Nimesoma uzi wote na napenda kukuthibitishia kwamba dhumuni kuu la uzi huu ni kumtukuza mtu na sio MUNGU.
Nimeona vijana wake wakishuka nyuki kuhoji utimamu wangu, nawathibitishia kwamba nina akili kuliko vile wanavyoweza kufikiri.
Kama wewe ni Mkristo unayeamini kuwa MUNGU yupo na hujaona shida kuanzia katika kichwa cha uzi basi acha kumuabudu MUNGU na ufanye mambo mengine.
Soma kichwa cha uzi na uniambie kuna tofauti gani na zile sms za "Ninae babu yangu ni mganga wa Sumbawanga na ana nguvu hakuna linalomshinda"