Mwamposa Buldoza anazo nguvu za kweli

Mwamposa Buldoza anazo nguvu za kweli

Anachofanya mwamposa ni kwamba ali-invest mda wake kumtafuta Mungu akapata hii power then kwa sababu yeye ni mjanja mjanja anatumia nguvu alizo nazo kupiga hela si dhambi.kuna siku kwenye tv nilimsikia anasema kumtumikia Mungu sio ticket ya wewe kua maskini

sawasawa na wewe unalima mashamba mwisho wa siku upate faida kwa investment uliyofanya.
 
Sometimes Mungu aweza kukuponya kwa kukuonea huruma unavyosumbuka na makanisa.

Ref, mkuu wa mkoa aliyepigwa chini akakumbukwa majuzi, alikuwa anaimba kwaya huko huko kwa Mwamposa
Nan uyo au ni chalamila
 
Mimi sometimes nikiwa free namsikiliza,jamaa ana upako wa kumwaminisha mtu ukaona tatizo dogo na ukapona kwa imani yako
Hii ndio ninachojaribu kuwaambia watu anawalisha watu imani saana, hizo mambo za kupiga sadaka ni binadamu lakini huwezi shikiwa bastola ukatoe sadaka lakini mafundisho yake ni worth enough kuyasikiliza
 
Bwana parakatumba mm binafs naendaga Sana kwa buldozer na Wala sijawai kujutia kwenda ingawa mm Ni mkkkt senior kbsa

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
mi mara ya mwisho kwenda ni week iliyopita ,kuna kipindi nilikwama kikazi,nikawa namwangalia kwenye tv,jumapili iliyofuata nikaenda Kawe ,aiseee ile wiki nilipata kazi ya maana,kuanzia hapo nikaamini hapa ni sahihi
 
Yesu alivyo kuja hakuna nabii tena
Sio kweli Kuna mtu alisema lile vuguvugu la corona kabla hata ya malock down kwamba Dunia inaingia kwenye new chapter na ishara moja wapo Hali ya uchumi itakua ngumu sana ni kweli Dunia inapitia katika kipindi kigumu

Nabii anatuamia mambo yajayo na jinsi ya kujipanga, kwa sababu mambo magumu yakija ni rahisi watu kumdhihaki Mungu mfano mwaka 2030 hatujui nin kitatokea lakin nabii anaweza tuambia nin kitatokea na mambo yatupasayo kufanya sio 2030 hadi 2100 manabii wanajua nin kitatokea

Zaman za agano la kale manabii walikua wanakaa beneth na wafalme kuwaambia mambo yajayo mfano yusuphu alimfanyia unabii farao kuhusiana na ndoto aliyoioota na mambo yampasayo kufanya

Miaka baada ya YESU unabii umeona kama hauna maana kwa sababu roho mtakatifu anaweza kaa ndani ya kila mtu kwa hiyo hata wewe unaweza ukafanya unabii
 
Yesu alivyo kuja hakuna nabii tena
Sio kweli Kuna mtu alitos unabii kipindi kile vuguvugu la corona ndo linaanza kabla hata ya malock down kwamba Dunia inaingia kwenye new chapter na ishara moja wapo Hali ya uchumi itakua ngumu sana ni kweli Dunia inapitia katika kipindi kigumu

Zaman za agano la kale manabii walikua beneth na wafalme mfano yusuphu alimtafsiria farao ndoto na kumwambia ni mambo gani yampasayo kufanya

Nabii anatuamia mambo yajayo na jinsi ya kujipanga, kwa sababu mambo magumu yakija ni rahisi watu kumdhihaki Mungu mfano mwaka 2030 hatujui nin kitatokea lakin nabii anaweza tuambia nin kitatokea na mambo yatupasayo kufanya sio 2030 hadi 2100 manabii wanajua nin kitatokea
 
Hii ndio ninachojaribu kuwaambia watu anawalisha watu imani saana, hizo mambo za kupiga sadaka ni binadamu lakini huwezi shikiwa bastola ukatoe sadaka lakini mafundisho yake ni worth enough kuyasikiliza
yule jamaa ile kazi ameamua na pia siyo ajabu Mungu kumtumia mtu kama yule ,jamaa kila siku hapunziki programs kibao za maombi siyo hawa mapasta wa kushikana mashati mtaani
 
Mumshauri bc huyo Nabii apite mitaani kuna walemavu wengi sn ambao wanahitaji kuponywa.

Aanzie Kariakoo.




Nawasilisha.
 
Anachofanya mwamposa ni kwamba ali-invest mda wake kumtafuta Mungu akapata hii power then kwa sababu yeye ni mjanja mjanja anatumia nguvu alizo nazo kupiga hela si dhambi.kuna siku kwenye tv nilimsikia anasema kumtumikia Mungu sio ticket ya wewe kua maskini

sawasawa na wewe unalima mashamba mwisho wa siku upate faida kwa investment uliyofanya.
Yuko sahih kbsa acha apate kwani yule was Nigeria bwan Joshua nabii mbna kafa na kaacha Kila kitu duniani so hzo pesa Ni zake tu akiwahapa duniani akifa pesa na Mali zinakuwa za watu wengine mm sioni shida mwamposa kupiga pesa apige ahaswa Tena ikiwezekaan pato lako la jpili moja igonge bilion moja hkn shida

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
 
mi mara ya mwisho kwenda ni week iliyopita ,kuna kipindi nilikwama kikazi,nikawa namwangalia kwenye tv,jumapili iliyofuata nikaenda Kawe ,aiseee ile wiki nilipata kazi ya maana,kuanzia hapo nikaamini hapa ni sahihi
Sahih kbsa mm mwenye itabidi kesho niwai kwenda mnk Kuna maahli nimepeleka CV sas boss amekubali mm nipewe kazi Ila mtu aliye kabidhiwa anipe ajira naonna analeta chenga chenga sas ngoja niende kwa buldozer

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
 
Alfu mkuu parakatumba jus Kat Happ sikumbuki siku nimeota ndoto inanimbia mbona usaligi Sala ya Bab yetu

Amka usali lkn sikufanyia kazi ile Sala kbsa. Nikaota Tena kak angu akiniimiza nisali Sala ile ilaa sikufany hvyo Ila sas hyo sala nitafanyia Kaz Kama nabii naavyowaimiza watu wake wasali

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
 
Wapumbavu tu ndo wanaenda si aende hospital wako serious ....Nilijua huna akili tu kufuata maigizo danganya wajinga wenzio wa huko kwenu
Kuna kitu kwenye maisha hukijui au unajitoa mfano Kuna matajiri wengi tu wameenda kwa waganga wameloga na wamefanikiwa, wengi wameenda kwa wachungaji wengine wameenda mpaka kwa mashehe maisha is Al about choice na usione ni wajinga

Mwanadamu kila mtu anaishi kutokana na akili yake inavyomtuma na kamwe hatutakaa tufanane na kwasababu mtu hafanani kifikra usimuone mjinga yule ambaye hufanani naye kifikra, kimtazamo au kiimani

Mfano mwamposa namjua tokea miaka hiyo ya 2004, 2005 Yuko Moshi kabla hata ajaja huku dar lakin sijawah udhuria ibada yake lakin namuheshimu yeye na wafuasi wake as long sio kero kwangu
 
Kuponya mtu haimaanishi kuwa ni nabii wa kweli,
Mtu kujua mambo yako ya sirini haimaanishi kuwa ni nabii wa kweli wengine Wana Pepo WA utambuzi.

Kwa sisi waamini tunasoma Biblia maana tunaamini hakuna kinachotoka Nje ya hapo.
Msiyumbishwe na Watumishi maana saa inakuja watakaposema yupo Kusini usiende maana si kweli.
Ukiijua kweli itakuweka huru.
Mtumishi Amadala Sina mengi endeleeni KUWAADMIRE hao Watumishi wenu.
NB: KAMA SIO MWAMINI SITAKI ZILE MASWALI MUNGU YUPO, SHIKA YAKO
 
Sio kweli Kuna mtu alitos unabii kipindi kile vuguvugu la corona ndo linaanza kabla hata ya malock down kwamba Dunia inaingia kwenye new chapter na ishara moja wapo Hali ya uchumi itakua ngumu sana ni kweli Dunia inapitia katika kipindi kigumu

Zaman za agano la kale manabii walikua beneth na wafalme mfano yusuphu alimtafsiria farao ndoto na kumwambia ni mambo gani yampasayo kufanya

Nabii anatuamia mambo yajayo na jinsi ya kujipanga, kwa sababu mambo magumu yakija ni rahisi watu kumdhihaki Mungu mfano mwaka 2030 hatujui nin kitatokea lakin nabii anaweza tuambia nin kitatokea na mambo yatupasayo kufanya sio 2030 hadi 2100 manabii wanajua nin kitatokea
Unabii unatoka kwa Mungu , ameshakuja duniani akatimiliza unabii wote na akaweka wazi yote yajayo,
Hakuna nabii alikiwa anasoma unabii wa mababiii , kama yupo weka hapa


Kuna vitu vinachekesha wewe ni nabii ili kuthibitisha unasoma unabii wa kwenye biblia badala utamke unabii tuandike tuweke kwenye biblia
 
Back
Top Bottom