Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Babu Tale atapewa Uwaziri au unasemaje??Mwana FA ndio msanii anaeongoza kwa roho mbaya hapa Tanzania akifatiwa na Chege Chigunda.
🖕Babu Tale atapewa Uwaziri au unasemaje??
Mwana FA ndio msanii anaeongoza kwa roho mbaya hapa Tanzania akifatiwa na Chege Chigunda.
Bora angemteua hata suguHuyu bitoz amepewa uwaziri na Mama Samia naona watu wengi wameipokea hii habari kama ni habari njema kwenye michezo sanaa na burudani.
Kwa tunaomjaua mwana fa hapa hakuna kitu kipya atafanya kusaidia wasanii na wanamichezo.
Huyu bishoo ni mbinafsi, ana roho mbaya, anaringa ile kuringa sio kitoto, ana dharau, mtu wa fitna na majungu na mchonganishi.
Hakuna lolote jipya atafanya kwenye hiyo wizara zaidi ya kuongeza matabaka kwa wasanii, kuwaaribia wenzake asowapenda maana huyu jamaa ni ana ile roho ya Kiswahili 100%.
Hapa wasanii na wanamichezo wamepigwa mara mia Dr Abbas japo alikuwa anafanya mambo yake kwa ufahamu mdogo wa sanaa ila alikuwa anafikika anakaribisha kila mtu na hana mipaka wala kutengeneza makundi.
Mwana FA kuwa waziri ni habari mbaya kwenye sanaa yetu. I wish Niki wa Pili au Joketi wangekuwa wabunge wapewe hii wizara awa ni wazungu wa roho alafu wanapenda kuona wenzao wakipiga hatua hawana choyo kama huyu mtoto wa kitanga.
Mwana FA hata mi nilijua tuu hapa chenga , mwamba ni mtu wa kukunja SanaHuyu bitoz amepewa uwaziri na Mama Samia naona watu wengi wameipokea hii habari kama ni habari njema kwenye michezo sanaa na burudani.
Kwa tunaomjaua mwana fa hapa hakuna kitu kipya atafanya kusaidia wasanii na wanamichezo.
Huyu bishoo ni mbinafsi, ana roho mbaya, anaringa ile kuringa sio kitoto, ana dharau, mtu wa fitna na majungu na mchonganishi.
Hakuna lolote jipya atafanya kwenye hiyo wizara zaidi ya kuongeza matabaka kwa wasanii, kuwaaribia wenzake asowapenda maana huyu jamaa ni ana ile roho ya Kiswahili 100%.
Hapa wasanii na wanamichezo wamepigwa mara mia Dr Abbas japo alikuwa anafanya mambo yake kwa ufahamu mdogo wa sanaa ila alikuwa anafikika anakaribisha kila mtu na hana mipaka wala kutengeneza makundi.
Mwana FA kuwa waziri ni habari mbaya kwenye sanaa yetu. I wish Niki wa Pili au Joketi wangekuwa wabunge wapewe hii wizara awa ni wazungu wa roho alafu wanapenda kuona wenzao wakipiga hatua hawana choyo kama huyu mtoto wa kitanga.
ila yule brother ni zaid ya chawa aisee[emoji1787][emoji1787] ww mpe maisha tu mengine muachie akusemeeTutamtumia Baba levo kujibu mashambulizi...
Chege ana roho mbaya ki vp? Yule msela napenda sana life style yakeMwana FA ndio msanii anaeongoza kwa roho mbaya hapa Tanzania akifatiwa na Chege Chigunda.
Basi tutampa Diamond Platnumz au unasemaje kamanda??
Sahihi na Nyumbani anahakikisha Mkate anarudi nao...ila yule brother ni zaid ya chawa aisee[emoji1787][emoji1787] ww mpe maisha tu mengine muachie akusemee
Anaishi nyumba ya 1m per month Kwa nini asiwe kupe au luba...mjini hapa!!!ila yule brother ni zaid ya chawa aisee[emoji1787][emoji1787] ww mpe maisha tu mengine muachie akusemee
Huyu bitoz amepewa uwaziri na Mama Samia naona watu wengi wameipokea hii habari kama ni habari njema kwenye michezo sanaa na burudani.
Kwa tunaomjaua mwana fa hapa hakuna kitu kipya atafanya kusaidia wasanii na wanamichezo.
Huyu bishoo ni mbinafsi, ana roho mbaya, anaringa ile kuringa sio kitoto, ana dharau, mtu wa fitna na majungu na mchonganishi.
Hakuna lolote jipya atafanya kwenye hiyo wizara zaidi ya kuongeza matabaka kwa wasanii, kuwaaribia wenzake asowapenda maana huyu jamaa ni ana ile roho ya Kiswahili 100%.
Hapa wasanii na wanamichezo wamepigwa mara mia Dr Abbas japo alikuwa anafanya mambo yake kwa ufahamu mdogo wa sanaa ila alikuwa anafikika anakaribisha kila mtu na hana mipaka wala kutengeneza makundi.
Mwana FA kuwa waziri ni habari mbaya kwenye sanaa yetu. I wish Niki wa Pili au Joketi wangekuwa wabunge wapewe hii wizara awa ni wazungu wa roho alafu wanapenda kuona wenzao wakipiga hatua hawana choyo kama huyu mtoto wa kitanga.
Kweliii...mbona anaoenaka humble jamaniMwana FA ni mjivuni flani.
Kuna siku nimeshiriki kazi moja iliyotakiwa mimi na wenzangu kumshirikisha yeye kama Mbunge aisee jamaa ananata kweli kweli.
Picha linaanza unaweza kumpigia simu hata mara kumi asipokee na asipige kuuliza ulikuwa na shida gani.
Akipokea huo uongeaji wake ilibidi tuvumilie tu kwakuwa ilikuwa ni maelekezo ya Ofisi yetu kwamba tuhakikishe tumeshirikiana na Mbunge wa jimbo husika.
Mwana FA kama upo humu jirekebishe tu maisha yanapita haya, that day ulionyesha dharau hadi kwa mzee tuliyekuwa nae kwenye timu kwa umri wake anakuzaa
Hii bila shaka itakuwa ID ya Steve NyerereHuyu bitoz amepewa uwaziri na Mama Samia naona watu wengi wameipokea hii habari kama ni habari njema kwenye michezo sanaa na burudani.
Kwa tunaomjaua mwana fa hapa hakuna kitu kipya atafanya kusaidia wasanii na wanamichezo.
Huyu bishoo ni mbinafsi, ana roho mbaya, anaringa ile kuringa sio kitoto, ana dharau, mtu wa fitna na majungu na mchonganishi.
Hakuna lolote jipya atafanya kwenye hiyo wizara zaidi ya kuongeza matabaka kwa wasanii, kuwaaribia wenzake asowapenda maana huyu jamaa ni ana ile roho ya Kiswahili 100%.
Hapa wasanii na wanamichezo wamepigwa mara mia Dr Abbas japo alikuwa anafanya mambo yake kwa ufahamu mdogo wa sanaa ila alikuwa anafikika anakaribisha kila mtu na hana mipaka wala kutengeneza makundi.
Mwana FA kuwa waziri ni habari mbaya kwenye sanaa yetu. I wish Niki wa Pili au Joketi wangekuwa wabunge wapewe hii wizara awa ni wazungu wa roho alafu wanapenda kuona wenzao wakipiga hatua hawana choyo kama huyu mtoto wa kitanga.