Mwamposa atua Arusha kwenye mashindano ya Samia Motocross Championship

Mungu wa Ibrahim,Isaka na Yakobo anatukumbusha kuwatambua manabii na mitume wa uongo. Na kwamba nyakati ndio hizi,hivyo tuwe makini Maana bado kitambo kidogo tu Dunia yote itashuhudia Yesu akirudi kulinyakua kanisa lake.
 
NATAKA NIMSIFU BWA MDOGO MAKONDA, ANAPIGANA KWELI KWELI, HATAKI KUONA ARUSHA INALALA, ARUSHA NDIYO KITOVU CHA UTALII TANZANIA, HONGERA BWA MDOGO, BIG UP SANA SANA.
TUNAITA #OVER ACHIEVEMENT!
 
NATAKA NIMSIFU BWA MDOGO MAKONDA, ANAPIGANA KWELI KWELI, HATAKI KUONA ARUSHA INALALA, ARUSHA NDIYO KITOVU CHA UTALII TANZANIA, HONGERA BWA MDOGO, BIG UP SANA SANA.
Hivi huyo bashite anapawakiaga asali kwenye kichwa cha dick!!
 
Makonda angemwambia Mwamposa apige ibada moja hapo Sheikh Amri Abeid, watu wakanyagane kwenye mafuta ya upako wao wadake mshiko wao wasepe zao.
 
Eh

Ova
 
Hao wote ni wachawi kila mmoja anaupiga mwingi kwenye njia yake wanakutana kwenye maokoto
 
Ila tuache Utani, Arusha ni kamba Mambele tu

Yaani Arusha ni sehemu ya U.S.A iliyopo Tanzania...Hapo ni kama Makonda anamzungusha Mwamposa TEXAS kabisa Wakuu
Eti Arusha ni kama Texas. Hivi unaijua Arusha kweli?

Katikati ya jiji la Arusha kuna nyumba kibao za udongo zilizozungukwa na maghorofa ya hovyo hovyo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…