Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mwambie awe na imani atapona asiende kujaribu, mwamposa haponyi Mungu ndio anaeponya anachotaka ni imani yuNgoja nimtafute mlemavu wangu nimpeleke.akitembea nitakuwa mfuasi wake
Reply yako hamejibu Bongo Trust comment no #22 kamsome utaelewaNi kama hii michezo ya bahati nasibu wanaoshinda ni kidogo sana kuliko walioliwa, kuna watu tunawajua wao ni hodari sana wa kwenda huko wanajua ratiba zote na za kanisani kwa Mwamposa na wana imani kweli na miujiza ya Mwamposa ila wanaishia kusimulia shuhuda za wengine tu wao hadi leo hawana ushuhuda wao binafsi toka waanze kwenda huko kwa Mwamposa.
Umemaliza kila kitu, ndio maana nimesema acha mwamposa awapige hela maana yeye kajua siri ambayo watu hawaijui, ndio maana mafundisho yake yeye anajaza watu imaniUmeeleza vizuri kabisa mpaka nimependa, kinacho mponya mtu ni imani yake mwenyewe. Kila mtu amejaliwa nguvu ndani yake ila nguvu za wengi zimepoa, na ni wachache wanaoweza kutumia nguvu zao....
Hakika kiongozUmemaliza kila kitu, ndio maana nimesema acha mwamposa awapige hela maana yeye kajua siri ambayo watu hawaijui, ndio maana mafundisho yake yeye anajaza watu imani
Jamaa nimemuelewa kwamba imani yako ndio hufungua nguvu ambazo binaadamu tunazo na hapo ndio miujiza hutendeka, sasa mimi nimesema kwamba wapo watu wenye imani hasa kwa maana kama hayo maji washayatumia sana tena kwa imani ya hali ya juu kuwa yatawaponya ila hadi leo hakuna kilichotokea.Reply yako hamejibu Bongo Trust comment no #22 kamsome utaelewa
Kama issue ni imani sasa kwa Mwamposa anaenda kufanya nini? Kwanini asikae huko nyumbani na kuomba kwa imani ya kweli kabisa na kutegemea kupona?Mwambie awe na imani atapona asiende kujaribu, mwamposa haponyi Mungu ndio anaeponya anachotaka ni imani yu
Wewe dalali wake eti!? Nguvu za giza at work. Endeleeni naye kivyenu!Apostle kuna miujiza huku, nini kimetokea mkaka alikua hatembei miaka 30 baada ya maombi ameanza kutembea,
halleluyaaaaaaaaa, nani mtenda miujiza yeeeeeesu.
Nilikua nikisikia hivyo nabadilisha channel nilijua ni uongo tu.
Juzijuzi hapa kuna issue ilitokea ikanifanya nianze kumfatilia mwamposa buldozer, ndugu yangu hapa mtoto wake alikua anauguaugua yuko dhohofu akaamua kuanza kufatilia mwamposa vipindi vyake.
Akawa anafatilia maelekezo mfano unachukua maji unayaombea kwa imani (maji yoyote hata ya nyumbani kisimani au bombani), kitu cha ajabu kikatokea mtoto akatoa haja kubwa mbegu ya fenesi kuubwa, baada ya mda mtoto akaanza kupata nafuu.
Ikabidi prakatuba etumba etumba nianze kufanya research juu ya huyu mwamposa, aisee kiukweli hata Kama anatumia uchawi Mimi sijui, lakini matendo anayoyafanya yeye na wewe endapo ukipractise kwa miezi 6 utaanza kuona utofauti maishani mwako kwanini
Jamaa anazo ibada mbili, j.2 asubuhi na jioni, usiku pia kuna operation komboa familia kuanzia saa 4, usiku saa 8 jamaa yupo live, asubuhi saa 2 jamaa yuko live yaani ni maombi tu alafu ni kila siku hiyo ndio daily routine yake.
Hivi niwaulize sisi wengi daily routine zetu asubuhi hatusali tunaingia job, jioni tunapitia bar usiku tunasali kidogo au hatusali kabisa, mtoto wako anapata mapepo huwezi hata kumuombea maana ukianza kuomba pepo anaweza kukupiga makofi na kukucheka.
Siwazi saana kuhusu njia zake za maji na mafuta kwenye kupiga hela lakini nikichojifunza anakutengenezea wewe kua na imani kwamba endapo nikitumia haya maji basi nitapona....kwenye biblia kuna mifano mingiii Sana kuhusu manabii waliotumia vitu mbalimbali kwenye uponyaji
Tunachokoswa sisi naona ni Imani, Imani yako ndio inakuponya sio mwamposa mwamposa yuko kati tu pale kuiboost imani yako maana ukisikia tu mafundisho yake Unapata nguvu ya kiroho.
Mwamposa haponyi anaeponya ni Mungu anachotaka kwako ni imani tu
Siku moja alitoa siri akasema ombeni sala ya baba yetu ulie mbinguni Mara 5 asubuhi, mchana na usiku na saa 8 usiku ukiweza kuamka Kama dozi vile kwa imani, utaanza kubadilika Kiroho.
Wengi wetu hatukumbuki Mara ya mwisho kuomba sala ya baba yetu, anaweza kua anapiga hela Sana kwenye sadaka lakini Mimi naona acha awapige tu maana yeye kagundua siri ambayo wengi hawaijuiii.
Kundi kubwa la watu wanaotoka usukumani wengine hata kiswahili Hawajuii wanaenda kushuhudia awezi kuwapanga wote wale but wengi imani zao ndio zimewaponya narudia Mwamposa ni catalyst tu amegundua ukweli ulipo ni IMANI TU NDIO UFUNGUO WA UPONYAJI, MTU KWENDA KWA MWAMPOSA ANAJUA ANAENDA KUPONA ameshahamini tayar, kumbe mwamposa haponyi ila imani ya wenye matatizo ndio inawaponya.
Nawatakia maandalizi mema ya Sabato.
"Kundi kubwa la watu wanaotoka usukumani wengine hata kiswahili Hawajuii wanaenda kushuhudia"Apostle kuna miujiza huku, nini kimetokea mkaka alikua hatembei miaka 30 baada ya maombi ameanza kutembea,
halleluyaaaaaaaaa, nani mtenda miujiza yeeeeeesu.
Nilikua nikisikia hivyo nabadilisha channel nilijua ni uongo tu.
Juzijuzi hapa kuna issue ilitokea ikanifanya nianze kumfatilia mwamposa buldozer, ndugu yangu hapa mtoto wake alikua anauguaugua yuko dhohofu akaamua kuanza kufatilia mwamposa vipindi vyake.
Akawa anafatilia maelekezo mfano unachukua maji unayaombea kwa imani (maji yoyote hata ya nyumbani kisimani au bombani), kitu cha ajabu kikatokea mtoto akatoa haja kubwa mbegu ya fenesi kuubwa, baada ya mda mtoto akaanza kupata nafuu.
Ikabidi prakatuba etumba etumba nianze kufanya research juu ya huyu mwamposa, aisee kiukweli hata Kama anatumia uchawi Mimi sijui, lakini matendo anayoyafanya yeye na wewe endapo ukipractise kwa miezi 6 utaanza kuona utofauti maishani mwako kwanini
Jamaa anazo ibada mbili, j.2 asubuhi na jioni, usiku pia kuna operation komboa familia kuanzia saa 4, usiku saa 8 jamaa yupo live, asubuhi saa 2 jamaa yuko live yaani ni maombi tu alafu ni kila siku hiyo ndio daily routine yake.
Hivi niwaulize sisi wengi daily routine zetu asubuhi hatusali tunaingia job, jioni tunapitia bar usiku tunasali kidogo au hatusali kabisa, mtoto wako anapata mapepo huwezi hata kumuombea maana ukianza kuomba pepo anaweza kukupiga makofi na kukucheka.
Siwazi saana kuhusu njia zake za maji na mafuta kwenye kupiga hela lakini nikichojifunza anakutengenezea wewe kua na imani kwamba endapo nikitumia haya maji basi nitapona....kwenye biblia kuna mifano mingiii Sana kuhusu manabii waliotumia vitu mbalimbali kwenye uponyaji
Tunachokoswa sisi naona ni Imani, Imani yako ndio inakuponya sio mwamposa mwamposa yuko kati tu pale kuiboost imani yako maana ukisikia tu mafundisho yake Unapata nguvu ya kiroho.
Mwamposa haponyi anaeponya ni Mungu anachotaka kwako ni imani tu
Siku moja alitoa siri akasema ombeni sala ya baba yetu ulie mbinguni Mara 5 asubuhi, mchana na usiku na saa 8 usiku ukiweza kuamka Kama dozi vile kwa imani, utaanza kubadilika Kiroho.
Wengi wetu hatukumbuki Mara ya mwisho kuomba sala ya baba yetu, anaweza kua anapiga hela Sana kwenye sadaka lakini Mimi naona acha awapige tu maana yeye kagundua siri ambayo wengi hawaijuiii.
Kundi kubwa la watu wanaotoka usukumani wengine hata kiswahili Hawajuii wanaenda kushuhudia awezi kuwapanga wote wale but wengi imani zao ndio zimewaponya narudia Mwamposa ni catalyst tu amegundua ukweli ulipo ni IMANI TU NDIO UFUNGUO WA UPONYAJI, MTU KWENDA KWA MWAMPOSA ANAJUA ANAENDA KUPONA ameshahamini tayar, kumbe mwamposa haponyi ila imani ya wenye matatizo ndio inawaponya.
Nawatakia maandalizi mema ya Sabato.
Njoo ukanyage mafuta usione aibu..mwenzako wanapata uponyaji kila uchwao.Propaganda za kutisha
Karibu jpl hii ukanyage mafuta na upate uponyaji....kupinga kazi ya Mungu ni moja ya dalili ya mapepo njoo utolewe mapepo katika Jina la Yesu..ufungamanishwe na madhabahu ya mwamposa.Propaganda hamn kitu kama icho milele hakiwezi kutokea
International pumba provider(IPP)
Sijawahi hata kwenda kanisani kwake zaidi ya kumuona kwa tvAmekutuma huku kumkusanyia wateja