johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Jizi linaujua utukufu? Tapeli la kutisha. Jizi la kimataifaNabii na Mtume namba Moja Nchini mh Mwamposa amesema Maandamano yanaharibu Utukufu wa Mungu
Source: WASAFI media
My take; Chadema wawe Waelewa
Mlale Unono πππΉπΉ
Kama kuna kenge mbaya Sana, ni, huyu assholeNabii na Mtume namba Moja Nchini mh Mwamposa amesema Maandamano yanaharibu Utukufu wa Mungu
Source: WASAFI media
My take; Chadema wawe Waelewa
Mlale Unono πππΉπΉ
Wewe na huyo nabii wako wote ni wapuuzi fulani tuuNabii na Mtume namba Moja Nchini mh Mwamposa amesema Maandamano yanaharibu Utukufu wa Mungu
Source: WASAFI media
My take; Chadema wawe Waelewa
Mlale Unono πππΉπΉ
Hii ndio mihemko.Jizi linaujua utukufu? Tapeli la kutisha. Jizi la kimataifa
Huyu ni msinzi na tapeli tu. Hana lolote. Yanaharibu ''utukufu'' wake wa kutapeli watu.Nabii na Mtume namba Moja Nchini mh Mwamposa amesema Maandamano yanaharibu Utukufu wa Mungu
Source: WASAFI media
My take; Chadema wawe Waelewa
Mlale Unono πππΉπΉ
Mkuu hakuna nabii hapo. Bora hata mganga wa kienyeji. Huyu jamaa ni li-tapeli lililo kubuhu. Pia ni mzinifu wa kiwango kikubwa.Wewe na huyo nabii wako wote ni wapuuzi fulani tuu
HayaWewe na huyo nabii wako wote ni wapuuzi fulani tuu
Yaani huyu bonge la Tapeli aiseeh hii nchi ina laanaHuyo nae si tapeli tuu anatumiwa na CCM na makonda
Kweli una kumbukumbu serikali ili mlinda na yeye amekuwa chawa wa serikaliLazima aone kawaida hatujasahau alivyotoa kafara huko Arusha mwaka ule kwahiyo kumwaga damu ni kawaida kwake, km yule wa kifo ni kifo
Chawa kila kona yani nchi inanuka uchawaKweli una kumbukumbu serikali ili mlinda na yeye amekuwa chawa wa serikali