Mwamposa: Maandamano yanaharibu Utukufu wa Mungu

Mwamposa: Maandamano yanaharibu Utukufu wa Mungu

Sihaelewa analenga nini, labda lama anafanya siasa sawa, lkn Kuna mahali kwenye bible wameandika Yesu aliingia Yerusalemu akiwa na umati mkubwa wa watu, yaani waliandama akiimbiwa Hosana hosana mwana wa Daud. Maandamano! Walitandika nguo wakiwa na Matawi na shangwe nyingi akuwa na mitume na wafuasi. Sidi RC pia huandamana kwenye siku ya Matawi, Rkaristi Takatifu pia.
 
Sihaelewa analenga nini, labda lama anafanya siasa sawa, lkn Kuna mahali kwenye bible wameandika Yesu aliingia Yerusalemu akiwa na umati mkubwa wa watu, yaani waliandama akiimbiwa Hosana hosana mwana wa Daud. Maandamano! Walitandika nguo wakiwa na Matawi na shangwe nyingi akuwa na mitume na wafuasi. Sidi RC pia huandamana kwenye siku ya Matawi, Rkaristi Takatifu pia.
Achana na huyu muuza unga
 
Nabii na Mtume namba Moja Nchini mh Mwamposa amesema Maandamano yanaharibu Utukufu wa Mungu

Source: WASAFI media

My take; Chadema wawe Waelewa

Mlale Unono 😃😃🌹🌹
Yesu alifanya Maandamano na wanafunzi wake. Baada ya Yesu kuanza kaz zake alikua ana andamana na wanafunzi wake kila sehem.
Maandamano ya Amani n haki kikatiba
 
Back
Top Bottom