Mwana FA: Waziri Pekee kwenye Baraza la mawaziri asiye na Degree

Mwana FA: Waziri Pekee kwenye Baraza la mawaziri asiye na Degree

Ila wajuwe sanaa siyo bongo fleva na bongo movie
Maana hao wawili wanajiona kama wao ndiyo wenye haki ya kusikilizwa
Nchi hii kuna vikundi vya ngoma asili kama tatu nane ,wanne stars nk wamefanya mmbo makubwa kufanya matamsha nje na kutangaza nchi
Ila mwisho wa siku wizara imemfaa FA apige kazi

Ova
Uzuri wa jamaa ana exposure, sio limbukeni na kwa kiasi fulani ana general knowledge kubwa ukimsikiliza.

Nina imani ataitendea haki nafasi aliyoaminiwa nayo.
 
Sasa huyu anayesema elimu huko kwenye baraza la mawaziri, anasema ya nini wakati hakuna tofauti yoyote?
Tunazungumzia kuchangia mawazo. Tafauti ni kwamba siku nyingine kama Waziri unatakiwa kuhudhuria mikutano ya kimataifa au hata kusoma tu hotuba uliyoandikiwa na wataalamu kwa niaba ya Taifa. Unatakiwa uelewa wa kiwango fulani hivi.
 
Tunazungumzia kuchangia mawazo. Tafauti ni kwamba siku nyingine kama Waziri unatakiwa kuhudhuria mikutano ya kimataifa au hata kusoma tu hotuba uliyoandikiwa na wataalamu kwa niaba ya Taifa. Unatakiwa uelewa wa kiwango fulani hivi.

Mmhhh, hata hao wenye hizo elimu si ndio hawa wanaoingia hii mikataba ya kihuni kwa kukosa uelewa?
 
Mmhhh, hata hao wenye hizo elimu si ndio hawa wanaoingia hii mikataba ya kihuni kwa kukosa uelewa?
Wamekosa uelewa au walikuwa wanafanya yao nyuma ya pazia?

Mfano yule mjamaa 'nyoka makengeza' aliyewahi kuwa mwanasheria mkuu na kuidhinisha mikataba mingi ya kimataifa, unadhani alikosa uelewa?
 
Wamekosa uelewa au walikuwa wanafanya yao nyuma ya pazia?

Mfano yule mjamaa 'nyoka makengeza' aliyewahi kuwa mwanasheria mkuu na kuidhinisha mikataba mingi ya kimataifa, unadhani alikosa uelewa?

Hilo hatuna uhakika maana hayo yakitokea huwa wanasema walidanganywa au kushauriwa vibaya na wasaidizi wao.
 
Hata hiyo historia ya aina yake si ya aina yake hivyo.

Nyerere alitoka Makerere na Diploma, akaenda Edinburgh akatoka na Masters, hivyo hivyo.

Kwa hivyo ni vitu vilivyofanyika miaka mingi tu, hata kabla ya uhuru.
Kwani nyerere amewahi kuwa waziri ?? Wa JMT .Kwa level ya uwaziri hii ni historia .
 
Mwana FA anaweza Kuingia kwenye Historia ya aina yake, kwanza kwa Kusoma Masters bila kuwa na Degree lakini pia Kuwa waziri asiye na Degree katika baraza la Mawaziri

Hivi ilikuaje akasoma masters bila kuwa na Degree, inawezekana?

hii ndiyo CV yake kwa mujibu wa tovuti Rasmi ya Bunge

Education History :​


School Name/LocationCourse/Degree/AwardFromToLevel
Coventry UniversityMasters of Science in Finance20092010Masters Degree
Institute of Finance Management (IFM).Diploma in Insurance20042007Diploma
Institute of Finance Management (IFM).Certificate in Infromation Tehnoloy20032004Certificate
Duh.. 😳😳🤣🤣🙄😳😳😳🤣🤣
 
Mwana FA anaweza Kuingia kwenye Historia ya aina yake, kwanza kwa Kusoma Masters bila kuwa na Degree lakini pia Kuwa waziri asiye na Degree katika baraza la Mawaziri

Hivi ilikuaje akasoma masters bila kuwa na Degree, inawezekana?

hii ndiyo CV yake kwa mujibu wa tovuti Rasmi ya Bunge

Education History :​


School Name/LocationCourse/Degree/AwardFromToLevel
Coventry UniversityMasters of Science in Finance20092010Masters Degree
Institute of Finance Management (IFM).Diploma in Insurance20042007Diploma
Institute of Finance Management (IFM).Certificate in Infromation Tehnoloy20032004Certificate
Jenista Mhagama waziri wa nchi ofisi ya Rais Utumishi...

Diploma ya ualimu vuuuu Masters

Jionee...
 

Attachments

  • Screenshot_20230228_184713_Samsung Internet.jpg
    Screenshot_20230228_184713_Samsung Internet.jpg
    121.8 KB · Views: 9
FA awe mfano wa kupigiwa mfano kwa vijana wengine sio lazima uwe na refa au a stellar background kukaa meza Moja na wakuu.
Una uhakika hana Refa? huyu si alibebebwa na magufuli tu wakamkata balozi wakampa yeye nafasi japo alikataliwa na wajumbe kwenye kura za maoni?
 
Hawezi akaingia kwenye historia kwani hata Sumayi F waziri mkuu hakuwa na degree ya Undergraduate zaidi ya diploma ya kilimo.
 
Mwana FA anaweza Kuingia kwenye Historia ya aina yake, kwanza kwa Kusoma Masters bila kuwa na Degree lakini pia Kuwa waziri asiye na Degree katika baraza la Mawaziri

Hivi ilikuaje akasoma masters bila kuwa na Degree, inawezekana?

hii ndiyo CV yake kwa mujibu wa tovuti Rasmi ya Bunge

Education History :​


School Name/LocationCourse/Degree/AwardFromToLevel
Coventry UniversityMasters of Science in Finance20092010Masters Degree
Institute of Finance Management (IFM).Diploma in Insurance20042007Diploma
Institute of Finance Management (IFM).Certificate in Infromation Tehnoloy20032004Certificate
Mliobaki degree zenu kafungieni maandazi
 
Na kwa kuongezea tu watu wenye degree na phd wana dharau kwa jamii wanajiona Miungu watu ...Hongera Raisi Samia
 
Una uhakika hana Refa? huyu si alibebebwa na magufuli tu wakamkata balozi wakampa yeye nafasi japo alikataliwa na wajumbe kwenye kura za maoni?

Before hapo nani alikua refa wake? Nani ni refa wake kuwa N. Waziri? Hii ni chance aliyochukua na imemlipa.

Luck Is What Happens When Preparation Meets Opportunity
 
Back
Top Bottom