Bombabomba
JF-Expert Member
- Dec 23, 2017
- 1,804
- 2,128
Mwamposa ni tapeli na mkwepa kodi ndiyo maana anaamua kuwa upande wa wauajiNabii na Mtume namba Moja Nchini mh Mwamposa amesema Maandamano yanaharibu Utukufu wa Mungu
Source: WASAFI media
My take; Chadema wawe Waelewa
Mlale Unono πππΉπΉ
Huyu muuza madawa hana jipyaNabii na Mtume namba Moja Nchini mh Mwamposa amesema Maandamano yanaharibu Utukufu wa Mungu
Source: WASAFI media
My take; Chadema wawe Waelewa
Mlale Unono πππΉπΉ
Achana na huyu muuza ungaSihaelewa analenga nini, labda lama anafanya siasa sawa, lkn Kuna mahali kwenye bible wameandika Yesu aliingia Yerusalemu akiwa na umati mkubwa wa watu, yaani waliandama akiimbiwa Hosana hosana mwana wa Daud. Maandamano! Walitandika nguo wakiwa na Matawi na shangwe nyingi akuwa na mitume na wafuasi. Sidi RC pia huandamana kwenye siku ya Matawi, Rkaristi Takatifu pia.
Umemaliza kila kituMwamposa ni tapeli na mkwepa kodi ndiyo maana anaamua kuwa upande wa wauaji
Kama za baba yako tu.Un akili matope na kiduchu
Maandamano yanakupunguzia sadaka si utukufu wa Mungu.Na misukule je?
Yesu alifanya Maandamano na wanafunzi wake. Baada ya Yesu kuanza kaz zake alikua ana andamana na wanafunzi wake kila sehem.Nabii na Mtume namba Moja Nchini mh Mwamposa amesema Maandamano yanaharibu Utukufu wa Mungu
Source: WASAFI media
My take; Chadema wawe Waelewa
Mlale Unono πππΉπΉ