Azarel
JF-Expert Member
- Aug 25, 2016
- 28,916
- 40,479
Mama yako anajua kuwa jinsia yangu ni ME, Texas nilikuwa nae in VacationJinsia yako plz ? Pia ushafika Texas?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mama yako anajua kuwa jinsia yangu ni ME, Texas nilikuwa nae in VacationJinsia yako plz ? Pia ushafika Texas?
Mungu wa Ibrahim,Isaka na Yakobo anatukumbusha kuwatambua manabii na mitume wa uongo. Na kwamba nyakati ndio hizi,hivyo tuwe makini Maana bado kitambo kidogo tu Dunia yote itashuhudia Yesu akirudi kulinyakua kanisa lake.Mkuu wa Kanisa la Arise and Shine (inuka uangaze) Mtume Boniface Mwamposa @bulldoza_mwamposa ameungana na Mkuu wa Mkoa wa Arusha, Mhe. Paul Christian Makonda aka baba_keagan wakikagua njia za mashindano ya pikipiki za SAMIA MOTOCROSS CHAMPIONSHIP yanayotarajiwa kufanyika kesho Julai 14, 2024 katika Viwanja vya Lakilaki - Kisongo jijini Arusha.
Mhe. Makonda na mgeni wake Mtume Mwamposa wamekagua viwanja hivyo vya mashindano kwa kutumia pikipiki za miguu minne.
Yaan alipoanza kuonekana na wanasiasa basi ndo kwisha habri yake.huduma na siasa haviendi pamoja na huwezi tumikia mabwana wawili iyo ni kanuni ya kiroho so amechagua siasa basi imeisha hiyoKeshaanza kuwa kama Gwajima na Kakobe, KWISHAAAAAAAA!!!
Naunga mkono hoja, Angalizo: Kuna Wengi Wanamwabudu Shetani Wakidhani ni Mungu!. Jee Wewe Unajijua?, Jitambue!.Mungu wa Ibrahim,Isaka na Yakobo anatukumbusha kuwatambua manabii na mitume wa uongo. Na kwamba nyakati ndio hizi,hivyo tuwe makini Maana bado kitambo kidogo tu Dunia yote itashuhudia Yesu akirudi kulinyakua kanisa lake.
Ndiyo maana mnagongwa kirahisi nyie!Hapa mtu ananolewa...cheo kinapanda soon...hongera sana Mako..
Hivi huyo bashite anapawakiaga asali kwenye kichwa cha dick!!NATAKA NIMSIFU BWA MDOGO MAKONDA, ANAPIGANA KWELI KWELI, HATAKI KUONA ARUSHA INALALA, ARUSHA NDIYO KITOVU CHA UTALII TANZANIA, HONGERA BWA MDOGO, BIG UP SANA SANA.
EhWenye wivu wajinyonge
Makonda ni mbunifu sana
Tofauti na wakuu wa mikoa wengine akina business as usual
Wafuasi wa Mwamposa matajiri kibao wa ndani na nje ya nchi wa ulaya na Marekani nk watashiriki hayo mashindano ndio maana kambeba ili kuwaaminisha kuwa njia nzuri na imepata upako wake waje tu watabarikiwa wakipita hiyo njia na magari yao
Mtume Mwamposya ni Brand kubwa sana kimataifa hiyo Mama Samia motocross Arusha patakuwa hapatoshi itakuwa patashika nguo kuchanika
Mahoteli Arusha jiandaeni mahoteli yenu kujaa na uchumi wa Arusha kuchangamka kwa hiyo Event
Eti Arusha ni kama Texas. Hivi unaijua Arusha kweli?Ila tuache Utani, Arusha ni kamba Mambele tu
Yaani Arusha ni sehemu ya U.S.A iliyopo Tanzania...Hapo ni kama Makonda anamzungusha Mwamposa TEXAS kabisa Wakuu
AiseeHapa mtu ananolewa...cheo kinapanda soon...hongera sana Mako..
Sema bodaboda itakuwa wanapiga sana helaafadhali kesho Kawe hakutakuwa na shida ya usafiri