Mwamposa: Mimi siyo Freemasons na sijui kwanini naandamwa na kusingiziwa vingi

Mnh. mchungaji alikuponya pumu...?
Kwa hiyo Sio Mungu tena. Haya....
 
Ha ha ha...mi mwnyw Huwa nawaza TU,
Siku maisha yakinipiga naenda Nigeria nachukua uchawi, naanzisha kanisa[emoji4]
 
Hapa bado hatujaanza Kumjadili Yeye na Dada Mrembo mwenye Massage Parlour yenye Jina Maarufu na la mwisho la Timu Mbili Kubwa Hasimu za nchini Italia moja wapo Andrea Pirlo aliichezea na nyingine Ibrahimovic aliichezea.
Milan[emoji6]
 
Wivu kitu kibaya mimi kwa sababu nafanya minyanduo sina uhalali wa kumkosoa mwamposa.. Mwamposa ni nabii na atabaki kuwa nabii na divyo
 
Great thinker wewe!
 
Umeongea ukweli, ukipata fursa tu ya kucheza na Akili za wa Tz mpaka wanakuja kukustukia ushatoboa Life kitambo. Ukiwa na uwezo na confidence ya kuongea mbele za watu unapata waumini kibao wengi wao wanawake.
 
mwamposa saah jina la kikwao limekua maarufu sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…