Kiranga
Platinum Member
- Jan 29, 2009
- 78,790
- 128,275
This is a lowkey dig at him. Just be honest.kabla ya uhuru elimu hata wa Darasa la nne ama middle skuli walikuwa viongozi wakubwa tu. nimesema katika baraza hili la mawaziri la sasa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
This is a lowkey dig at him. Just be honest.kabla ya uhuru elimu hata wa Darasa la nne ama middle skuli walikuwa viongozi wakubwa tu. nimesema katika baraza hili la mawaziri la sasa
mrembo ilove you 😕K.I.S.O.K.O.L.O.K.W.I N.Y.O
"Tution" ndiyo nini? Au ndiyo ujinga unatufundisha wewe?Nyerere makelele alisomea nini hivi huko tution mnafunzwa ujinga??
Tatizo munachangia mada mukiwa na hangover, hakuna sehemu niliyoandika kwamba hana uwezo, au hajasoma huko ila nimesema kwamba yeye ameweka historia ya aina yakeAwe na shahada au asiwe na shahada, kwangu hilo si la muhimu sana.
Kama ana uwezo mzuri wa utendaji kazi kwa uadilifu, inatosha.
Lililo la muhimu kwangu ni kama kweli anazo hizo sifa za kitaaluma zilizoainishwa hapo.
Ni kweli ana Master’s? Ni kweli kasoma na kuhitimu kwenye hizo taasisi?
Mwana FA anaweza Kuingia kwenye Historia ya aina yake, kwanza kwa Kusoma Masters bila kuwa na Degree lakini pia Kuwa waziri asiye na Degree katika baraza la Mawaziri
Hivi ilikuaje akasoma masters bila kuwa na Degree, inawezekana?
hii ndiyo CV yake kwa mujibu wa tovuti Rasmi ya Bunge
Education History :
School Name/Location Course/Degree/Award From To Level Coventry University Masters of Science in Finance 2009 2010 Masters Degree Institute of Finance Management (IFM). Diploma in Insurance 2004 2007 Diploma Institute of Finance Management (IFM). Certificate in Infromation Tehnoloy 2003 2004 Certificate
Mbona unajihami na kujishuku? Mimi sijakutuhumu kwa lolote lile.Tatizo munachangia mada mukiwa na hangover, hakuna sehemu niliyoandika kwamba hana uwezo, au hajasoma huko ila nimesema kwamba yeye ameweka historia ya aina yake
hata msukuma anweza kuwa Waziri na akamshauri Rais vizuri. ila mwana FA hiyo ni historia yake ameiachaTanzania hakuna tofauti ya mawazo baina ya mwenye Phd na wa darasa la 7.
Ok nimekuelewa piaMbona unajihami na kujishuku? Mimi sijakutuhumu kwa lolote lile.
Nimetoa tu maoni yangu.
Relax!
Hata hiyo historia ya aina yake si ya aina yake hivyo, kuna watu wamesoma Diploma na kuruka Masters.Tatizo munachangia mada mukiwa na hangover, hakuna sehemu niliyoandika kwamba hana uwezo, au hajasoma huko ila nimesema kwamba yeye ameweka historia ya aina yake
Heading yako ni false. Haina maana kwa sababu manaibu mawaziri sio members wa baraza la mawaziri.Mwana FA anaweza Kuingia kwenye Historia ya aina yake, kwanza kwa Kusoma Masters bila kuwa na Degree lakini pia Kuwa waziri asiye na Degree katika baraza la Mawaziri
Hivi ilikuaje akasoma masters bila kuwa na Degree, inawezekana?
hii ndiyo CV yake kwa mujibu wa tovuti Rasmi ya Bunge
Education History :
School Name/Location Course/Degree/Award From To Level Coventry University Masters of Science in Finance 2009 2010 Masters Degree Institute of Finance Management (IFM). Diploma in Insurance 2004 2007 Diploma Institute of Finance Management (IFM). Certificate in Infromation Tehnoloy 2003 2004 Certificate
Wewe mutu ya Congo??Tatizo munachangia mada mukiwa na hangover, hakuna sehemu niliyoandika kwamba hana uwezo, au hajasoma huko ila nimesema kwamba yeye ameweka historia ya aina yake
ukishakuwa kiongozi wa Umma lazima wakuchimbe chini kwa ChiniThis is a lowkey dig at him. Just be honest.
Hapana mm n msukuma wa TangaWewe mutu ya Congo??
Labda kwa wasio mfahamu ..kifupi FA ni kichwa smart sana tu...labda watafte jingine
On top of that wengi wamechelewa kuja mjini..ndio maana wanashangaa elimu ya FA...mbona FA kaenda nje kusoma akiwa star kabisa!...Watoto wa 2000's hawajui hata historia ya Elimu yetu.........