tutunfyekyela
JF-Expert Member
- Aug 31, 2021
- 473
- 781
Ile ni Advanced Diploma in insurance siyo diploma jombaa admin wa bunge alichemka
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Asante kwa masahihisho MkuuHeading yako ni false. Haina maana kwa sababu manaibu mawaziri sio members wa baraza la mawaziri.
Please re-do, revisit your homework.
so yeye aliitoa wapi?Haiwezekani, alisimamia wapi?? Unasimama imara na degree yako ili upate masters. Hakuna elimu ya namna hiyo katika hii sayari.
Nashangaa wanashangaa ....hiyo ni advanced...Inawezekana kabisa na itakuwa diploma yake ni Advanced Diploma, si jambo la kushangaza wala.
Kwamba una maanisha nini MkuuIle ni Advanced Diploma in insurance siyo diploma jombaa admin wa bunge alichemka
Hahahah awe Dokta mwanaFa ASAP 🙅ni mwenzetu katika iman huyu mvaa kobaz mwenzetu 😅kwel anaupiga mwingi 😅😅😅🏃Yule mzungu aje amvishe Phd, it cost only $2500, hata hiyo ya coventry 👏👏👏
Anamaanisha yeye ni mjuvi kuliko parliament crackKwamba una maanisha nini Mkuu
Ni ufahamu tu ndio unawasumbua wadau Mkuu,Nashangaa wanashangaa ....hiyo ni advanced...
Sasa si ungesema tu unamchimba.ukishakuwa kiongozi wa Umma lazima wakuchimbe chini kwa Chini
Hana degree halafu ana masters, masters ni nini!?..hao waliompa masters hawajui utaratibu wa kutoa masters!?Mwana FA anaweza Kuingia kwenye Historia ya aina yake, kwanza kwa Kusoma Masters bila kuwa na Degree lakini pia Kuwa waziri asiye na Degree katika baraza la Mawaziri
Hivi ilikuaje akasoma masters bila kuwa na Degree, inawezekana?
hii ndiyo CV yake kwa mujibu wa tovuti Rasmi ya Bunge
Education History :
School Name/Location Course/Degree/Award From To Level Coventry University Masters of Science in Finance 2009 2010 Masters Degree Institute of Finance Management (IFM). Diploma in Insurance 2004 2007 Diploma Institute of Finance Management (IFM). Certificate in Infromation Tehnoloy 2003 2004 Certificate
Kuna makosa ya kiuandishi hapo yanapaswa kuhaririwa hiyo ilikuwa ni advance diploma!Mwana FA anaweza Kuingia kwenye Historia ya aina yake, kwanza kwa Kusoma Masters bila kuwa na Degree lakini pia Kuwa waziri asiye na Degree katika baraza la Mawaziri
Hivi ilikuaje akasoma masters bila kuwa na Degree, inawezekana?
hii ndiyo CV yake kwa mujibu wa tovuti Rasmi ya Bunge
Education History :
School Name/Location Course/Degree/Award From To Level Coventry University Masters of Science in Finance 2009 2010 Masters Degree Institute of Finance Management (IFM). Diploma in Insurance 2004 2007 Diploma Institute of Finance Management (IFM). Certificate in Infromation Tehnoloy 2003 2004 Certificate
Sasa mbona unaweka sana "mu"! Wewe na Fa nani tumtilie shaka?Hapana mm n msukuma wa Tanga
Ila babu ali-supp Edinburg,nasikia alipenda Sana kucheza tennisHata hiyo historia ya aina yake si ya aina yake hivyo.
Nyerere alitoka Makerere na Diploma, akaenda Edinburgh akatoka na Masters, hivyo hivyo.
Kwa hivyo ni vitu vilivyofanyika miaka mingi tu, hata kabla ya uhuru.
Namanisha kasoma advanced diploma siyo diploma ndiyo maana unaona kasoma miaka 3(2004-2007) ni typing error za pale bungeniKwamba una maanisha nini Mkuu
Wabongo wanathamini makaratasiMasters nayo ni degree. Nafikiri umemaanisha Masters bila degree ya undergraduate.
Nyerere kasoma Masters "bila degree". Kawa Waziri Mkuu ana Masters "bila degree".
Soma historia.
Zaidi, tuambizane zaidi kuhusu ufanisi wa mtu kuliko makaratasi yake.
Ukisikiliza mashairi tu unajua kwamba huyu kichwani Kuna kitu siyo buyu tuLabda kwa wasio mfahamu ..kifupi FA ni kichwa smart sana tu...labda watafte jingine
Kumbe hana tofauti na bwana mnyika aliyekimbia mwaka wa piliNi ufahamu![]()