Mwana FA atakuwa Naibu Waziri mbovu kuwahi kutokea Tanzania. Hatatoa msaada kwa wasanii zaidi ya kuwagawa

Mwana FA atakuwa Naibu Waziri mbovu kuwahi kutokea Tanzania. Hatatoa msaada kwa wasanii zaidi ya kuwagawa

Huyu bitoz amepewa uwaziri na Mama Samia naona watu wengi wameipokea hii habari kama ni habari njema kwenye michezo sanaa na burudani.
Kwa tunaomjaua mwana fa hapa hakuna kitu kipya atafanya kusaidia wasanii na wanamichezo.
Huyu bishoo ni mbinafsi, ana roho mbaya, anaringa ile kuringa sio kitoto, ana dharau, mtu wa fitna na majungu na mchonganishi.

Hakuna lolote jipya atafanya kwenye hiyo wizara zaidi ya kuongeza matabaka kwa wasanii, kuwaaribia wenzake asowapenda maana huyu jamaa ni ana ile roho ya Kiswahili 100%.

Hapa wasanii na wanamichezo wamepigwa mara mia Dr Abbas japo alikuwa anafanya mambo yake kwa ufahamu mdogo wa sanaa ila alikuwa anafikika anakaribisha kila mtu na hana mipaka wala kutengeneza makundi.

Mwana FA kuwa waziri ni habari mbaya kwenye sanaa yetu. I wish Niki wa Pili au Joketi wangekuwa wabunge wapewe hii wizara awa ni wazungu wa roho alafu wanapenda kuona wenzao wakipiga hatua hawana choyo kama huyu mtoto wa kitanga.
Bora angemteua hata sugu
 
Huyu bitoz amepewa uwaziri na Mama Samia naona watu wengi wameipokea hii habari kama ni habari njema kwenye michezo sanaa na burudani.
Kwa tunaomjaua mwana fa hapa hakuna kitu kipya atafanya kusaidia wasanii na wanamichezo.
Huyu bishoo ni mbinafsi, ana roho mbaya, anaringa ile kuringa sio kitoto, ana dharau, mtu wa fitna na majungu na mchonganishi.

Hakuna lolote jipya atafanya kwenye hiyo wizara zaidi ya kuongeza matabaka kwa wasanii, kuwaaribia wenzake asowapenda maana huyu jamaa ni ana ile roho ya Kiswahili 100%.

Hapa wasanii na wanamichezo wamepigwa mara mia Dr Abbas japo alikuwa anafanya mambo yake kwa ufahamu mdogo wa sanaa ila alikuwa anafikika anakaribisha kila mtu na hana mipaka wala kutengeneza makundi.

Mwana FA kuwa waziri ni habari mbaya kwenye sanaa yetu. I wish Niki wa Pili au Joketi wangekuwa wabunge wapewe hii wizara awa ni wazungu wa roho alafu wanapenda kuona wenzao wakipiga hatua hawana choyo kama huyu mtoto wa kitanga.
Mwana FA hata mi nilijua tuu hapa chenga , mwamba ni mtu wa kukunja Sana
 
Huyu bitoz amepewa uwaziri na Mama Samia naona watu wengi wameipokea hii habari kama ni habari njema kwenye michezo sanaa na burudani.
Kwa tunaomjaua mwana fa hapa hakuna kitu kipya atafanya kusaidia wasanii na wanamichezo.
Huyu bishoo ni mbinafsi, ana roho mbaya, anaringa ile kuringa sio kitoto, ana dharau, mtu wa fitna na majungu na mchonganishi.

Hakuna lolote jipya atafanya kwenye hiyo wizara zaidi ya kuongeza matabaka kwa wasanii, kuwaaribia wenzake asowapenda maana huyu jamaa ni ana ile roho ya Kiswahili 100%.

Hapa wasanii na wanamichezo wamepigwa mara mia Dr Abbas japo alikuwa anafanya mambo yake kwa ufahamu mdogo wa sanaa ila alikuwa anafikika anakaribisha kila mtu na hana mipaka wala kutengeneza makundi.

Mwana FA kuwa waziri ni habari mbaya kwenye sanaa yetu. I wish Niki wa Pili au Joketi wangekuwa wabunge wapewe hii wizara awa ni wazungu wa roho alafu wanapenda kuona wenzao wakipiga hatua hawana choyo kama huyu mtoto wa kitanga.

Mwana FA ni mjivuni flani.

Kuna siku nimeshiriki kazi moja iliyotakiwa mimi na wenzangu kumshirikisha yeye kama Mbunge aisee jamaa ananata kweli kweli.

Picha linaanza unaweza kumpigia simu hata mara kumi asipokee na asipige kuuliza ulikuwa na shida gani.

Akipokea huo uongeaji wake ilibidi tuvumilie tu kwakuwa ilikuwa ni maelekezo ya Ofisi yetu kwamba tuhakikishe tumeshirikiana na Mbunge wa jimbo husika.


Mwana FA kama upo humu jirekebishe tu maisha yanapita haya, that day ulionyesha dharau hadi kwa mzee tuliyekuwa nae kwenye timu kwa umri wake anakuzaa
 
Mwana FA ni mjivuni flani.

Kuna siku nimeshiriki kazi moja iliyotakiwa mimi na wenzangu kumshirikisha yeye kama Mbunge aisee jamaa ananata kweli kweli.

Picha linaanza unaweza kumpigia simu hata mara kumi asipokee na asipige kuuliza ulikuwa na shida gani.

Akipokea huo uongeaji wake ilibidi tuvumilie tu kwakuwa ilikuwa ni maelekezo ya Ofisi yetu kwamba tuhakikishe tumeshirikiana na Mbunge wa jimbo husika.


Mwana FA kama upo humu jirekebishe tu maisha yanapita haya, that day ulionyesha dharau hadi kwa mzee tuliyekuwa nae kwenye timu kwa umri wake anakuzaa
Kweliii...mbona anaoenaka humble jamani
Haya maisha haya Sasa kapata unaibu uwaziri Kazi mnaaayo mbona

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Angepewa Sitivu Nyerere tu.

FB_IMG_1677527222930.jpg
 
Sinza pazuri simjui sana FA ila kwa jinsi walivyo mtreat Crazy GK na ndio aliowaingiza mjini Upangana isaue yakena lady jaydee. Jamaa ana tabia za watu wa pwani u snitch, uchawana umbea pia.

Jinsi alivyojipenyeza kuwa right hand man wa Riziwan wengi waliomuona alivyoingia mjini walinawa mikono. But baada ya kukua na kupata pesa inaweza ikasaidia kkupunguza baadhi ya tabia.

Hata alivyojichomeka kwa salaah wa Home shopping many wondered how he does that. Kama vile baba levo alivyojichomeka kwa simba atleast baba levo simba mwenyewe alikuwa anamvuta mwana sogea karibu.

Zile tabia alizokuwa anaziponda jide ni kweli jamaa anazo na inshort ni tabia ya wanaume wa pwani. Inshort hapo kabla ya kutika alikuwa bonge moja la chawa hadi kwa akina Shkuba kingpin. Yeye mtu asiwe na pesa tuu atakuwa anamsalandia awe mshkaji.

Najua siasa na bunge linafundisha jinsi ya kuishi atakuwa ameacha hizi tabia ila maringo hajaacha na hivi ana pesa na wadhifa basi mtakoma vijana wa sanaa.
 
Huyu bitoz amepewa uwaziri na Mama Samia naona watu wengi wameipokea hii habari kama ni habari njema kwenye michezo sanaa na burudani.
Kwa tunaomjaua mwana fa hapa hakuna kitu kipya atafanya kusaidia wasanii na wanamichezo.
Huyu bishoo ni mbinafsi, ana roho mbaya, anaringa ile kuringa sio kitoto, ana dharau, mtu wa fitna na majungu na mchonganishi.

Hakuna lolote jipya atafanya kwenye hiyo wizara zaidi ya kuongeza matabaka kwa wasanii, kuwaaribia wenzake asowapenda maana huyu jamaa ni ana ile roho ya Kiswahili 100%.

Hapa wasanii na wanamichezo wamepigwa mara mia Dr Abbas japo alikuwa anafanya mambo yake kwa ufahamu mdogo wa sanaa ila alikuwa anafikika anakaribisha kila mtu na hana mipaka wala kutengeneza makundi.

Mwana FA kuwa waziri ni habari mbaya kwenye sanaa yetu. I wish Niki wa Pili au Joketi wangekuwa wabunge wapewe hii wizara awa ni wazungu wa roho alafu wanapenda kuona wenzao wakipiga hatua hawana choyo kama huyu mtoto wa kitanga.
Hii bila shaka itakuwa ID ya Steve Nyerere
 
Back
Top Bottom