mrangi
JF-Expert Member
- Feb 19, 2014
- 88,759
- 123,368
Wajng kbs hamna kitu haoWabana pua na waburuza koo wa singeli vichwani ziro
Ova
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wajng kbs hamna kitu haoWabana pua na waburuza koo wa singeli vichwani ziro
Tunalimbuka bado.Wabongo wanathamini makaratasi
Ova
Watu mameanza nongwa Kwa FA sisi ndio wa bongo....Mwana FA anaweza Kuingia kwenye Historia ya aina yake, kwanza kwa Kusoma Masters bila kuwa na Degree lakini pia Kuwa waziri asiye na Degree katika baraza la Mawaziri
Hivi ilikuaje akasoma masters bila kuwa na Degree, inawezekana?
hii ndiyo CV yake kwa mujibu wa tovuti Rasmi ya Bunge
Education History :
School Name/Location Course/Degree/Award From To Level Coventry University Masters of Science in Finance 2009 2010 Masters Degree Institute of Finance Management (IFM). Diploma in Insurance 2004 2007 Diploma Institute of Finance Management (IFM). Certificate in Infromation Tehnoloy 2003 2004 Certificate
Mbongo akikupa business cardTunalimbuka bado.
Fanya wewe sasa uone kama elimu yako itatambuliwa.Hata hiyo historia ya aina yake si ya aina yake hivyo.
Nyerere alitoka Makerere na Diploma, akaenda Edinburgh akatoka na Masters, hivyo hivyo.
Kwa hivyo ni vitu vilivyofanyika miaka mingi tu, hata kabla ya uhuru.
Tena diploma ya Nyerere pale makerere ili major somo la kiswahili na biology ila masters kasoma History ni maajabu tu. Just keep off.Masters nayo ni degree. Nafikiri umemaanisha Masters bila degree ya undergraduate.
Nyerere kasoma Masters "bila degree". Kawa Waziri Mkuu ana Masters "bila degree".
Soma historia.
Zaidi, tuambizane zaidi kuhusu ufanisi wa mtu kuliko makaratasi yake.
Huwa sipendi kumuongelea huyu jamaa kwa sababu muangaikaji na kapitia mengi ila kuwa kitengo labda hiyo ajira kaipata hivi karibuni.Bt FAA Si mtoto wa maskini pekee, ni kitengo.
Shigongo kasoma vyuo gani?Kawaida tu,Tz tuliwahi kuwa na utaratibu enzi za JK wa kutoka kujua "kusoma na kuandika" hadi shahada.
Eric Shigongo hana CSEE wala ACSEE ila ana Undergraduate degree tena first class.
Mwana FA anaweza Kuingia kwenye Historia ya aina yake, kwanza kwa Kusoma Masters bila kuwa na Degree lakini pia Kuwa waziri asiye na Degree katika baraza la Mawaziri
Hivi ilikuaje akasoma masters bila kuwa na Degree, inawezekana?
hii ndiyo CV yake kwa mujibu wa tovuti Rasmi ya Bunge
Education History :
School Name/Location Course/Degree/Award From To Level Coventry University Masters of Science in Finance 2009 2010 Masters Degree Institute of Finance Management (IFM). Diploma in Insurance 2004 2007 Diploma Institute of Finance Management (IFM). Certificate in Infromation Tehnoloy 2003 2004 Certificate
Ndiyo ujuwe maisha hayana formula
Kingine inategemea una mingo na watu aina gani
Ova
Tumwache mtoto wa maskini afanye KAZI,Huwa sipendi kumuongelea huyu jamaa kwa sababu muangaikaji na kapitia mengi ila kuwa kitengo labda hiyo ajira kaipata hivi karibuni.
Halafu ana more powerful enemies ndani ya serikali sidhani ata kama analielewa hilo yeye mwenyewe.
I agree njia pekee ya kuwanyamazisha haters ni kufanya kazi na kuleta matokeo.Tumwachie mtoto wa maskini afanye KAZI,
Vijana wa aina hii ni WAZALENDO, haezi nunuliwa.
Bt pia hii ni Mtego kwake maana yakiharibika akiwemo ni Aibu Kwa vijana wanaomwamini nyuma yake.
Kuwa mbunge, ndo kigezo cha kuwa waziri. Na kigezo vya kuwa mbunge ni kujua kusoma na kuandika tu.!! Ifu yu noo yu nooMwana FA anaweza Kuingia kwenye Historia ya aina yake, kwanza kwa Kusoma Masters bila kuwa na Degree lakini pia Kuwa waziri asiye na Degree katika baraza la Mawaziri
Hivi ilikuaje akasoma masters bila kuwa na Degree, inawezekana?
hii ndiyo CV yake kwa mujibu wa tovuti Rasmi ya Bunge
Education History :
School Name/Location Course/Degree/Award From To Level Coventry University Masters of Science in Finance 2009 2010 Masters Degree Institute of Finance Management (IFM). Diploma in Insurance 2004 2007 Diploma Institute of Finance Management (IFM). Certificate in Infromation Tehnoloy 2003 2004 Certificate
Hahaaa, sasa utajuaje yeye msomi?Mbongo akikupa business card
Alafu ukute huyo mwenyewe Ana dr,degree ,masters Prof [emoji1]
Lazima achapishe elimu zake kwenye businescard
Ova
Zamani machawa walikuwa wanafahamika kama wapambeUchawa muhimu na unalipa lol kama ulivyomlipa bashite,fa nk [emoji28]
Huyu anakachumbari ya course sio mchezo..Mwana FA anaweza Kuingia kwenye Historia ya aina yake, kwanza kwa Kusoma Masters bila kuwa na Degree lakini pia Kuwa waziri asiye na Degree katika baraza la Mawaziri
Hivi ilikuaje akasoma masters bila kuwa na Degree, inawezekana?
hii ndiyo CV yake kwa mujibu wa tovuti Rasmi ya Bunge
Education History :
School Name/Location Course/Degree/Award From To Level Coventry University Masters of Science in Finance 2009 2010 Masters Degree Institute of Finance Management (IFM). Diploma in Insurance 2004 2007 Diploma Institute of Finance Management (IFM). Certificate in Infromation Tehnoloy 2003 2004 Certificate
Huoni tu mbongo anataka aitwe mh,Dr,Prof ndiyo jina lake linakuja mwishoHahaaa, sasa utajuaje yeye msomi?
Mkuu mimi nilishapiga kura kwa miguu kutoka kwenye ulimbukeni tangu utawala wa Mkapa.Fanya wewe sasa uone kama elimu yako itatambuliwa.
Kabisa lol mie uchawa nimeushindwa nipatacho nasema hewala ndo majaaliwa yangu 🙏Zamani machawa walikuwa wanafahamika kama wapambe
Ila maisha ndiyo yalivyo mkuu
Ova