Mwamposa atua Arusha kwenye mashindano ya Samia Motocross Championship

Mwamposa atua Arusha kwenye mashindano ya Samia Motocross Championship

The Supreme Conqueror

JF-Expert Member
Joined
Feb 13, 2017
Posts
458
Reaction score
1,280
Mkuu wa Kanisa la Arise and Shine (inuka uangaze) Mtume Boniface Mwamposa @bulldoza_mwamposa ameungana na Mkuu wa Mkoa wa Arusha, Mhe. Paul Christian Makonda aka baba_keagan wakikagua njia za mashindano ya pikipiki za SAMIA MOTOCROSS CHAMPIONSHIP yanayotarajiwa kufanyika kesho Julai 14, 2024 katika Viwanja vya Lakilaki - Kisongo jijini Arusha.

Mhe. Makonda na mgeni wake Mtume Mwamposa wamekagua viwanja hivyo vya mashindano kwa kutumia pikipiki za miguu minne.

1720895322576.jpg
 
afadhali kesho Kawe hakutakuwa na shida ya usafiri
Anarudi usiku huu na ameshatua tayari Jijini Dar es Salaam, hivyo Kesho kama kawa Foleni Ipo.

Hata asafiri wapi kuwepo alipochimbia Hirizi zake na alipoyalaza Majini yake Kawe ( Tanganyika Packers ) kila Jumapili ni lazima kwani ndiyo Miiko yake inavyomtaka na unavyotaka.

Kudadadeki....!!
 
Wenye wivu wajinyonge

Makonda ni mbunifu sana

Tofauti na wakuu wa mikoa wengine akina business as usual

Wafuasi wa Mwamposa matajiri kibao wa ndani na nje ya nchi wa ulaya na Marekani nk watashiriki hayo mashindano ndio maana kambeba ili kuwaaminisha kuwa njia nzuri na imepata upako wake waje tu watabarikiwa wakipita hiyo njia na magari yao

Mtume Mwamposya ni Brand kubwa sana kimataifa hiyo Mama Samia motocross Arusha patakuwa hapatoshi itakuwa patashika nguo kuchanika

Mahoteli Arusha jiandaeni mahoteli yenu kujaa na uchumi wa Arusha kuchangamka kwa hiyo Event
 
Ila tuache Utani, Arusha ni kamba Mambele tu

Yaani Arusha ni sehemu ya U.S.A iliyopo Tanzania...Hapo ni kama Makonda anamzungusha Mwamposa TEXAS kabisa Wakuu
Jinsia yako plz ? Pia ushafika Texas?
 
Back
Top Bottom