mrangi
JF-Expert Member
- Feb 19, 2014
- 88,759
- 123,368
Ndiyo ujuwe maisha hayana formulaAmejitahidi kuunga unga mpaka ametoboa. Enzi hizo wanapigana vijembe na akina Lady Jaydee kwenye wimbo wa wanaume kama mabinti, hata usingeweza kumdhania kama angefika hapo alipo.
Kingine inategemea una mingo na watu aina gani
Ova