Mwamposa: Mimi siyo Freemasons na sijui kwanini naandamwa na kusingiziwa vingi


Point zako zakitoto sana,hujawahi kubwa na matatizo utawatafuta hao akina mwamposa.
 
Ohooo
 
Huyu jamaa akienda mkoa fulani wanaopona wanatoka wilayani tu yani vijijini akienda vijijini wanaopona wale wanaotoka mjini
Hii ya viwete kupona mimi mwenyew inanishangaza viwete wanaofahamika huwa hawaponi ila wale ambao huwajui ndo unakuta maelfu wamepona
 

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Kwani Freemasons Wana baya Gani? Hawajui Freemasons.
 
Humu Wanaomlaumu mwamposa unakuta na wao ni chenga tuu , wazinzi , mafisadi , watoaji wa makafara, wezi , wadanganyifu nk ... Kiufupi hakuna wa kumcheka mwenzake ..mwamposa kawazid ujanja ndo mana wanamwandama Sana
 
Sasa mchungaji na cheni wapi kwa wapi?
Hataki kujibizana na watu kivipi sindio ameshawajibu? Hayo mafuta yake nikama maji ya betri mpaka yaharibu viatu? Sasa inakuaje mafuta yakimwagika kwenye kiatu kinaharibika kisha mtu anapewa mafuta hayo alambe?
Hivi TBS wamewahi kuangalia bidhaa za huyo mtumishi?

Mbona anajichanganya
 
Hakuna kitu kina nguvu ya kujibu hoja kama kukaa kimya. Angekaa kimya tu!!
Hata ujumbe huu umeletwa sivyo. Nilimsikiliza.
Alitolea mfano jinsi Mungu akikuweka level flani ukawa juu basi watu watakuangalia wewe, watakusema wewe kwa lolote ufanyalo.
Alijitolea mfano yeye mwenyewe kuwa Mungu kamuweka level ya juu ndio mana gumzo jingi mtaani na yeye alisema hana muda wa kujibu hoja za mitaani mana sio level (kiwango) chake, akifanya hivyo atakuwa amejishusha sana. Cha ajabu mleta mada kaigeuza hoja kaileta hapa kama amewajibu hao wamsemao mtaani.
 
Ila jamani wale wajenzi huru kujiunga umoja wao sio kitu rahisi kama tunavyoropakaga mitaani.
Semeni labda kama yuko kwenye kundi lingine ila sio lile la WAJENZI HURU.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…