mrangi
JF-Expert Member
- Feb 19, 2014
- 88,759
- 123,368
Na wizara aliyewekwa panamfaaI agree njia pekee ya kuwanyamazisha haters ni kufanya kazi na kuleta matokeo.
Kwa hapo halipo majunguu ayazoee tu.
A deal na wasanii wake
Ova
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Na wizara aliyewekwa panamfaaI agree njia pekee ya kuwanyamazisha haters ni kufanya kazi na kuleta matokeo.
Kwa hapo halipo majunguu ayazoee tu.
My name is Dr...Huoni tu mbongo anataka aitwe mh,Dr,Prof ndiyo jina lake linakuja mwisho
Ova
Wakati mwingine lazima usijisogeze kwa wakubwaKabisa lol mie uchawa nimeushindwa nipatacho nasema hewala ndo majaaliwa yangu [emoji120]
Labda hujui Bwana dalali. Mwana FA alisoma Advanced Diploma pale IFM ambayo ni equivalent to a degree. Nakumbuka tulikuwa tunabanana nae kwenye mikopo ya HESLB pale TIRDO mwaka 2005 bodi tu ilipoanzishwa. Na ukumbuke Loan Board walikuwa wanatoa kuanzia graduate level pekee. Huenda editor wa hiyo tovuti kakosea.kwani tumesema kwamba hana uwezo? nimesema ni historia ya aina yake
Nyerere kasoma ancient university, bado kidogo tu asome na dinosaurs hatuwezi kuelewa degree ya kwanza inaitwa Masters!Tena diploma ya Nyerere pale makerere ili major somo la kiswahili na biology ila masters kasoma History ni maajabu tu. Just keep off.
Ushawahi ona Obama kwenye TV jina lake linaqnzia na prof/dr [emoji1]My name is Dr...
No son, your name is not Dr. Dr is your professional title or your academic accreditation.
Did your parents name you "Doctor"?
😅😅 Hatari mie nimeushindwa kisicho rizk hakilikiWakati mwingine lazima usijisogeze kwa wakubwa
Utambebea begi,wakati wa kukaa unamsogezea kiti,mpaka mlango wa gari unamfungulia kumbe we unamlia timing
Wengine mpaka madem walikuwa wanawatafutia mzee
Ova
I agree anahitajika mtu ambae wasanii wanaelewana nae lugha na mwenye ufahamu mpana wa changamoto zao.Na wizara aliyewekwa panamfaa
A deal na wasanii wake
Ova
Kuna jamaa anaitwa Robert Gates alikuwa Director wa CIA na Waziri wa Ulinzi US.Ushawahi ona Obama kwenye TV jina lake linaqnzia na prof/dr [emoji1]
Ila wenzangu na mie sasa ????
Wanapenda sana title
Ova
Nakumbuka hii miaka ya zamani watu wakiulizia lakini ilikuwa kimya kimya (hakukuwa na mitandao)Nyerere kasoma Masters "bila degree". Kawa Waziri Mkuu ana Masters "bila degree".
Kwani Master's siyo degreeMwana FA anaweza Kuingia kwenye Historia ya aina yake, kwanza kwa Kusoma Masters bila kuwa na Degree lakini pia Kuwa waziri asiye na Degree katika baraza la Mawaziri
Hivi ilikuaje akasoma masters bila kuwa na Degree, inawezekana?
hii ndiyo CV yake kwa mujibu wa tovuti Rasmi ya Bunge
Education History :
School Name/Location Course/Degree/Award From To Level Coventry University Masters of Science in Finance 2009 2010 Masters Degree Institute of Finance Management (IFM). Diploma in Insurance 2004 2007 Diploma Institute of Finance Management (IFM). Certificate in Infromation Tehnoloy 2003 2004 Certificate
Ila wajuwe sanaa siyo bongo fleva na bongo movieI agree anahitajika mtu ambae wasanii wanaelewana nae lugha na mwenye ufahamu mpana wa changamoto zao.
Halafu anaonekana ni easily accessible so wasanii watakuwa comfortable kuongea nae ishu zao kwakuwa wanamuona mwenzao.
Better still ni shabiki mzuri wa michezo so anatosha kabisa.
SawaaMkuu mimi nilishapiga kura kwa miguu kutoka kwenye ulimbukeni tangu utawala wa Mkapa.
Kwani nani alikwambia darasa la saba hana akili na hawezi kuchangia mawazo?Tanzania hakuna tofauti ya mawazo baina ya mwenye Phd na wa darasa la 7.
vyuo vya nje sio lazima uwe na undergraduate degree kusoma masters, kaangalie entry requirements za waTanzania katika chuo hicho utaona moja ya kigezo ni diploma tu na mtihani wa kiingereza (IELTS).... Finance MSc (2023/24)Mwana FA anaweza Kuingia kwenye Historia ya aina yake, kwanza kwa Kusoma Masters bila kuwa na Degree lakini pia Kuwa waziri asiye na Degree katika baraza la Mawaziri
Hivi ilikuaje akasoma masters bila kuwa na Degree, inawezekana?
hii ndiyo CV yake kwa mujibu wa tovuti Rasmi ya Bunge
Education History :
School Name/Location Course/Degree/Award From To Level Coventry University Masters of Science in Finance 2009 2010 Masters Degree Institute of Finance Management (IFM). Diploma in Insurance 2004 2007 Diploma Institute of Finance Management (IFM). Certificate in Infromation Tehnoloy 2003 2004 Certificate