Manfried
JF-Expert Member
- Oct 11, 2024
- 1,288
- 4,074
Kaa utulie 30 yrs still no marriage usichukulie kawaidaNimekujaza ukajaa, mbona wewe ndio mbea kunizidi sasa?
Sikukuu njema, muda wa kugombana na stranger sina.
Cheers
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kaa utulie 30 yrs still no marriage usichukulie kawaidaNimekujaza ukajaa, mbona wewe ndio mbea kunizidi sasa?
Sikukuu njema, muda wa kugombana na stranger sina.
Cheers
Nniulize mimi ...mashine inashida ana jaribu kuitengeneza mahospitalini huko...nyeto ilimmalizaUsiniangushe bhn vyanzo vyako havikupata hii taarifa ,Fatilia unijuze .....Single kimwonekano ila Kuna ya nyuma ya pazia
Bora ndugu yangu maana miye nipo humu tuuu sipatikani pengine.Kwa ajili ya watu kama wewe, ndio maana siachi kusema.
Ya Abushiri nilinyoosha mikono juu, jamaa wamemmaliza kabisa.ndo kazi yako inakuja hapo nifah. si unapenda journalism?
unampeleleza kisha unamwaga mafile yake
kama tb joshua na abushiri walivofanywa
abushiri kabonyezwa hadi kakimbia nchi. SA wana akili!
shida waandishi wetu wanapenda habari rahisi, mambo magumu hawataki
Mtumie basi ka milioni 1 mtoto wa watu afurahie sikukuu hzi....!!£Mnh! Umeandika vizuri sana mpenzi wangu. Unaandika news kwa kuiwekea suspense kama novel. Hongera sana.
Asante kwa kutujuza. Heri ya sikukuu ya Noeli.
Ova
Hii bado kwangu ni new update kweli nyuzi mnaziweza ninyi.Wewe uko wapi mjini hapa? Kondoo wawili (pengine kuna wengine pia mi sijui) wameporomoshewa mijengo mmoja Kigamboni mwingine sikumbuki ni wapi.
Tena kuna siku nadhani Valentine ya mwaka juzi wahusika hao wawili walichambana kila mmoja anaringishia yeye ndio kamshika Mtumishi na anatamba naye.
Achana na huyu mtu bwana watu wanaolewa 45.Mchumba angu Mdakuzi fanya basi urudi uje kunioa na huyu mke mwenzangu hapa babe, anahofia sana kwamba unaweza usituoe!
AmeeeeenUsijali, nitaandika kadiri Mungu atakavyonijaalia uhai.
wewee mbona naskia kaoa kibinti cha feza😅Mpaka sasa Mtumishi yuko single, sasa sijui inakuwaje hapo.
hamna, nina rafiki yangu mfuasi sana wa mwamposa ndo alinijuza mwamposa kaoa kibinti kilichomaliza feza hivi karibuni.Mdogo wangu kumbe na wewe umo? Haya, kaoa lini?
Hadi hapa naamini Wanaume hatuzeekiwewee mbona naskia kaoa kibinti cha feza😅