Mwamposa Buldoza anazo nguvu za kweli

Mwamposa Buldoza anazo nguvu za kweli

Kwani wewe yanatoka majimaji tu siyo ule uji mzito?
 
Umeeleza vizuri kabisa mpaka nimependa, kinacho mponya mtu ni imani yake mwenyewe. Kila mtu amejaliwa nguvu ndani yake ila nguvu za wengi zimepoa, na ni wachache wanaoweza kutumia nguvu zao.

Hivyo ili nguvu iliyo ndani yako itende kazi inatakiwa kuamshwa na mtu ambaye yeye nguvu yake iko active, na hicho ndicho wanachofanya hawa watu wanaoitwa watenda miujiza. (Yaani anakusaidia kuamsha nguvu iliyo ndani yako ili itende kazi) na kama isipo amka basi hamna kitacho tokea.

Mtu anapopewa maji ya upako na kuambiwa yatamponya, ataweka imani kubwa sana katika lile neno, na akiyatumia anapona kweli, lakini mwingine atachukua maji hayo hayo ayatumie na asipone, hapo ndio utajua kiponyacho ni imani sio maji.
 
Ni kama hii michezo ya bahati nasibu wanaoshinda ni kidogo sana kuliko walioliwa, kuna watu tunawajua wao ni hodari sana wa kwenda huko wanajua ratiba zote na za kanisani kwa Mwamposa na wana imani kweli na miujiza ya Mwamposa ila wanaishia kusimulia shuhuda za wengine tu wao hadi leo hawana ushuhuda wao binafsi toka waanze kwenda huko kwa Mwamposa.
Reply yako hamejibu Bongo Trust comment no #22 kamsome utaelewa
 
Umeeleza vizuri kabisa mpaka nimependa, kinacho mponya mtu ni imani yake mwenyewe. Kila mtu amejaliwa nguvu ndani yake ila nguvu za wengi zimepoa, na ni wachache wanaoweza kutumia nguvu zao....
Umemaliza kila kitu, ndio maana nimesema acha mwamposa awapige hela maana yeye kajua siri ambayo watu hawaijui, ndio maana mafundisho yake yeye anajaza watu imani
 
Reply yako hamejibu Bongo Trust comment no #22 kamsome utaelewa
Jamaa nimemuelewa kwamba imani yako ndio hufungua nguvu ambazo binaadamu tunazo na hapo ndio miujiza hutendeka, sasa mimi nimesema kwamba wapo watu wenye imani hasa kwa maana kama hayo maji washayatumia sana tena kwa imani ya hali ya juu kuwa yatawaponya ila hadi leo hakuna kilichotokea.

Na hata ukiangalia huyo Mwamposa anawafanya watu kumuamini yeye kwamba ni spesho hivyo miujiza hupitia kwake na ndio maana amekuwa akichukua waumini wengi wa wenzie na kuna ushindani wa waumini. Sasa kama ingekuwa yeye anasaidia tu kufungua nguvu zako kwa kukufanya kujenga tu imani yako basi asingekuwa spesho maana hata wenzie wanaiweza hiyo kazi.
 
Apostle kuna miujiza huku, nini kimetokea mkaka alikua hatembei miaka 30 baada ya maombi ameanza kutembea,

halleluyaaaaaaaaa, nani mtenda miujiza yeeeeeesu.

Nilikua nikisikia hivyo nabadilisha channel nilijua ni uongo tu.

Juzijuzi hapa kuna issue ilitokea ikanifanya nianze kumfatilia mwamposa buldozer, ndugu yangu hapa mtoto wake alikua anauguaugua yuko dhohofu akaamua kuanza kufatilia mwamposa vipindi vyake.

Akawa anafatilia maelekezo mfano unachukua maji unayaombea kwa imani (maji yoyote hata ya nyumbani kisimani au bombani), kitu cha ajabu kikatokea mtoto akatoa haja kubwa mbegu ya fenesi kuubwa, baada ya mda mtoto akaanza kupata nafuu.

Ikabidi prakatuba etumba etumba nianze kufanya research juu ya huyu mwamposa, aisee kiukweli hata Kama anatumia uchawi Mimi sijui, lakini matendo anayoyafanya yeye na wewe endapo ukipractise kwa miezi 6 utaanza kuona utofauti maishani mwako kwanini

Jamaa anazo ibada mbili, j.2 asubuhi na jioni, usiku pia kuna operation komboa familia kuanzia saa 4, usiku saa 8 jamaa yupo live, asubuhi saa 2 jamaa yuko live yaani ni maombi tu alafu ni kila siku hiyo ndio daily routine yake.

Hivi niwaulize sisi wengi daily routine zetu asubuhi hatusali tunaingia job, jioni tunapitia bar usiku tunasali kidogo au hatusali kabisa, mtoto wako anapata mapepo huwezi hata kumuombea maana ukianza kuomba pepo anaweza kukupiga makofi na kukucheka.

Siwazi saana kuhusu njia zake za maji na mafuta kwenye kupiga hela lakini nikichojifunza anakutengenezea wewe kua na imani kwamba endapo nikitumia haya maji basi nitapona....kwenye biblia kuna mifano mingiii Sana kuhusu manabii waliotumia vitu mbalimbali kwenye uponyaji

Tunachokoswa sisi naona ni Imani, Imani yako ndio inakuponya sio mwamposa mwamposa yuko kati tu pale kuiboost imani yako maana ukisikia tu mafundisho yake Unapata nguvu ya kiroho.

Mwamposa haponyi anaeponya ni Mungu anachotaka kwako ni imani tu

Siku moja alitoa siri akasema ombeni sala ya baba yetu ulie mbinguni Mara 5 asubuhi, mchana na usiku na saa 8 usiku ukiweza kuamka Kama dozi vile kwa imani, utaanza kubadilika Kiroho.

Wengi wetu hatukumbuki Mara ya mwisho kuomba sala ya baba yetu, anaweza kua anapiga hela Sana kwenye sadaka lakini Mimi naona acha awapige tu maana yeye kagundua siri ambayo wengi hawaijuiii.

Kundi kubwa la watu wanaotoka usukumani wengine hata kiswahili Hawajuii wanaenda kushuhudia awezi kuwapanga wote wale but wengi imani zao ndio zimewaponya narudia Mwamposa ni catalyst tu amegundua ukweli ulipo ni IMANI TU NDIO UFUNGUO WA UPONYAJI, MTU KWENDA KWA MWAMPOSA ANAJUA ANAENDA KUPONA ameshahamini tayar, kumbe mwamposa haponyi ila imani ya wenye matatizo ndio inawaponya.

Nawatakia maandalizi mema ya Sabato.
Wewe dalali wake eti!? Nguvu za giza at work. Endeleeni naye kivyenu!
 
Apostle kuna miujiza huku, nini kimetokea mkaka alikua hatembei miaka 30 baada ya maombi ameanza kutembea,

halleluyaaaaaaaaa, nani mtenda miujiza yeeeeeesu.

Nilikua nikisikia hivyo nabadilisha channel nilijua ni uongo tu.

Juzijuzi hapa kuna issue ilitokea ikanifanya nianze kumfatilia mwamposa buldozer, ndugu yangu hapa mtoto wake alikua anauguaugua yuko dhohofu akaamua kuanza kufatilia mwamposa vipindi vyake.

Akawa anafatilia maelekezo mfano unachukua maji unayaombea kwa imani (maji yoyote hata ya nyumbani kisimani au bombani), kitu cha ajabu kikatokea mtoto akatoa haja kubwa mbegu ya fenesi kuubwa, baada ya mda mtoto akaanza kupata nafuu.

Ikabidi prakatuba etumba etumba nianze kufanya research juu ya huyu mwamposa, aisee kiukweli hata Kama anatumia uchawi Mimi sijui, lakini matendo anayoyafanya yeye na wewe endapo ukipractise kwa miezi 6 utaanza kuona utofauti maishani mwako kwanini

Jamaa anazo ibada mbili, j.2 asubuhi na jioni, usiku pia kuna operation komboa familia kuanzia saa 4, usiku saa 8 jamaa yupo live, asubuhi saa 2 jamaa yuko live yaani ni maombi tu alafu ni kila siku hiyo ndio daily routine yake.

Hivi niwaulize sisi wengi daily routine zetu asubuhi hatusali tunaingia job, jioni tunapitia bar usiku tunasali kidogo au hatusali kabisa, mtoto wako anapata mapepo huwezi hata kumuombea maana ukianza kuomba pepo anaweza kukupiga makofi na kukucheka.

Siwazi saana kuhusu njia zake za maji na mafuta kwenye kupiga hela lakini nikichojifunza anakutengenezea wewe kua na imani kwamba endapo nikitumia haya maji basi nitapona....kwenye biblia kuna mifano mingiii Sana kuhusu manabii waliotumia vitu mbalimbali kwenye uponyaji

Tunachokoswa sisi naona ni Imani, Imani yako ndio inakuponya sio mwamposa mwamposa yuko kati tu pale kuiboost imani yako maana ukisikia tu mafundisho yake Unapata nguvu ya kiroho.

Mwamposa haponyi anaeponya ni Mungu anachotaka kwako ni imani tu

Siku moja alitoa siri akasema ombeni sala ya baba yetu ulie mbinguni Mara 5 asubuhi, mchana na usiku na saa 8 usiku ukiweza kuamka Kama dozi vile kwa imani, utaanza kubadilika Kiroho.

Wengi wetu hatukumbuki Mara ya mwisho kuomba sala ya baba yetu, anaweza kua anapiga hela Sana kwenye sadaka lakini Mimi naona acha awapige tu maana yeye kagundua siri ambayo wengi hawaijuiii.

Kundi kubwa la watu wanaotoka usukumani wengine hata kiswahili Hawajuii wanaenda kushuhudia awezi kuwapanga wote wale but wengi imani zao ndio zimewaponya narudia Mwamposa ni catalyst tu amegundua ukweli ulipo ni IMANI TU NDIO UFUNGUO WA UPONYAJI, MTU KWENDA KWA MWAMPOSA ANAJUA ANAENDA KUPONA ameshahamini tayar, kumbe mwamposa haponyi ila imani ya wenye matatizo ndio inawaponya.

Nawatakia maandalizi mema ya Sabato.
"Kundi kubwa la watu wanaotoka usukumani wengine hata kiswahili Hawajuii wanaenda kushuhudia"


Umemaanisha nini hapa kuleta dharau kwa kabila la watu tena kabila kubwa luliko la kwako shenzi wewe!!!
 
Propaganda hamn kitu kama icho milele hakiwezi kutokea

International pumba provider(IPP)
Karibu jpl hii ukanyage mafuta na upate uponyaji....kupinga kazi ya Mungu ni moja ya dalili ya mapepo njoo utolewe mapepo katika Jina la Yesu..ufungamanishwe na madhabahu ya mwamposa.

#MaendeleoHayanaChama

Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom