Mwana FA: Waziri Pekee kwenye Baraza la mawaziri asiye na Degree

Mwana FA: Waziri Pekee kwenye Baraza la mawaziri asiye na Degree

Mwana FA anaweza Kuingia kwenye Historia ya aina yake, kwanza kwa Kusoma Masters bila kuwa na Degree lakini pia Kuwa waziri asiye na Degree katika baraza la Mawaziri

Hivi ilikuaje akasoma masters bila kuwa na Degree, inawezekana?

hii ndiyo CV yake kwa mujibu wa tovuti Rasmi ya Bunge

Education History :​


School Name/LocationCourse/Degree/AwardFromToLevel
Coventry UniversityMasters of Science in Finance20092010Masters Degree
Institute of Finance Management (IFM).Diploma in Insurance20042007Diploma
Institute of Finance Management (IFM).Certificate in Infromation Tehnoloy20032004Certificate
Watu mameanza nongwa Kwa FA sisi ndio wa bongo....

JPM aliwai kumwambia Paul makonda wew chapa kazi kinacho takiwa ni kujua kusoma na kuandika.....🤓🤓🤓🤓
 
Kawaida tu,Tz tuliwahi kuwa na utaratibu enzi za JK wa kutoka kujua "kusoma na kuandika" hadi shahada.

Eric Shigongo hana CSEE wala ACSEE ila ana Undergraduate degree tena first class.
 
Hata hiyo historia ya aina yake si ya aina yake hivyo.

Nyerere alitoka Makerere na Diploma, akaenda Edinburgh akatoka na Masters, hivyo hivyo.

Kwa hivyo ni vitu vilivyofanyika miaka mingi tu, hata kabla ya uhuru.
Fanya wewe sasa uone kama elimu yako itatambuliwa.
 
Masters nayo ni degree. Nafikiri umemaanisha Masters bila degree ya undergraduate.

Nyerere kasoma Masters "bila degree". Kawa Waziri Mkuu ana Masters "bila degree".

Soma historia.

Zaidi, tuambizane zaidi kuhusu ufanisi wa mtu kuliko makaratasi yake.
Tena diploma ya Nyerere pale makerere ili major somo la kiswahili na biology ila masters kasoma History ni maajabu tu. Just keep off.
 
Bt FAA Si mtoto wa maskini pekee, ni kitengo.
Huwa sipendi kumuongelea huyu jamaa kwa sababu muangaikaji na kapitia mengi ila kuwa kitengo labda hiyo ajira kaipata hivi karibuni.

Halafu ana more powerful enemies ndani ya serikali sidhani ata kama analielewa hilo yeye mwenyewe. Kwa ivyo astahili attack za vijana wenzake.
 
Kawaida tu,Tz tuliwahi kuwa na utaratibu enzi za JK wa kutoka kujua "kusoma na kuandika" hadi shahada.

Eric Shigongo hana CSEE wala ACSEE ila ana Undergraduate degree tena first class.
Shigongo kasoma vyuo gani?
 
Mwana FA anaweza Kuingia kwenye Historia ya aina yake, kwanza kwa Kusoma Masters bila kuwa na Degree lakini pia Kuwa waziri asiye na Degree katika baraza la Mawaziri

Hivi ilikuaje akasoma masters bila kuwa na Degree, inawezekana?

hii ndiyo CV yake kwa mujibu wa tovuti Rasmi ya Bunge

Education History :​


School Name/LocationCourse/Degree/AwardFromToLevel
Coventry UniversityMasters of Science in Finance20092010Masters Degree
Institute of Finance Management (IFM).Diploma in Insurance20042007Diploma
Institute of Finance Management (IFM).Certificate in Infromation Tehnoloy20032004Certificate
 
Huwa sipendi kumuongelea huyu jamaa kwa sababu muangaikaji na kapitia mengi ila kuwa kitengo labda hiyo ajira kaipata hivi karibuni.

Halafu ana more powerful enemies ndani ya serikali sidhani ata kama analielewa hilo yeye mwenyewe.
Tumwache mtoto wa maskini afanye KAZI,

Vijana wa aina hii ni WAZALENDO, haezi nunuliwa.

Bt pia hii ni Mtego kwake maana yakiharibika akiwemo ni Aibu Kwa vijana wanaomwamini nyuma yake.
 
Mwana FA anaweza Kuingia kwenye Historia ya aina yake, kwanza kwa Kusoma Masters bila kuwa na Degree lakini pia Kuwa waziri asiye na Degree katika baraza la Mawaziri

Hivi ilikuaje akasoma masters bila kuwa na Degree, inawezekana?

hii ndiyo CV yake kwa mujibu wa tovuti Rasmi ya Bunge

Education History :​


School Name/LocationCourse/Degree/AwardFromToLevel
Coventry UniversityMasters of Science in Finance20092010Masters Degree
Institute of Finance Management (IFM).Diploma in Insurance20042007Diploma
Institute of Finance Management (IFM).Certificate in Infromation Tehnoloy20032004Certificate
Kuwa mbunge, ndo kigezo cha kuwa waziri. Na kigezo vya kuwa mbunge ni kujua kusoma na kuandika tu.!! Ifu yu noo yu noo
 
Mbongo akikupa business card
Alafu ukute huyo mwenyewe Ana dr,degree ,masters Prof [emoji1]
Lazima achapishe elimu zake kwenye businescard

Ova
Hahaaa, sasa utajuaje yeye msomi?
 
Mwana FA anaweza Kuingia kwenye Historia ya aina yake, kwanza kwa Kusoma Masters bila kuwa na Degree lakini pia Kuwa waziri asiye na Degree katika baraza la Mawaziri

Hivi ilikuaje akasoma masters bila kuwa na Degree, inawezekana?

hii ndiyo CV yake kwa mujibu wa tovuti Rasmi ya Bunge

Education History :​


School Name/LocationCourse/Degree/AwardFromToLevel
Coventry UniversityMasters of Science in Finance20092010Masters Degree
Institute of Finance Management (IFM).Diploma in Insurance20042007Diploma
Institute of Finance Management (IFM).Certificate in Infromation Tehnoloy20032004Certificate
Huyu anakachumbari ya course sio mchezo..

Ila ni sawa maana elimu ni haki ya kila mtu na serikali inapaswa kurahisisha njia za kupata elimu ili wananchi wengi zaidi wasome.
Elimu ni haki ya kila mwananchi
 
Back
Top Bottom