Wanaitwa FCC, wameanzishwa na Fair Competition Act, No.8 ya mwaka 2003 (FCA). Wao hawaweki kikwazo kama umefata sheria maana kazi yao ni regulation. Mo hafati taratibu ndo maana waliwekwa kikwazo. Muwekezaji huwezi ukawa mmoja kwa sheria ya nchi yetu. Simba wafata utaratibu.Mwana FA anamjua anayekwamisha huo mchakato kukamilika?
Kuna wale viumbe wanaitwa UCC kama sijakosea hao ndio chanzo cha yote, wamekuwa wakiweka vikwazo kila mara Mo anapotaka kukamilisha mchakato.
Kwa hili Mo asilaumiwe.