uongo.



Kama unamuamini Mwamposa toa pesa zako zote hata zile hisa peleka huko kweny sadaka ya kujimaliza then tuone utakula nn.😅
 
Mungu hayupo. Hizi ni hustle za watu tu.

Katika wimbo wa Eurythmics unaoitwa "Sweet Dreams" kuna mashairi yanasema.

"Sweet dreams are made of this
Who am I to disagree?
I travel the world and the seven seas
Everybody's looking for something
Some of them want to use you
Some of them want to get used by you
Some of them want to abuse you
Some of them want to be abused"


Sasa mtu mwenyewe anajipeleka awe abused, who am I to disagree?


View: https://youtu.be/qeMFqkcPYcg?si=zi--IlpI0xDOUnua

Mkuu nimekupata sana hapa. Hii ni shida kubwa sana.
 
Mkuu nimekupata sana hapa. Hii ni shida kubwa sana.
Dunia ina vituko sana mkuu.

Kuna watu wana sexual fetish ya kuwa spanked.

Yani mtu anataka umfunge kamba mikono na miguu, umlsze chini, utafute kibao au kigongo, umtandike vizuri sana matakoni mpaka wewe umhurumie.

Halafu yeye anakwambia "harder, harder" anataka umpige zaidi.

Ndiyo furaha yake.

Sasa ya nini kumuingilia mtu kwenye raha zake?

Yani mtu kashajipatia "Sweet Dreams" zake za Mungu wake, yeye kaenda kwa faragha zake kwa nabii wake (angekuja JF tungem challenge, lakini kaenda nyumba yake ya ibada huko ana faragha yake).

Unamuacha tu wahenga walisema asiyefunzwa na mamaye hufunzwa na ulimwengu.

Na hata asipopata funzo, ni haki yake ya kikatiba kuamua kuwa abused.
 
MAOMBI YANAPUNGUZA UWEZO WA MTU KUFANYA MAAMUZI.
MAOMBI YANAKUPA FARAJA, YANAKUWEKA KWENYE CONFORT ZONE.
WAKATI UKIPATA FARAJA, UNAPUNGUZA UWEZO WA KUAMUA, UBUNIFU, NA UJASILI.
 
MAOMBI YANAPUNGUZA UWEZO WA MTU KUFANYA MAAMUZI.
MAOMBI YANAKUPA FARAJA, YANAKUWEKA KWENYE CONFORT ZONE.
WAKATI UKIPATA FARAJA, UNAPUNGUZA UWEZO WA KUAMUA, UBUNIFU, NA UJASILI.
Jana nilikutana na mfuasi wa Mwamposa akawa anatamba kwamba yeye ni msomi ana digrii ya uchumi lakini hawezi kumuacha Mwamposa. Anasema kwamba zamani alikuwa anaenda sana kwa waganga lakini baada ya kuingia kanisani kwa Mpwamposa ile roho ya kwenda kwa waganga imekata. Hivyo, hawezi kumuacha mtume kwa kuwa kamtoa kwa waganga na ataendelea kumtolea sadaka bila kuchoka ijapokuwa bado hajapata kazi.
 
Maombezi ni suala la kisaikolojia kama ilivyo kwa uganga wa kienyeji. Ukishaenda kwa mganga hutumia saikolojia kukukamua hela kwa kuwa tayari anakuwa ameziweka akili zako mfukoni. The same case applies to Mwamposa. Ngoja aendelee kuwakamua watu hadi wafilisike ndipo akili zitawarudia.
 
Back
Top Bottom