DALALI MKUU
JF-Expert Member
- May 7, 2022
- 2,011
- 4,705
Mwana FA anaweza Kuingia kwenye Historia ya aina yake, kwanza kwa Kusoma Masters bila kuwa na Degree lakini pia Kuwa waziri asiye na Degree katika baraza la Mawaziri
Hivi ilikuaje akasoma masters bila kuwa na Degree, inawezekana?
hii ndiyo CV yake kwa mujibu wa tovuti Rasmi ya Bunge
Hivi ilikuaje akasoma masters bila kuwa na Degree, inawezekana?
hii ndiyo CV yake kwa mujibu wa tovuti Rasmi ya Bunge
Education History :
| School Name/Location | Course/Degree/Award | From | To | Level |
|---|---|---|---|---|
| Coventry University | Masters of Science in Finance | 2009 | 2010 | Masters Degree |
| Institute of Finance Management (IFM). | Diploma in Insurance | 2004 | 2007 | Diploma |
| Institute of Finance Management (IFM). | Certificate in Infromation Tehnoloy | 2003 | 2004 | Certificate |