Mwana FA: Waziri Pekee kwenye Baraza la mawaziri asiye na Degree

Mwana FA: Waziri Pekee kwenye Baraza la mawaziri asiye na Degree

Awe na shahada au asiwe na shahada, kwangu hilo si la muhimu sana.

Kama ana uwezo mzuri wa utendaji kazi kwa uadilifu, inatosha.

Lililo la muhimu kwangu ni kama kweli anazo hizo sifa za kitaaluma zilizoainishwa hapo.

Ni kweli ana Master’s? Ni kweli kasoma na kuhitimu kwenye hizo taasisi?
 
Awe na shahada au asiwe na shahada, kwangu hilo si la muhimu sana.

Kama ana uwezo mzuri wa utendaji kazi kwa uadilifu, inatosha.

Lililo la muhimu kwangu ni kama kweli anazo hizo sifa za kitaaluma zilizoainishwa hapo.

Ni kweli ana Master’s? Ni kweli kasoma na kuhitimu kwenye hizo taasisi?
Tatizo munachangia mada mukiwa na hangover, hakuna sehemu niliyoandika kwamba hana uwezo, au hajasoma huko ila nimesema kwamba yeye ameweka historia ya aina yake
 
Mwana FA anaweza Kuingia kwenye Historia ya aina yake, kwanza kwa Kusoma Masters bila kuwa na Degree lakini pia Kuwa waziri asiye na Degree katika baraza la Mawaziri

Hivi ilikuaje akasoma masters bila kuwa na Degree, inawezekana?

hii ndiyo CV yake kwa mujibu wa tovuti Rasmi ya Bunge

Education History :​


School Name/LocationCourse/Degree/AwardFromToLevel
Coventry UniversityMasters of Science in Finance20092010Masters Degree
Institute of Finance Management (IFM).Diploma in Insurance20042007Diploma
Institute of Finance Management (IFM).Certificate in Infromation Tehnoloy20032004Certificate

Tanzania hakuna tofauti ya mawazo baina ya mwenye Phd na wa darasa la 7.
 
Tatizo munachangia mada mukiwa na hangover, hakuna sehemu niliyoandika kwamba hana uwezo, au hajasoma huko ila nimesema kwamba yeye ameweka historia ya aina yake
Hata hiyo historia ya aina yake si ya aina yake hivyo, kuna watu wamesoma Diploma na kuruka Masters.

Pia, kuna degree za kwanza zinaitwa Masters, kwa hivyo usione degree inaitwa Masters uka conclude tu kuwa ni degree ya pili.
 
Mwana FA anaweza Kuingia kwenye Historia ya aina yake, kwanza kwa Kusoma Masters bila kuwa na Degree lakini pia Kuwa waziri asiye na Degree katika baraza la Mawaziri

Hivi ilikuaje akasoma masters bila kuwa na Degree, inawezekana?

hii ndiyo CV yake kwa mujibu wa tovuti Rasmi ya Bunge

Education History :​


School Name/LocationCourse/Degree/AwardFromToLevel
Coventry UniversityMasters of Science in Finance20092010Masters Degree
Institute of Finance Management (IFM).Diploma in Insurance20042007Diploma
Institute of Finance Management (IFM).Certificate in Infromation Tehnoloy20032004Certificate
Heading yako ni false. Haina maana kwa sababu manaibu mawaziri sio members wa baraza la mawaziri.
Please re-do, revisit your homework.
 
Back
Top Bottom