Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tapeli yuleNabii na Mtume namba Moja Nchini mh Mwamposa amesema Maandamano yanaharibu Utukufu wa Mungu
Source: WASAFI media
My take; Chadema wawe Waelewa
Mlale Unono 😃😃🌹🌹
Hata hiyo biashara ya kuuza maji na Mafuta bila kulipia Kodi inaharibu utukufu wa Mungu.Nabii na Mtume namba Moja Nchini mh Mwamposa amesema Maandamano yanaharibu Utukufu wa Mungu
Source: WASAFI media
My take; Chadema wawe Waelewa
Mlale Unono 😃😃🌹🌹
Hivi mafungo aliyofanya ili kufika mwezi wa 8 mwaka huu mtandao wa X uwe umeshafutika bado yanaendelea?Nabii na Mtume namba Moja Nchini mh Mwamposa amesema Maandamano yanaharibu Utukufu wa Mungu
Source: WASAFI media
My take; Chadema wawe Waelewa
Mlale Unono 😃😃🌹🌹
Kwanza huo utume limepewa na nani?Nabii na Mtume namba Moja Nchini mh Mwamposa amesema Maandamano yanaharibu Utukufu wa Mungu
Source: WASAFI media
My take; Chadema wawe Waelewa
Mlale Unono 😃😃🌹🌹
Leo mnamkataa mwamposa kisa anawashauri muwakatae Chadema na fujo zao??Kwanza huo utume limepewa na nani?
Pili, Lilipe Kodi kwa biashara ya kuuza Mafuta na maji.
AmenHALELUYAAAAAH...!!!
😂😂😂Leo mnamkataa mwamposa kisa anawashauri muwakatae Chadema na fujo zao??
Nyinyi wanakondoo mna tabu sana.
Sivyo,Mtume Mwamposa: Maandamano yanaharibu Utukufu wa Mungu
Nabii na Mtume namba Moja Nchini mh Mwamposa amesema Maandamano yanaharibu Utukufu wa Mungu
Source: WASAFI media
My take; Chadema wawe Waelewa
Mlale Unono 😃😃🌹🌹
MR MWAMPOSA TAPELI SANA ANAWAIBIA SANA WAJANE NA MA SINGLE MOTHER HUYU JAMAANabii na Mtume namba Moja Nchini mh Mwamposa amesema Maandamano yanaharibu Utukufu wa Mungu
Source: WASAFI media
My take; Chadema wawe Waelewa
Mlale Unono 😃😃🌹🌹
Akianza hizi habari atapotea kwenye game. Awe na focus.Nabii na Mtume namba Moja Nchini mh Mwamposa amesema Maandamano yanaharibu Utukufu wa Mungu
Source: WASAFI media
My take; Chadema wawe Waelewa
Mlale Unono 😃😃🌹🌹
Ufisadi na mauaji yanabariki huo utukufu? Wazungu walimtumia yesu kitutawala na kuwanyanyasa bibizetu kingono, anamwamini huyu fisadi akapimwe akiliNabii na Mtume namba Moja Nchini mh Mwamposa amesema Maandamano yanaharibu Utukufu wa Mungu
Source: WASAFI media
My take; Chadema wawe Waelewa
Mlale Unono 😃😃🌹🌹