Mwana FA: Kuendesha timu Kabla ya kukamilisha taratibu za kisheria za uwekezaji chanzo cha Mgogoro Simba

Mwana FA: Kuendesha timu Kabla ya kukamilisha taratibu za kisheria za uwekezaji chanzo cha Mgogoro Simba

Akiongea Jana kwenye hafla ya uzinduzi wa kitabu cha historia ya klabu ya Yanga, Mwana FA ambaye ni Naibu Waziri wa michezo, alisema kitendo cha viongozi na wanachama wa Simba kukubali kuendesha timu Kwa miaka 6 bila kukamilisha mchakato wa mabadiliko ya katiba na sheria za uendeshaji wa timu hiyo kuwa kampuni ndiyo chanzo kikubwa cha Mgogoro unaoendelea Sasa.

Aliongeza kusema Kwa Sasa serikali imewaachia wanachama na viongozi waumalize wenyewe lakini itakapoona unaanza kuathiri ukuaji wa soka nchini serikali itaingilia Kati.

Binafsi naungana na Naibu Waziri kwenye hoja yake. Naamini sababu ya Mgogoro huu kuwa mkubwa na kutokuwepo Kwa taratibu zilizo Wazi za uendeshaji wa timu.

Mpaka Sasa Hakuna sheria inayoeleweka iliyoweka mamlaka ya Mwekezaji na mamlaka ya wanachama hasa baada ya mchakato wa awali wa katiba ya Simba sports club company kusitishwa na Baraza la michezo likiwataka Simba aabadilishe kipengele cha 49% ya hisa za upande wa Mwekezaji kumilikiwa na watu 3 badala ya kuhodhiwa na Mtu mmoja kama ilivyo Sasa.

Kwa maana nyingine Mwana FA anasema Simba inaendeshwa kinyemela bila katiba. Na Kwa vile Miaka minne nyuma Mambo yalikuwa yanakwenda vizuri, timu iliachwa iende bila kujua huko mbele lazima watakwama.

Hapa nailauamu serikali na mamlaka zinazosimamia michezo Kwa kitendo cha kuona timu inaendeshwa kinyume cha taratibu lakini Kwa vile inashinda Hakuna anayeshauri au kuchukua hatua. Kipindi kizuri cha kufanya mabadiliko salama ilikuwa ni kipindi timu inapata mafanikio. Kusubiri Mambo yaharibike tuseme "tulijua hawatafika mbali" siyo sahihi.

Kama wizara inajua kuna timu nyingine ina mazingira kama haya na haichukui hatua eti Kwa vile inafanya vizuri basi viongozi wa wizara na wote wanaosimamia michezo wajitafakari maana wanafunika Moto chini ya miguu yao.

Tunaona timu inaendeshwa bila kujua katiba inayotumika ni ya kampuni ambayo ilikataliwa na Baraza na ndiyo aliyotumia Abdalla Mhene "kumteua" Mo kuwa Mwenyekiti baada ya yeye kujiuzulu au ni ya zamani ya mpito kuelekea kampuni ambayo ndo Mangungu aliitumia kusema àlipojiuzulu Try Again Bodi itakaa ichague Mwenyekiti mpya?

Ushauri wangu Kwa wanasimba ni kutokubali kutafuta suluhisho la funika Kombe mwanaharamu apite ili timu itulie Kwa Muda. Wahakikishe Kila kitu kinawekwa Sawa Sasa hata kama watachelewa kupata mafanikio lakini watengeneze timu iliyojengwa kwenye misingi imara ambapo Kila upande ndani ya Simba utakuwa na HAKI na WAJIBU bila kuingilia upande mwingine.
OMOYOGWANE haya njoo hapa unakumbuka nilichokua nakuambia jana kwenye uzi wako?
 
Swala la kuendesha timu bila kukamilika kwa mchakato wa mabadiliko halipo kwa Simba pekee, hata Yanga yenyewe inaendeshwa bila kukamilika kwa mchakato wa mabadiliko. Katiba iliyopitishwa Yanga sio inayotumika kwasasa. Kwa Yanga labda imekuwa na lugha tofauti kwamba wao bado hawajampa timu mwekezaji ila Simba wamempa mwekezaji tayari ambaye anaendesha timu kinyume na maagizo ya serikali.
So far yanga wapo katika njia sahihi.
 
Nanukuu "mchakato wa awali wa katiba ya Simba sports club company kusitishwa na Baraza la michezo likiwataka Simba aabadilishe kipengele cha 49% ya hisa za upande wa Mwekezaji kumilikiwa na watu 3 badala ya kuhodhiwa na Mtu mmoja kama ilivyo Sasa."

Mwisho wa kunukuu
Iyo haikua sharti la serikali bali ni taratibu za uwekezaji ndizo zinataka ivyo yaani hata ingekua yanga, azam, singada n.k nao pia wangetakiwa kufanya ivyo
 
Mo anataka kufanya uhuni.

Huyu mtu aliwahi kuwa Simba akatoka akaenda kuanzisha katimu kake ka African Lyon.

Akaachana nako.

Akarudi Simba kutufanyia utapeli wake.

Hata kama ana hela ila hiyo sio tiketi ya kufanya uhuni wake.
 
Mwana FA anamjua anayekwamisha huo mchakato kukamilika?

Kuna wale viumbe wanaitwa UCC kama sijakosea hao ndio chanzo cha yote, wamekuwa wakiweka vikwazo kila mara Mo anapotaka kukamilisha mchakato.

Kwa hili Mo asilaumiwe.
Hakuna kikwazo wanasimamia taratibu zifuatwe. Prospectus ya mabadiliko imeletwa badala ya kuipitia wakatoa mrejesho kwamba upande wa zile hisa 49% za mwekezaji wanatakiwa kuwa shareholders angalao watatu(kumbuka ilo sio sharti lao binafsi bali ni utaratibu ndio upo ivyo yaani hata ingekua azam, yanga, ihefu n.k walitakiwa kufanya ivyo) kutokea hapo simba hawakurudi tena kusubmit katiba ilifanyiwa marekebisho sehemu ambayo wameelekezwa sasa nani anaekwamisha mchakato hapo
 
Kuna mambo yanashangaza sana! Serikali kupitia vyombo vyake kama FCC na BMT tayari wameshaweka muongozo kwamba uwekezaji unaotakiwa ni wanachama wamiliki hisa 51% na mwekezaji awe na hisa 49% tena mwekezaji asiwe mmoja lakini kinatokea kikundi cha watu wachache kwa sababu ya maslahi yao binafsi wanapindisha pindisha halafu tena serikali hiyo hiyo inasema eti inawaachia wenyewe kwanza wamalizane wakishindwa ndipo serikali iingilie kati sasa sijui inasubiri timu ivurugike kiasi cha kukosekana amani ndipo watajua wameshindwa! Wakati ndiyo huu serikali iingilie kati kuinusuru Simba kwa maslahi ya walio wengi.
Kweli tunataka timu ifanye vizuri sisi mashabiki ndiyo raha yetu lakini siyo kwa mtu mmoja kuipora timu kwa sababu ya fedha zake.
Nafikiri mwana fa yupo sahihi. Serikali kupitia vyombo vyake tayari ishasema maeneo ambayo katiba ya mabadiliko inatakiwa kufanyiwa marekebisho sasa hapo ni jukumu la wanachama na mwekezaji kufanya marekebisho then waipeleke tena katiba ili isajiriwe. Unachotaka kusema wewe sasa serikali iingilie maamuzi ya taasisi.
 
Hakuna kikwazo wanasimamia taratibu zifuatwe. Prospectus ya mabadiliko imeletwa badala ya kuipitia wakatoa mrejesho kwamba upande wa zile hisa 49% za mwekezaji wanatakiwa kuwa shareholders angalao watatu(kumbuka ilo sio sharti lao binafsi bali ni utaratibu ndio upo ivyo yaani hata ingekua azam, yanga, ihefu n.k walitakiwa kufanya ivyo) kutokea hapo simba hawakurudi tena kusubmit katiba ilifanyiwa marekebisho sehemu ambayo wameelekezwa sasa nani anaekwamisha mchakato hapo
Hilo la kuwepo shareholders watatu limeainishwa kwa sheria ipi?

Kwasababu nakumbuka hata lile la 49% ni kama serikali walilipachika ghafla ili kumuondolea Mo absolute power, jambo ambalo halikuwa baya wanachama wabaki na nguvu.

Kama sio sheria imeainisha hayo kufanyika basi ndio maana Mo amekuwa mzito kukubaliana na hilo jambo, kwasababu wanachofanya hao jamaa wa FCC ni kama wanamkomoa kwa kupachika vipengele visivyo na manufaa kwake.

Inakuwaje mtu awe tayari ameshawekeza sehemu ya pesa zake kwenye klabu halafu ghafla wamwambie wanatakiwa wawe watatu, hicho alichokwishatoa atarudishiwa na nani?!
 
Hapo ndio namshangaa Kadugida na wale wanaolaumu washabiki na kuwaita mbumbumbu, mashabiki zaidi ya kununua jezi na kuingia uwanjani Hana nguvu yoyote ya kisheria kuingilia mchakato.
Wanachama na viongozi wa Simba upande wa wanachama wanawajibika kwa hili.
Watu eanaoonekana wanampinga mo sio kwamba hawataki awekeze Bali ni taratibu zilizotumika kuingia mfumo wa uwekezaji.
Kama kungekuwa na wawekezaji wasiopungua watatu Leo hii hakuna mtu ambaye angemlaumu mo Bali Bodi ya Simba .
 
Hilo la kuwepo shareholders watatu limeainishwa kwa sheria ipi?
Kanuni zinataka ivyo mkuu
Kwasababu nakumbuka hata lile la 49% ni kama serikali walilipachika ghafla ili kumuondolea Mo absolute power, jambo ambalo halikuwa baya wanachama wabaki na nguvu.
Ni Mo mwenyewe ndie alikuja na ilo pendekezo la 51%/49%
Inakuwaje mtu awe tayari ameshawekeza sehemu ya pesa zake kwenye klabu halafu ghafla wamwambie wanatakiwa wawe watatu, hicho alichokwishatoa atarudishiwa na nani?!
Kigezo cha kuwepo shareholders watatu ni takwa la kisheria na Mo alitaarifa tangu mwanzo alivyo-submit katiba ya mabadiliko nakumbuka hata bakhresa alikua tayari kununua sehemu ya hisa kati izo 49%. Kama Mo alitoa pesa wakati mchakato wa mabadiliko haujakamilika hayo sasa ni makosa ya Mo mwenyewe, kwanini uwekeze pesa zako kwenye mali ambayo bado haujakamilisha taratibu za kuimiliki?
 
Hilo la kuwepo shareholders watatu limeainishwa kwa sheria ipi?

Kwasababu nakumbuka hata lile la 49% ni kama serikali walilipachika ghafla ili kumuondolea Mo absolute power, jambo ambalo halikuwa baya wanachama wabaki na nguvu.

Kama sio sheria imeainisha hayo kufanyika basi ndio maana Mo amekuwa mzito kukubaliana na hilo jambo, kwasababu wanachofanya hao jamaa wa FCC ni kama wanamkomoa kwa kupachika vipengele visivyo na manufaa kwake.

Inakuwaje mtu awe tayari ameshawekeza sehemu ya pesa zake kwenye klabu halafu ghafla wamwambie wanatakiwa wawe watatu, hicho alichokwishatoa atarudishiwa na nani?!
Hili limewekwa baada ya Simba kutaka mchakato wa uwekezaji, mwanzoni mo alitaka kununua asilimia 51 lakini baada ya malalamiko serikali wakati huo Mwakyembe akiwa waziri wa michezo ilitunga Sheria timu za wananchi Kama Simba na yanga ziuze hisa asilimia 49 na wawekezaji wasipungue 3
 
Akiongea Jana kwenye hafla ya uzinduzi wa kitabu cha historia ya klabu ya Yanga, Mwana FA ambaye ni Naibu Waziri wa michezo, alisema kitendo cha viongozi na wanachama wa Simba kukubali kuendesha timu Kwa miaka 6 bila kukamilisha mchakato wa mabadiliko ya katiba na sheria za uendeshaji wa timu hiyo kuwa kampuni ndiyo chanzo kikubwa cha Mgogoro unaoendelea Sasa.

Aliongeza kusema Kwa Sasa serikali imewaachia wanachama na viongozi waumalize wenyewe lakini itakapoona unaanza kuathiri ukuaji wa soka nchini serikali itaingilia Kati.

Binafsi naungana na Naibu Waziri kwenye hoja yake. Naamini sababu ya Mgogoro huu kuwa mkubwa na kutokuwepo Kwa taratibu zilizo Wazi za uendeshaji wa timu.

Mpaka Sasa Hakuna sheria inayoeleweka iliyoweka mamlaka ya Mwekezaji na mamlaka ya wanachama hasa baada ya mchakato wa awali wa katiba ya Simba sports club company kusitishwa na Baraza la michezo likiwataka Simba aabadilishe kipengele cha 49% ya hisa za upande wa Mwekezaji kumilikiwa na watu 3 badala ya kuhodhiwa na Mtu mmoja kama ilivyo Sasa.

Kwa maana nyingine Mwana FA anasema Simba inaendeshwa kinyemela bila katiba. Na Kwa vile Miaka minne nyuma Mambo yalikuwa yanakwenda vizuri, timu iliachwa iende bila kujua huko mbele lazima watakwama.

Hapa nailauamu serikali na mamlaka zinazosimamia michezo Kwa kitendo cha kuona timu inaendeshwa kinyume cha taratibu lakini Kwa vile inashinda Hakuna anayeshauri au kuchukua hatua. Kipindi kizuri cha kufanya mabadiliko salama ilikuwa ni kipindi timu inapata mafanikio. Kusubiri Mambo yaharibike tuseme "tulijua hawatafika mbali" siyo sahihi.

Kama wizara inajua kuna timu nyingine ina mazingira kama haya na haichukui hatua eti Kwa vile inafanya vizuri basi viongozi wa wizara na wote wanaosimamia michezo wajitafakari maana wanafunika Moto chini ya miguu yao.

Tunaona timu inaendeshwa bila kujua katiba inayotumika ni ya kampuni ambayo ilikataliwa na Baraza na ndiyo aliyotumia Abdalla Mhene "kumteua" Mo kuwa Mwenyekiti baada ya yeye kujiuzulu au ni ya zamani ya mpito kuelekea kampuni ambayo ndo Mangungu aliitumia kusema àlipojiuzulu Try Again Bodi itakaa ichague Mwenyekiti mpya?

Ushauri wangu Kwa wanasimba ni kutokubali kutafuta suluhisho la funika Kombe mwanaharamu apite ili timu itulie Kwa Muda. Wahakikishe Kila kitu kinawekwa Sawa Sasa hata kama watachelewa kupata mafanikio lakini watengeneze timu iliyojengwa kwenye misingi imara ambapo Kila upande ndani ya Simba utakuwa na HAKI na WAJIBU bila kuingilia upande mwingine.
Ninavyowajua Simba itatafutwa mechi moja ya kirafiki na either Jamhuri ya Pemba au Manyema ya Congo DRC Simba watashinda migogoro yote itazimika au Azizi Ki anaweza akatumwa akamtembelee MO au Mangungu ofisini apige picha itumee mitandaoni, hapo kelele zote zitayeyuka.
Simba wala hawana makuu
 
Kanuni zinataka ivyo mkuu

Ni Mo mwenyewe ndie alikuja na ilo pendekezo la 51%/49%

Kigezo cha kuwepo shareholders watatu ni takwa la kisheria na Mo alitaarifa tangu mwanzo alivyo-submit katiba ya mabadiliko nakumbuka hata bakhresa alikua tayari kununua sehemu ya hisa kati izo 49%. Kama Mo alitoa pesa wakati mchakato wa mabadiliko haujakamilika hayo sasa ni makosa ya Mo mwenyewe, kwanini uwekeze pesa zako kwenye mali ambayo bado haujakamilisha taratibu za kuimiliki?
Mo alitoa rushwa kwa kifupi aliuteka m hakato kwa kuanza kutoa pesa kabla hii ilinyima fursa wawekezaji wrngine
 
Kanuni zinataka ivyo mkuu

Ni Mo mwenyewe ndie alikuja na ilo pendekezo la 51%/49%

Kigezo cha kuwepo shareholders watatu ni takwa la kisheria na Mo alitaarifa tangu mwanzo alivyo-submit katiba ya mabadiliko nakumbuka hata bakhresa alikua tayari kununua sehemu ya hisa kati izo 49%. Kama Mo alitoa pesa wakati mchakato wa mabadiliko haujakamilika hayo sasa ni makosa ya Mo mwenyewe, kwanini uwekeze pesa zako kwenye mali ambayo bado haujakamilisha taratibu za kuimiliki?
MO hawawezi akakubali kugawana share na mtu mwingine. Yeye anataka share zitakazomuwezeshavkusema “Simba ni club yangu, nimeinunua”
 
Mo alitoa rushwa kwa kifupi aliuteka m hakato kwa kuanza kutoa pesa kabla hii ilinyima fursa wawekezaji wrngine
Watu wengi hawana uelewa wa masuala ya finance katika hili sakata wanafikiri sheria na kanuni za uwekezaji zimepachikwa kumkomoa Mo kumbe izo ni kanuni ambazo zinatumika kwa kila mtu.
 
Akiongea Jana kwenye hafla ya uzinduzi wa kitabu cha historia ya klabu ya Yanga, Mwana FA ambaye ni Naibu Waziri wa michezo, alisema kitendo cha viongozi na wanachama wa Simba kukubali kuendesha timu Kwa miaka 6 bila kukamilisha mchakato wa mabadiliko ya katiba na sheria za uendeshaji wa timu hiyo kuwa kampuni ndiyo chanzo kikubwa cha Mgogoro unaoendelea Sasa.

Aliongeza kusema Kwa Sasa serikali imewaachia wanachama na viongozi waumalize wenyewe lakini itakapoona unaanza kuathiri ukuaji wa soka nchini serikali itaingilia Kati.

Binafsi naungana na Naibu Waziri kwenye hoja yake. Naamini sababu ya Mgogoro huu kuwa mkubwa na kutokuwepo Kwa taratibu zilizo Wazi za uendeshaji wa timu.

Mpaka Sasa Hakuna sheria inayoeleweka iliyoweka mamlaka ya Mwekezaji na mamlaka ya wanachama hasa baada ya mchakato wa awali wa katiba ya Simba sports club company kusitishwa na Baraza la michezo likiwataka Simba aabadilishe kipengele cha 49% ya hisa za upande wa Mwekezaji kumilikiwa na watu 3 badala ya kuhodhiwa na Mtu mmoja kama ilivyo Sasa.

Kwa maana nyingine Mwana FA anasema Simba inaendeshwa kinyemela bila katiba. Na Kwa vile Miaka minne nyuma Mambo yalikuwa yanakwenda vizuri, timu iliachwa iende bila kujua huko mbele lazima watakwama.

Hapa nailauamu serikali na mamlaka zinazosimamia michezo Kwa kitendo cha kuona timu inaendeshwa kinyume cha taratibu lakini Kwa vile inashinda Hakuna anayeshauri au kuchukua hatua. Kipindi kizuri cha kufanya mabadiliko salama ilikuwa ni kipindi timu inapata mafanikio. Kusubiri Mambo yaharibike tuseme "tulijua hawatafika mbali" siyo sahihi.

Kama wizara inajua kuna timu nyingine ina mazingira kama haya na haichukui hatua eti Kwa vile inafanya vizuri basi viongozi wa wizara na wote wanaosimamia michezo wajitafakari maana wanafunika Moto chini ya miguu yao.

Tunaona timu inaendeshwa bila kujua katiba inayotumika ni ya kampuni ambayo ilikataliwa na Baraza na ndiyo aliyotumia Abdalla Mhene "kumteua" Mo kuwa Mwenyekiti baada ya yeye kujiuzulu au ni ya zamani ya mpito kuelekea kampuni ambayo ndo Mangungu aliitumia kusema àlipojiuzulu Try Again Bodi itakaa ichague Mwenyekiti mpya?

Ushauri wangu Kwa wanasimba ni kutokubali kutafuta suluhisho la funika Kombe mwanaharamu apite ili timu itulie Kwa Muda. Wahakikishe Kila kitu kinawekwa Sawa Sasa hata kama watachelewa kupata mafanikio lakini watengeneze timu iliyojengwa kwenye misingi imara ambapo Kila upande ndani ya Simba utakuwa na HAKI na WAJIBU bila kuingilia upande mwingine.
Niliwaambia hapa kuna mgogoro Simba wakaja wapumbavu kunitukana na kunidhihaki. Au ni mpaka hivi Naibu Waziri aseme mwenyewe ndio ionekane kweli?
MUBENDE
 
kwanini serikali walikuwepo wakati MO anatoa hundi ya 20B ikiwa mchakato ulikuwa bado?
 
Hata katika izo 49% akichukua 30% akawaachia wawekezaji wwngine wagawane izo 19% bado atakua main shareholder.
MO hata ku share hizo 49 na wengine, kwa kifupi anataka iwe upande mmoja wanachama, halafu upande mwingine ni yeye.
 
Back
Top Bottom