Mwamposa: Maandamano yanaharibu Utukufu wa Mungu

Mwamposa: Maandamano yanaharibu Utukufu wa Mungu

Leo mnamkataa mwamposa kisa anawashauri muwakatae Chadema na fujo zao??

Nyinyi wanakondoo mna tabu sana.
Kwanza Mimi siyo shabiki wa chama chochote Cha siasa.

Pili, Mwampisa sijawahi kumkubali na siyo yeye peke yake Bali hata yule kiboko ya wachawi na wengine wanaojiita Manabii wote ni matapeli.

Njoo Roman Catholic tumuabudu Mungu wa Kweli .

Siyo kanisa mume mchungaji ,mke mwema hazina watoto wakusanya sadaka. Ndugu wahamasiahaji wa watu watie sadaka Hilo siyo kanisa ni kikundi Cha matapeli.
 
Utukufu kwa Mungu Juu Mbinguni na Amani duniani kwa Watu aliowaridhia 🌹
Wakupeleka udongo..? Kwa sisi wamwaminio huwa tumesha onywa na kirsto juu ya hawa wachumia tumbo waliokuja kwa jina la kristo yesu.
 
Atayakoga matusi toka vijana wenye hisia na hasira kali wa cdm
 
Nabii na Mtume namba Moja Nchini mh Mwamposa amesema Maandamano yanaharibu Utukufu wa Mungu

Source: WASAFI media

My take; Chadema wawe Waelewa

Mlale Unono 😃😃🌹🌹
Huyo mtoa roho za wafuasi wake wajinga na vilaza kama bashite mzee wa nyashiii
 
Nabii na Mtume namba Moja Nchini mh Mwamposa amesema Maandamano yanaharibu Utukufu wa Mungu

Source: WASAFI media

My take; Chadema wawe Waelewa

Mlale Unono 😃😃🌹🌹
Kuzaa na video vixen kuna utukufu? Utapeli unaofanya una utukufu?
 
Wajinga waliwao
Nchi hii ina wpmnv&wajng wengi

Ova
 
Bado kuna mazombi yanaenda kwa huyo tapeli kutoa sadaka na kuomba baraka, Mataahira hawaishi nchi hii na ndio mtaji wa wanasiasa
 
Nabii na Mtume namba Moja Nchini mh Mwamposa amesema Maandamano yanaharibu Utukufu wa Mungu

Source: WASAFI media

My take; Chadema wawe Waelewa

Mlale Unono 😃😃🌹🌹
Yeye aendelee kuwapumbaza wajinga kwa bukubuku za upako
 
Nabii na Mtume namba Moja Nchini mh Mwamposa amesema Maandamano yanaharibu Utukufu wa Mungu

Source: WASAFI media

My take; Chadema wawe Waelewa

Mlale Unono 😃😃🌹🌹
Je mauaji ndiyo yanaleta utukufu? Huyu ameshashiba ale kwa ustaarabu. Mimi nishauri pande zote mbili CCM na CDM kama vyama vikuu vya kisiasa vyenye wanachama na ushawishi mkubwa wa wawanchi nchini vikae pamoja na kuweka vema mstakabali mzima wa Taifa letu, Sidhani mahali nchi ilipofikia majeshi yanaweza kusaidia,kwasababu hivi vitu vinaratibiwa kisiasa na kisheria na jeshi linaendeshwa kwa mujibu wa sheria tu. CDM kama kingekuws kinavunja sheria ya nchi hicho chama kingefutwa kisheria lakini kwakuwa kinafanya mambo yake kwa mujibu ya sheria vyombo vya Dola vitaonekana vinaingilia mnyukano wakisiasa wawashindani wakubwa na hapo ndipo kunakuwa chanzo cha vurugu na mauaji.
 
Nabii na Mtume namba Moja Nchini mh Mwamposa amesema Maandamano yanaharibu Utukufu wa Mungu

Source: WASAFI media

My take; Chadema wawe Waelewa

Mlale Unono 😃😃🌹🌹
Siku hizi hata Wachawi na Matapeli nao wanamtukuza Mungu na Utukufu wake? Hawaogopi?
 
Nabii na Mtume namba Moja Nchini mh Mwamposa amesema Maandamano yanaharibu Utukufu wa Mungu

Source: WASAFI media

My take; Chadema wawe Waelewa

Mlale Unono 😃😃🌹🌹
Kama ni hivyo yaondolewe kwenye katiba ya nchi. Freemason mkubwa huyu.
 
Nabii na Mtume namba Moja Nchini mh Mwamposa amesema Maandamano yanaharibu Utukufu wa Mungu

Source: WASAFI media

My take; Chadema wawe Waelewa

Mlale Unono 😃😃🌹🌹
Hivi wakati Yesu anaingia Yerusalemu amepanda punda na wanawake wakatandika mavao yao chini apite, hayakuwa maandamano yale?


Kuzimu inahofia maandamano ya kudai haki
 
Back
Top Bottom