Gulio Tanzania
JF-Expert Member
- Jan 30, 2018
- 3,325
- 7,807
Jamaa yupo bize kuhesabu pesa hana muda wa wakuwajibu wanaomuatackHivu huyu Mwamposa kwann anawasumbuwa kiasi hicho? Achaneni nae vinginevyo ni kama mmekosa kazi zaidi ya kila leo kumleta humu kwa kujifanya mnawakandia walokole
Unasema ukweli wasiotaka kuusikiaInstead of feeding the poor just like what exactly Jesus did, it's the poor who are feeding these religious entrepreneurs
Umetuchanganya na Hope urassa broMy love 😘
Hivi watu Laki 4 wanakaa wapi?Chukulia kila mmoja ametoa sadaka 1,000/=. Kakusanya shilingi ngapi ?
Unamkana waziwazi muuza maembe wako☹️Umetuchanganya na Hope urassa bro
Hapana baby. Ni wewe mzazi mwenzangu.Umetuchanganya na Hope urassa bro
Mwambie avue dera jipya ananikomfusi mwenzie😔Unamkana waziwazi muuza maembe wako☹️
Umekula sana Maembe yangu PMwambie avue dera jipya ananikomfusi mwenzie😔
Alafu amekula sana Maembe yangu mtoto mzuri PUnamkana waziwazi muuza maembe wako☹️
Mlikua wengi yako ni yapi?😔Umekula sana Maembe yangu P
Wachagga walikufa kwa kiherehere chao cha kutaka kila jambo wawe wa kwanzaMwamposa aliua watu zaidi ya 20 Kilimanjaro mwaka 2020, akakimbia serikali ikamuacha. Ni mambo ya ajabu mwamposa bado yuko uraiani. Mwamposa alitakiwa kua jela kwa mauaji ya kukusudia kwa kuwakanyagisha watu wafuta bila kuchukua tahadhari yoyote na kupelekea vifo vya watu wengi.